Habari za kuaminika kutoka kwa dada yake na Rau Masha ni kwamba yuko hoi Bugado Hospital, na wanachadema wanadai matokeo yatagazwe, hapotoshi ofisi za jiji Mwanza.
Akijibu swali la muulizaji mmoja siku ya mdahalo,Dr Slaa alisema kamwe vyama vya upinzani haviwezi kusababisha vurugu katika nchi hii na badala yake ni CCM na vyombo vyake ndiyo inaweza kuwa...
Wana jamii,
This election is very emotional... people's hopes are pegged on this election. Hofu kubwa ni uchakachuaji wa matokeo. I know there is something we can do about that. Lakini sidhani...
Sunday, 31 October 2010 18:38
The Citizen Online
Police in Same district are holding a Chama Cha Mapinduzi (CCM) cadre for reportedly campaigning at a polling station.
The CCM member, Issa...
:israel:Habari zilizotufikia ni kwamba Joseph Mbilinyi aka Sugu hivi sasa ameshinda ubunge katika jimbo la mbeya mjini kupitia chama cha CHADEMA. Sugu ambaye ni mhasisi wa mziki wa Bongo Flava...
Dah nimeona hii itakuwa ni record kwenye JF natumai server linarindimisha matukio yote haya lipo Gado kuhimili mahitaji ya wazalendo hawa
Currently Active Users
There are currently 15069 users...
Wakati wana CHADEMA wanashangilia ushindi wa mbunge mpya Vincent Kiboko Nyerere kwenye viwanja vya wazi, mwananchi mwenye mavazi ya CCM alikatisha uwanjani na kujaribu kuharibu sherehe. Amepigwa...
"wataalamu wa utafiti nchini tanzania" Synovet na REDET, fanyieni utafiti hili suala la wananchi waliojiandikisha kutojitokeza kupiga kura. Imeonekena kuwa karibia waliopiga kura nchi nzima ni...
Kulingana na ITV CCM wameikomboa Halmashauri ya Tarime kwa kupata viti 18 vya madiwani na kuna vurugu kubwa huko. Vipo viti 30 tu............Ubunge na uraisi bado kutangazwa.........
Waheshimiwa wa JF-matokeo ya kituo kidogo cha Sopa-Mwaswale,bariadi ya mashariki ni kama yafuatavyo:
Urais:Chadema=59 CCM= 7 APP =1
Ubunge:UDP = 46 CUF = 10 CCM =11
Udiwani:CHADEMA=54 CCM=8 UDP 5...
Jamani mi nahisi ishu ya kuchelewesha utangazaji wa matokeo kuna kitu behind it,hasa ikizingatiwa kuwa hilo linaonekana kujitokeza kwenye yale majimbo yenye utata mtupu.Hizo hesabu hata kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.