Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Do we judge somebody's competitiveness by gender? What about 2015?
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Naomba maoni yenu wana JF kwa hili kwani ilikuwa tetesi kuwa Sitta hatakuwa spika na imekuwa.Je haiwezi kuwa Lowassa anataka Urais na akawa?Ebu angalieni njia aliyoitumia Chenge kumshambulia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
MWANACHAMA wa Chadema aliyekuwa akiwania Ubunge katika Jimbo la Segerea, jijini Dar es Salaam, Fred Mpendazoe, amelitabiria taifa kuingia katika utumwa kama kikundi cha watu wa chache kitaendelea...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nikiwa mfuasi wa chama cha upinzani, nimefurahi kupata viti vingi vya ubunge uchaguzi wa mwaka huu. Pamoja na uwingi huo wa wabunge wa upinzani ukiringanisha na ccm bado wanatuzidi sana, maana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, kuhamishwa kwa Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Godfrey Nzowa, kwenda ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Charles...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Askofu huyu katumwa na nani? Na Mwandishi wetu - Imechapwa 10 November 2010...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sitta ampa changamoto Makinda Send to a friend Saturday, 13 November 2010 00:30 0diggsdigg Spika mpya wa Bunge, Anna Makinda akiongozwa na Askari wa bunge kuingia bungeni mjini Dodoma jana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katik vitu ambavyo mimi vinanifanya nimuone Kikwete ni Mbumbumbu wa kufikiri, ni kung'ang'ani kuwapa Wanawake Nafasi nyeti Selikalini,, jamani Si vibaya lakini Hii nchi ni nchi inayo chuchumia ki...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Nani alishinda Zanzibar ni CCM au CUF? Padri Privatus Karugendo KWA wanafiki na wenye uchu wa madaraka hili linaweza kuchukuliwa kama swali la uchochezi, swali la kutaka kuvuruga amani na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani naomba kupata taarifa kuhusu uchaguzi wa naibu spika wa bunge la jamuhuri wa wa muungano wa TZ kashapatikana? nimepata habari kua People's Power (CHADEMA) wamemsimamisha Mustapha Akunay...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungani wa Tanzania kutoka kushoto Bi. Salome Mwambu,Mwihigulu mbunge mteule wa Iramba Mashariki na Bi.Matha Mlata mbunge viti maalumu wakitoka kwenye ukumbi wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
‘Vyama vya msimu’ vyatibua ushindi wa kishindo wa CCM Na Hilal K. Sued - Imechapwa 10...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
It's a naked truth that, Joseph Mbilinyi aka Mr Sugu qualifys for a super role model status for all young people aspiring for greatness in Tanzania. Starting his career as an amateur rapper, Mr...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana mjengo wa JF naomba tutafakari kuhusu majibu ya Bwana Makamba anapoulizwa maswali na waandishi wa habari na kutoa majibu ya mkato au hata kung'aka je ni kutoelewa swali na kukwepa swali...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mzee makamba anasema lengo la kumpendekeza mwanamke kuwa spika ni ili kuwapa wanawake nafasi kwenye uongozi wa nchi.Mimi si bishi kuwa wakinamama wanahaki ya kupewa fursa za uongozi na wao kulete...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nataka kujua kama kuna mtu keshapata matokeo vituoni kabla ya kuchakachuliwa, maana bby this time lazima wamemaliza kuhesabu :caked:
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hakuna ubishi kuwa Spika mstaafu Sitta alifanya kazi nchi ya kukumbukwa Bungeni.Nyia iliyotumika kumuondoa inatia shaka kwani kuna watu waliofurahia kuondolewa kwake na wengine walikerwa nayo.Sasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huwa nabaki kushangaa saana kwenye chama cha mapinduzi hata wakimsimika mtu mbovu bado anapita kwa kura zote ndani ya chama. Hivi wote wana mitizamo sawa au huwa wanalazimishwa kufanya hivyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Du ina maana hilo lichama la kijani just 5 yrs away litakuwa limejaa vibabu. Where are the young guns?????? Hebu cheki hapa chini nyumri zao by 2015. JK - 65 Makamba - 80 Msekwa - 80 Saim...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kumekuwa na tuhuma za uchakachuaji wa matokeo ya urais na aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa wote wana wafuasi wengi.Je kwa maendeleo ya nchi yetu wote wanaweza kututumikia kwa maendeleo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom