Wadau naomba ambaye ana full data za pale mlimani naomba anijulishe, kwani ndo nimepiga kura yangu hapo. nataka kujua impact na Sacrifice ya wenzetu waliotoka mikoani kuja kupiga kura pale mlimani...
Nchi imetumia pesa nyingi sana kuhamasisha watanzania kwa kaulimbiu ya kupigakura ni hakiyako, Inashangaza kuona kuwa kupata matokeo ya kile kilichowaweka watu katika misululu inakuwa ni hisani...
Habari zilizonifikia zinasema kwamba matokeo ya ubunge Sumbawanga mjini yameshakamilika ila CCM imemleta Mizengo Pinda na sasa hivi kuna kikao kinachoendelea cha kumbembeleza mgombea wa CHADEMA...
M.Seif apata 50.06%
Dr.Shein:47.30
Asalamu alaykum haya ndio matokeo tulioyapata kutoka kwa tume ya uchaguzi:
JIMBO KUTOKA PEMBA
JIMBO LA OLE: CUF- 5775, CCM -893
JIMBO LA WETE...
Jimbo la uchaguzi la Tarime lililokuwa ngome ya Chadema ktk mkoa wa Mara limechukuliwa na mgombea ubunge wa CCM. Pia ktk kata 30 za Jimbo hili, CCM wamenyakua kata 17, Chadema 12 and CUF...
Tumedhamiria kuing'oa ccm kama ckuitowesha ktk raman ya tanzania. Uchakachuwaji wamatokeo umeanza na kama hatutopata haki basi ni wito wangu kujaa ktk kila kona ya barabara kuishinikiza ccm...
MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : BUKOBA MJINI
KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 117 0.35%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 15,410 46.56%
DR. SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 16,604 50.16%
LIPUMBA...
Jamani nadhani Nia ya kuchelewesha matokeo ya ubunge, wanapata nafasi ya kuchakachua kura za urais. chadema jamani mjitahidi pomoja na kazi ngumu ambayo tayari mnafanya katika ngazi ya ubunge...
Sheria inasema nini kuhusu Kujumlisha kura za wagombea Uraisi na Kutangaza matokeo.
Wakuu,
Nimetonywa na chanzo kinachoaminika kuwa M-Kiti wa Tume ya Uchaguzi akisha pata jumla ya kura...
Nanuku kuwa Jaji Lewis Makame amesema ktk matangazo ya BBCswahili kupitia Ustream amesema matokeo ya Urais yatatoka siku ya Ijumaa tarehe 05/Nov/2010. Jaji Lewis aliyasema hayo ktk mahojiano na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.