Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwani si tayari mwanza kuna nini kinaendelea? Tunaomba mtupe habari zaidi,na ikiwezekana waliopo mwanza lindeni kura kwa nguvu zozote zile kwani hata kama kikwete yupo mwanza hatuwezi kuvumulia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna watu wanataka kuleta uchochezi hapa JF. Wasiokuwa na data za kutosha acheni mchezo wa kutupandishia mori bure!! Mtu anaandika kichwa cha post/thread ukizama ndani longolongo tupu!! Blaablaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Mbunge mteule wa jimbo la Hai, mheshimiwa kaka yetu wa ukweli Freeman Aikaeli Mbowe ametangazwa rasmi kushinda ubunge kwa tiketi ya CHADEMA. Hapa Hai mjini ni shamrashamra za hali ya juu na...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Ccm - 20730 chadema - 4719 cuf - 142
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa nikipitia blog mbalimbali kutafuta takwimu ya wabunge wa CHADEMA waioshinda katika majimbo yao, lakini bado sijafanikiwa kupata habari za uhakika, zaidi ya Zitto Kabwe ambaye ameshinda...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Rafiki yangu wa karibu Mhandisi Tuni Abraham Humphrey kanipigia simu sasa hivi kuwa mpinzani wake wa CCM ambaye ni Naibu Waziri wa Serikali za Mitaa katangazwa na Msimamizi wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jerome wa CCM ameshinda kwa kishindo kwa kura 24000+
0 Reactions
0 Replies
1K Views
matokeo rasmi ni kuwa CCM -34839 hivyo Dickson ndo mbunge Chadema-16090
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Najiuliza hivi vichwa vikifanikiwa kuingia bungeni (vingine tayari) Bunge litakuaje Kichwa kama Tindu Lisu Freman Mbowe Halma Mdee Myika Thomas Nyimbo Lema na babu mrema na vingine kibao.... Huyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mbona tbc hamsomi upepo?naona mnatangaza tu sehemu ambazo mabosi wenu wameshinda.mnaogelea kinyume na mkondo wa maji shauri yako tido mhando soma wakati ukutani
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Matokeo yanasomwa kitaifa na Lewis Makame
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba katika post hii tutaje tu wagombea waliokwisha dhibitishwa na TUME(Wakurugenzi)tuachane na masuala ya matokeo ya awali tutaje waliotanagzwa tu ili tujue tunao wabunge wangapi mkononi at the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajf, Kama mkiangalia kwa undani CCM wako very strategic kuchakachua matokeo. Wameanzisha fujo Temeke, Kigoma Mwanza na Tarime makusudi. Lengo ni kuwafanya watu wakoncentrate sehemu zenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati matokeo yanaendelea NAWAOMBA WAPENZI WA CHADEMA KUWA WATULIVU. fUJO HAITABADILI MATOKEO. tAFADHALI, TAFADHALI UTULIVU NDIO NO 1.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hapa Arusha Mshindi ametangazwa kuwa Lema but the radios are claiming kwamba kuna jimbo la terat lilisahaulika thus Batilda wins. Any one with more on this please.......
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Nasikiliza redio one hapa ofisini wanarusha vurugu zinazotokea hopo temeke aliye karibu atuhabarishe
0 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Closed
Hbari za uhakika kutoka maswa zinasema kuwa mpaka sasa Tume wameshindwa kutangaza matokeo kwani maswa magharibi na Mashariki yaani kwa SHIBUDA NA KASULUMBAYI - CCM wamepigwa sana, nahisi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni mmoja wa wale ambao tumechoshwa na ufisadi, hivyo napata faraja kubwa sana ninapoona haya matokeo yanayotolewa hapa kuwa mafisadi wanaelekea kupigwa chini. Lakini sasa napatwa na wasiwasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
vipi kuhusu majibu ya huku sumve-mwanza?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom