Source: Na M. M. Mwanakijiji, gazeti la MWANAHALISI, Jumatano, Septemba 17,2010:
Kwa muda sasa wanaJF wanakuwa wakichangia mawazo hoja ihusuyo wabunge waliopitishwa na kuhalalishwa na Tume ya...
Wadau mimi ninawasiwasi ufuatao juu ya serikali ya ccm ya sasa.
1. Imekuwa ni jambo la kawaida kwa ccm kuanza kutekeleza sera za wenzao hata kama si yao. Kwa mfano mwaka 2000 kwa mara ya kwanza...
Just imagine if we were receiving 30% of price of gold an ounce in comparison to 3%!
Yesterday, Gold reached high place by selling itself at price of $1420 an ounce. Sasa Mchungaji akifanya...
UNESCO to Africa: Don't swap heritage for progress
NAIROBI, Kenya The top official from the U.N. body in charge of preserving historical sites says the development of economies in Africa should...
CCM ni mfumo. Na ili kuuangusha mfumo wowote, lazima uufahamu.
Pamoja na ufisadi na rushwa vinavyoabudiwa na CCM, mfumo wao wameujenga katika kupumbaza watu wa vijijini hasa wasio na elimu...
Kutokana na kilichoonekana kuwa, kukikosesha chama kinachosifika kwa uchakachuaji ushindi wa kishindo Shinyanga mjini, imeonekana kuwa RPC na Mkurugenzi hawakuwa tayari kufuata maelekezo ya...
Mimi nimkereketwa sana wa Vyama Pinzani, hasa vile vinavyo onesha njia ya Kidemocrasia.. kutokana na hilo nilikuwa najaribu kufuatilia kwa karibu sana chama ambacho kilikuwa na nguvu Bara na...
Jana (12/11/2010) wakati akitangaza matokeo ya uchaguzi wa Spika, Katibu wa Bunge Dr. Thomas Kashililah alisema kuwa Anne Makinda alipata kura 265 kati ya kura 327 zilizopigwa. Aliutaja ushindi...
wakuu, baadhi ya vyombo vya habari vilimnukuu makamba akitangaza kwamba uspika safari hii kupitia chama chake sifa ni uanauke.
vyombo vingine vya habari vikaripoti kwamba jk ameshauriwa kumteua...
kama mnakumbuka vizuri Kilavu alizuia watu wote waliokuwa mbali na vituo walivyojiandikishia kupiga kura mahali walipokuwepo. Ukiangalia vipengele vya katiba, sababu zilizotajwa, aliyoitoa Kiravu...
Kwa siku mbili mfululizo, Jumamosi na leo Jumapili JK amekuwa akipita barabara ya Morogoro na msafara wa magari yapatayo 20, na kutusababishiea kero kubwa sisi watumiaji wa barabara hii. Naambiwa...
UCHAGUZI mkuu umekwisha huku hadhi ya chama kikongwe cha siasa nchini, CCM ikionekana kuporomoka kiasi cha kutisha, sababu kubwa ikielezwa kuwa ni kushindwa kutekeleza nyingi ya ahadi ilizotoa...
Geofrey Nyangóro
MWANACHAMA wa Chadema aliyekuwa akiwania Ubunge katika Jimbo la Segerea, jijini Dar es Salaam, Fred Mpendazoe, amelitabiria taifa kuingia katika utumwa kama kikundi cha watu wa...
wanajamvi mi ni tcha wa sec ninaprogram ya uanzishaji mashina ya chadema ktk kila shule za sec ktk hii wilaya yangu ili kusongesha ukuaji wa chama.je kuna sheria itakayonibana?kama ipo nipeni na...
NDUGU
WACHAMBUZI WA SIASA ZA TANZANIA
Spika wa bunge lililopita ,
akipewa Uwaziri kama njia ya kumpoza baada ya kubwagwa kwenye kura za awali, ataweza kuonesha tija kwa kiwango cha juu kama...
Siasa siku zote ni mchezo mchafu kama wahenga wasemavyo sasa mimi ninauliza hivi ikitukea hawa wakawa viongozi wako utatarajia nini??Katika serikali ijayo??
RA-Waziri wa Fedha mipango na Uchumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.