Mdau wa Tabora amenipasha kuwa Sitta anaelekea kushinda kwa Kishindo Urambo mashariki, Prof. Kapuya hali yake mbaya huko Kaliua ana mchuano mkali na CHADEMA, Rage anaelekea kushinda kwa kishindo...
Wanajamvi, Wananchi sehemu mbalimabli wamegundua dawa ya uchakachuaji!-KUCHOMA MOTO MASANDUKU YA KURA zilizokwisha-hesabiwa ili kuzuia kurudiwa kuhesabu kura na hatimaye kuchakachua!
Kule...
kwa mujibu wa taarifa ya star tV sasa hivi, manispaa ya kigoma ujiji mabomu ya machozi yamepigwa, (na possibly risasi za moto) kuwatawanya wafuasi wa chadema waliokuwa wanashinikiza matokeo...
Kuna tetesi kwamba wasimamizi wa uchaguzi majimboni wamepewa
amri ya kutotangaza matokeo pale ambapo vyama vya upinzani vimeshinda mpaka kwa kibali cha serikali. Kama kuna anayejua iwapo tetesi...
Tume ya taifa ya uchaguzi sasa wamedhihirisha kabisa kuwa wamepania kunusuru wabunge wa CCM walioangukia pua. wanachofanya sasa hivi ni kutoa matokeo kidogokidogo kwenye ngazi za udiwani na kusema...
wananchi wa kata ya malinyi wamemchagua ndg said tira kuwa diwani wao, kura zilizo mpa ushindi diwani mteule tira zimetoa taswira na ishara kuwa mgombea ubunge wa chadema prof. Mlambiti anayo...
Kwa miaka tumeambiwa wao ndio waasisi wa demokrasia nchini na ya kuwa wao ndio walinzi wa demokrasia hiyo. Leo hii Taifa letu linaenda kupitia kipindi cha majaribu na tusipoangalia tunaweza kupita...
Jamani wana JF kuna habari kuwa eti wale vigogo wawili Rostam Aziz na Basili Mramba wameshwindwa kufurukuta kwenye majimbo yao hizi habari jamani ni kweli??
Kwa nini majimbo ambayo CCM wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? kuna nini? ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada...
Kuanzia jana jioni tuliona faraja baada ya kuanza kutoka matokeo ya Urais, ubunge na udiwani toka vituo mbalimbali.Kulingana na sheria tuliyosoma ya uchaguzi uchaguzi inaeleza wazi kuwa" kura zote...
Jamani wakuu kuna yoyote mwenye taarifa ya dada yetu huyu? I love this lady na hoja zake alizo kuwa akizitoa humu JF. Mara ya mwisho nili sikia ana nafasi nzuri tu ya kushinda ila tokea kura...
Wakuu....
Nimepiga kura kwa amani sana... sasa napata wasiwasi sana kusikia z'bar wanagoma kusaini, Arusha wanagoma ku-sign na pia nimesikia matokeo ya urais yasitangazwe hadi yajumulishwe...
HONGERA SANA Mhe. V. K. Nyerere
Takwimu za matokeo ya Musoma Mjini zimedhihirisha udhaifu wa kauli ya JK kuwa CCM haiibi kura...!
Mwaka 2005 Mathayo alishinda ubunge kwa kura takribani 21elf...
Wananchi wamechoka kusubiri matokeo na sasa wanaanza kutumia nguvu kuingia ndani ya chumba walikojifungia maafisa uchaguzi.
Matokeo ya majimbo mawili yanasubiliwa toka jengo moja chini ya...
Kuna habari nimezipata muda si mrefu kutoka Mwanza zikieleza kuwa matokeo ya Nyamagana yamegeuzwa na kwamba sasa msimamizi wa uchaguzi ana mpango wa kumtangaza Masha kama mshindi wa uchaguzi jimbo...
Mgombea wa ubunge wa CCM amegoma kusaini matokeo baada ya kubwagwa na mgombea ubunge wa CHADEMA, mwl. N. Yamsebo. CHADEMA tayari wanaimba nyimbo za shangwe na polisi wamesema hakuna hata mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.