Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Brazil vs Tanzania: Tofauti kati ya uchaguzi wa Oct. 31 Tafakari, Tanzania na Brazil zote zilifanya uchaguzi wa Rais siku moja ya Jumapili, October 31, 2010. Tanzania ina population isiyozidi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Wana jf mwenye taarifa ya Nakaaya azianike hapa. Alisikika kuwa amehamia ccm akitokea chadema
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi kura 9 za kuchagua Spika kuharibika ina maanisha kuna wabunge mbumbumbu au wakorofi au vilaza au msamiati mzuri ni upi jamani? Ivi awa wabunge walioharibu kura tukiwapa kutunga sheria...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari WanaJF Nimeangalia wajumbe wa CC CCM na kugundua kwamba imejaa mafisadi Na hiki ndicho chombo chenye influency katika hicho chama .Kwa maana hiyo hata Rais au Mbunge kama anaenda...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
Nyerere alikuwa na mawaziri 23. Mwinyi alikuwa na mawaziri 33. Mkapa alikuwa na mawaziri 49 JK juzi tu alikuwa na mawaziri 59 na tuliona ufanyaji wa kazi wa serikali ulivyokuwa. Wana JF naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa JF, Habari za weekend! Naomba mnijuze mjuao: Jana Jumamosi nimesoma gazeti la mwananchi; topic inayosema Sita Avunja Ukimya ambamo Mheshimiwa Spika, Anne Makinda, amenukuliwa akisema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia na kuichunguza video inayoonesha JK akianguka pale viwanja vya Jangwani siku ya uzinduzi wa kampeni wa Chama Cha Mafisadi. Kabla ya kuanguka, JK alianza kwa kutamka maneno...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa press release iliyotoka USA kuwapongeza watanzania kuhusu kuendeleza kuchagua viongozi kupitia mfumo wa vyama vingi bila kumpongeza Jk nina uhakika akiambiwa na Obama karibu chai atagoma. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tumeona hatua ya kwanza ya uchaguaji wa viongozi wa awamu mpya...lakini hili ambalo linatokea bungeni sasa hivi siyo la kulikalia kimya hata kama hatuwezi kubadilisha ila tunaweza kuongena wakajua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MTASHANGAA sana enyi ndugu zangu. Nasikia sasa kaulimbiu imebadilika ghafla. Sasa tunaambiwa kwamba ‘wanawake wanaweza,' utadhani kuna aliyewahi kubisha. Nasema wacha tu niijadili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na. B.OLE, Baada ya kumaliza kwa sakata la uchaguzi Visiwani kinachoendelea sasa ni mdolongo wa kazi unaowakabili watendaji wa Serikali hasa Rais pamoja na makamo wake ambapo kwa mara ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jembe na nyundo ilimaanisha wakulima na wafanyakazi. Je, bado tunaienzi dhamira iliyopelekea kubuniwa nembo hiyo?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Tanzania Elections Obama congratulates government By POLITICO STAFF | 11/12/10 7:14 PM Updated: 11/12/10 7:17 PM Close Email this ArticleObama congratulates government Please enter your...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
There is some how a general consensus that the presidential results announced by both NEC and ZEC doesnot truerly reflect the wills of the people. Despite that general consensus, there are varied...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
The Civic United Front (CUF) said on Saturday that it will not join Chadema in forming an alternative government of the Official Opposition in the National Assembly, unless all opposition parties...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Sijui kutawaliwa sana na wakoloni kumetufanya kutozingatia kukusanya jamii na kuwa kitu kimoja na badala yake kuzingatia kutawanya watu kutokana na misingi ya itikadi , jinsia,kabila,koo,rangi,na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nitaanza kwa utani tu. Katika nchi mmoja ya Ulaya watu wameruhusiwa kutembea na bangi lakini kwa matumizi ya binafsi (personal use). Hivyo kuna jamaa akahamua ku-import container nzima la bangi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nauliza kama JK kesha lihutubia bunge na kama kahutubia wapinzani wamehudhuria? Msaada jamani.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Civic United Front: Established : 1992 Founder : James Mapalala, Hamad Mlo Rised : 2000 Under the leadership of Professor Ibrahim Lipumba/ Seif S. Hamad Fall : 2010 Under...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom