Nipo tayari kutaja majina ya mahafisa usalama waliohusika katika kuvuruga uchaguzi kama majina hayo yatahitajika mahakamani-dk.Slaa azungumza akiwa Dodoma
Heshima kwenu wakuu
Jana usiku nilikuwa nikiangalia Chanel Ten, ndipo akaingia Sheikh Yahaya hussein na mambo yake, kwa kifupi mzee huyu alikuwa akimfagili JK kwa ushindi wake, alidiliki...
Wanajamvi,
Hawa ndiyo wapiganaji wetu huko bungeni yaani wabunge wa CHADEMA na picha zao kwenye website ya bunge. Hata mimi nilikuwa siwajui wote sura zao...
Ndugu zangu,
KAMWE huwezi kukausha maji yatokanayo na chemchemi kwa kumwagia mchanga.
Na kuna namna mbili za mwanadamu kuula mkate, ama aukate slesi ( Slices) kwa maana ya vipande...
Educated or Enlightened?
Epictetus, who lived from A.D. 55 to about A.D. 135,
said, "Only the educated are 'liberated'."
Admittedly, there is truth in what Epictetus said. For
one thing...
Sasa hivi kila dalili zinaelekea kuonyesha kuwa watu wameshaukubali utawala mpya wa Kikwete licha ya malalamiko ya mizengwe iliyojitokeza katika zoezi la uhesabuji wa kura.
Ni wachache sana ambao...
Edmund akihojiwa na Metty Nyang'oro katika kipindi cha Kombolela Show kinachorushwa na Radio Mbao anatoa tathmini ya matukio ya kampeni za kisiasa na uchaguzi wa Oktoba 31.
Amegusia "strengths"...
Salaam Jenerali,
Kabla sijasema neno kuhusu mada nina angalizo kwenye kichwa cha habari cha mada iliyozaa mjadala ninaoanzisha, "Jenerali...umewaacha mashabiki wako njia panda. Kwa mtazamo wangu...
Ninakiu ya ukwel naukwel huo nikusikia Sita anakuwa spika wa bunge lijalo. Huyu nikiongoz wa kwel alie leta maana ya Bunge. Uzalendo wake,umahiri wake wakufanya mambo huku akiamini kuwa kiongoz...
Inasemekana kupungua kwa thamani ya Tsh, kunakoakisiwa na kupanda kwa bei ya bidhaa siku za karibuni kumetokana na serikali kuchapisha fedha nyingi bila kujali tija ya taifa katika kipindi hiki...
Hehehe hapa kwa kweli Dr. Slaa umetusaliti Watanzania mbona kimya na kwa gonga hii na Mh. Pinda ina maana serikali ya JK so far umeikubali yetu macho...
Katika hili nimeamua kumfunga paka kengere,liwalo na liwe hata kama namgusa mtoto wa mpendwa Rais Jakaya Kikwete,Ridhiwan Kikwete
Niseme Wazi kiwa mimi kuwa mimi ni shabiki wake damudamu...
Salma Said, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein ameteua Baraza la Mawaziri la serikali ya umoja wa kitaifa lenye mawaziri 25 kutoka vyama viwili...
Ninasema hivyo, kwa sababu hivi sasa watu wachache wenye nguvu ya fedha wanaamua mustakabali wa viongozi kwa maslahi yao binafsi,
Rais aliyechaguliwa kwa uovu, kamwe hawezi kutenda haki na...
maendeleo ya nchi huletwa kwa kuwa na mipango inayoeweka vema kwa wananchi, zaman enzi za mwalimu kulikuawa na mipango ya maendeleo ya muda mfupi na mrefu kulikuwa na dira ya elimu kwa taifa...
:thinking::sad:
Nimemsikia bwana mmoja wa CUF (Khalifa Suleiman Khalifa) akihojiwa na Mhelela wa BBC leo saa tatu kasorobo usiku huu. Anasema hawawezi kuungana na CHADEMA kwa sababu hawataki...
Jana nilipokuwa nikiangalia taarifa ya habari Startv, viongozi wa Chadema Mwenyekiti Freeman Mbowe na katibu wake Dr. Slaa walidai kutoyatambua matokeo ya uraisi yaliyotangazwa na tume ya taifa...
wana jF, leo nakuja na maoni mazito.
ni wazi kila mtu anatambua na kuthamini mchango aliotoa DR.SLAA katika kuibua na kupambana na maovu mazito, ya ufisadi. ingawaji kuna baadhi ya watu mpka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.