Kamati Kuu ya CCM imependekezea majina yafuatayo kugombea Uspika:
1. Anna Makinda
2. Anna Abdallah
3. Kate Kamba
Kwa hivyo Mzee wa Vijisenti out, Sitta out!!!
Source: Channel 10 News Bulletin 3...
Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba anasema "tangu uhuru mihimili yote mitatu ya dola imeshikiliwa na wanaume sasa imefika kwa wanawake kupewa nafasi ya kuongoza mmoja wa mihimili hiyo yani bunge"...
Hivi Mbowe na Zitto kukubali kuwa viongozi wa upinzani bungeni, na Marando kuwania uspika ina maana wao wameyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu tofauti na madai ya katibu wao mkuu ambaye ndiye...
Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mheshimiwa Joseph Mbilinyi ameainisha baadhi ya mambo muhimu ambayo atayapigania akiwa bungeni ikiwemo:
Kutumikia...
Kwa heshima ambayo Dr. Slaa imejijengea katika taifa letu na hata kwa wabunge wa Chadema na CCM kuna uwezekanno mkubwa kuwa Chadema watatoa spika wa bunge mwaka huu.
Dr. Slaa anao mtandao mpana...
Katika hali isiyo ya kawaida watanzania wengi wenye elimu ya kupambanua mambo kiupana amabao wengi wao wamepiga kura na kumchagua kiongozi wanayemtaka ambaye kama tukifuta taratibu zote za...
Tunashughulikia afya ya Ngulume Send to a friend Thursday, 11 November 2010 20:23 0diggsdigg
Raymond Kaminyoge
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema tatizo la ugonjwa wa aliyekuwa Mkuu wa...
Hii picha ya kamati kuu ya chadema imenishtua kidogo baada ya kuona picha ya rais kikwete ikiwa imetundikwa ukutani na chini ya picha hiyo ya rais wamekaa viongozi wa chadema ktk mkutano wao huko...
Leo katika gazeti la Mwananchi kuna picha ya Pinda na ameandikwa kuwa ni waziri Mkuu. sasa swali langu ni kuwa yeye ni waziri mkuu wa awamu ipi? Iliyopita au ijayo? Cha kushangaza ni kuwa baraza...
TUNAWEZA kabisa kuandika, kuwa safari ngumu ya kisiasa kuelekea 2015 inaanza rasmi leo kule Dodoma. Na hatma ya safari, kama ni njema au mbaya hutegemea na mguu wa kuanzia safari hiyo...
Mahojiano makali sasa hivi yanendelea STAR TV kati ya ZItto kabwe na Aden Rage........baadhi ya mambo yanayoongelewa ni pamoja na namna ya kushirikiana kuendeleza barabara za mawasiliano za Kigoma...
Mimi namfahamu kwa karibu sana Maggidi Mjengwa, kiukweli kabisa yeye si mtu anayeweza kununuliwa kiurahisi. Nimefanya kazi naye kwenye sehemu mbalimbali za tasnia ya habari na ujenzi wa...
CCM Kweli Haina Sera. Haina Hoja. Haina Uongozi. Haina Support. Haikubaliki na Wananchi. Hivi Karibuni Wamechukua Uongozi kwa Mabavu. Wiki Hii Wanamweka Mwanamke Kama Spika. Hii ni Dharau kwa...
Kwa mara nyingine tena mtandao wa mafisadi umejipanga. Tena umejipanga kweli.
Wanakuja na Spika wao wa kupika. Wanakuja na "Minority Opposition". Haya tunayaona kwa sababu yanafanyika mchana...
Kuna mazungumzo yanaendelea kumuomba lowasa akubali kujiunga na baraza la mawaziri lakini kwa sasa katika nafasi ya uwaziri wa kawaida na si uwaziri mkuu. kwa mwelekeo wake inaonekana yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.