Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Rajabu Kiravu, Jaji Makame, Kabwe and the co? Are they not promoted to any position?
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Hili swali limenijia tu baada ya kuwaza kidogo. RA ninavyomfahamu ni mtu wa karibu wa jk na wadau wengine serikalini. Kwa nyadhifa alizo nazo ndani ya chama na serikali ni mtu ambaye hapaswi...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna habari zinaendelea kusambaa kama moto wa kifuu kuwa Dk Slaa amefanya/au atafanya press confeence huko Dodoma this morning. Mlioko huko hebu tuhabarisheni. Tuna hamu ya kujua anasema nini huyu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
hebu niambieni kweli hili baraza litaleta muafaka katika serikali hii mpya......................
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Yule mbunge mwenye ulemavu wa ngozi tuliyemsoma wiki chache na kupongeza ushindi alioupata wa Ubunge wa Lindi Mjini, tukalaani waliombeza kutokana na alivyo, tayari ameanza kupokea vitisho vya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
The party through its secretariat has adopted a westminster system to elect the leader of the opposition, following that Chadema caucus has endorsed Rt. Hon. Freeman Mbowe as the leader, Zitto...
0 Reactions
118 Replies
12K Views
Source: Gazeti Sem Usikike, tarehe 15.11.2010 Kwamba mafisadi walisherehekea kuanguka wa Mr 6 uspika kwa kuchinja ngamia dume. Je mnyama huyu anaambatana na makafara ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kujiunga na mfumo flani au chama flani chenye malengo na mwelekeo wake sio kitu Rahisi Hebu chukulia MFANO wale WALOKOLE, Au WANAJESHI, ama WANA SARAKASI Unafikiria nini ukiwaona wakitimiza amri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamii, mimi binafsi simjui saaaana huyu jamaa, zaidi tu ya kujua kama kafisadi kanakochipikia. Suala langu hapa ninaomba kujua elimu ya huyu mtu, ikiwezekana perfomance zake Darasani kwa kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii kitu nimeipata kwenye uzi uliowekwa na Maggid Mjengwa: Kama Kikwete atafuata ushauri huu maridhawa, basi nitafuta signature yangu. Vinginevyo bora nife tu, sibadilishi mpaka tupate Rais...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Taarifa rasmi ni kwamba kutakuwa na mdahalo kati ya aliyekuwa kiongozi wa kambi ya upinzani ktk bunge lililopita, Mh. Hamad Rashid, mbunge wa Wawi, Pemba naKiongozi wa kambi ya upinzani bungeni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna watu/mtu ambaye ukisikia kapewa Uwaziri au hata Unaibu utashangaa, utasikitika au utafurahia, ni yupi huyo?
0 Reactions
96 Replies
9K Views
Je huyu nguli wa siasa za upinzani za Tanzania ni hatari kiasi gani kwa Chama Cha Maendeleo na Demokrasia Tanzania?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
CCM yadai mwaka huu ni waakinamama kufuatia uteuzi wa CC kwenye nafasi ya Uspika lakini uteuzi huo ni wa kumuenzi Mama Anne Makinda pekee kama Makinda na wala siyo wanawake kwa sababu Makinda ana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbunge wa Sikonge (CCM), Said Nkumba, alidai kuwa wakati wa kampeni, Marando alikuwa akitumia lugha kali na za kashfa hivyo iwapo atachaguliwa kuwa spika atakuwa na lugha hizo hizo au...
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Hivi hii imekaaje?? Uchaguzi unafanyika siku moja, kura zinahesabiwa wiki nzima lakini rais anaapishwa siku mmoja tu baada ya matokeo tena mbele ya wageni waalikwa kutoka nchi mbalimbali...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nina nia ya dhati kabisa ya kuanzisha Tawi la chama cha CHADEMA ili kuimarisha chama from Grassroot level. Nimesukumwa kufanya hivyo kutokana na ukweli kuwa ninaishi eneo ambalo lina matawi mengi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Aliyosema Nyerere yaanza kutokea Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 10...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tanzania - development, democratic challenges and the election 2010 Open to the public Africa studies at the School of Global Studies, in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom