Kama tetesi zinazotembea taratibu zina ukweli utakuwa ni mojawapo ya mambo ambayo yanaweza kuleta matumaini katika wizara hii nyeti.. kwanza kwa sababu amejithibitisha kuwa ana uwezo, ni jasiri...
After Mhe Sitta was given 60 seconds to leave JK-BigBrother House
Up for nomination is Mhe Pinda.
Voting is now open to save Mhe Pinda from leaving the JK-BigBrother House
Utafiti binafsi: 98% ya watu ninaokutana nao na kuzungumza nao habari za siasa au wakiwa wanazungumza habari za siasa hueleza kutoitaka CCM na JK. hii ni pamoja na nyumbani, chuoni, hospitalini...
Wana JF,
Nakumbuka miaka ya nyuma i mean mwaka jana kipindi fulani huko bungeni Spika S.SITTA aliomba aongezewe ulizi kwa ajili ya usalama wake sasa kwa kamati ta CC kutompitisha kuwa spika na...
Tutumie Bunge na Sheria Zake Kuijenga Inchi Yetu. Tunajua CCM Watafanya Kila Njia Kuzuia Hoja kwa Kumtumia Spika Makinda Lakini Kunanjia za Kuwakamata CCM. Tutaona Sheria Walizozitunga Kama...
Ndugu zangu,
KATIKA kuadhimisha miaka kumi ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, CCM na miaka 20 ya Azimio la Arusha, Mwalimu Julius Nyerere alikubali kufanya mahojiano ya kipekee na ya aina...
Hii nimeikuta kwenye blog moja maarufu hapa nchini.Wadau kama hamjaiona itupieni macho.
Mkuu wa kaya napenda kuleta malalamiko rasmi kwa serikali yetu na kuwataarifu watanzania wenzangu jinsi...
Kutokana na chanzo kilichonitonya habari hizi kuwa ni cha idara nyeti ya serikali naomba kutoa hoja kama ifuatavyo:
Katika kukurukakara za kujiandaa na uchaguzi huu wa mwaka 2010.. kuna habari...
Matokeo ya kura ya Uchaguzi wa Wabunge katika majimbo 7 yaliyoshindwa kufanya uchaguzi tarehe 31 Oktoba 2010 na hivyo kulazimika kufanya jana yametangazwa. Matokeo hayo yanaripotiwa kuwa Chama...
Diwani wa kata ya Kasense (CCM) katika halmashauri ya Manispaa ya Sumbwanga mkoani Rukwa Bw.Pius Michael Sichombo (63)amefariki dunia ghafla baada ya kuugua kwa muda mfupi ikiwa ni siku tisa...
Mambo mengine tunatakiwa tuyafirikie kidogo hata kama kikatiba yamekaa tu bila kuwa na mantiki yoyote lakini tunayafuata tu kishabiki.
Mtakubaliana nami kuwa kama ukweli unatafutwa na kufuatwa...
Kama record zangu ziki sawasawa waheshimiwa waliomtoa Bungeni Mh. Zitto Kabwe karibu wote wameshindwa kutetea nafasi zao. Mfano John Malecela, Nazir karamagi, Batilda Burian, Ruth Msafiri na "Joka...
Jana nilisoma katika safu hizi, barua ndefu iliyoandikwa na Jenerali Ulimwengu kwa JK. Nianze kwa kukiri kwamba barua ya aina hiyo hiyo, niliwahi kuiona katika gazeti la Rai ama mwishoni mwa mwaka...
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa
Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2...
Jamani Tanzania naona rushwa imetapakaa sana,,,,,,,PCCB na huyo chenge wao naona wote vimeo tu..Hii inchi sijui inaenda wapi maskini...Lakini tutafika tu...
N.B kama kitu kama hii ilishapostiwa...
Kwanza kabisa napendakutoa shukrani za dhati kwa Dr.WP.Slaa kwa ushindi mnono alioupata pamoja na wabunge, na madiwani wote wa CHADEMA licha ya matokeo ya maeneo mengi kuchakachuliwa.
Napenda...
i recently posted this message jamvini https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/87443-petition-to-decrease-wabunges-salaries-a-must-read-2.html
I also asked for some sort of a...
Kwa wale ambao macho yao yana matatizo nayaweka maandishi chini ili yasomeke kilichoandikwa:
===============================================
The White House
Office of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.