BBC wametangaza kuwa yule pweza aliyejipatia umaarufu wa kutabiri kwa usahihi mechi za kombe la dunia amefariki dunia. Inaweza kuwa na tafsiri yoyote kwa utawala wa miaka 50 wa CCM?
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia...
Kwenye mikutano ya kampeni inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 31, kati ya ahadi nyingi anazotoa Kikwete ni kuzipandisha daraja hospitali kadhaa kwenye maeneo ambayo amekuwa akifanya...
:rain:Karibu Rais wetu Dr Slaa! :director:
Huyu ni mtanzania wa pili baada ya Nyerere kuchukia ufisadi kwa vitendo. Ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania kwa vitendo. Ni Dr...
CD ZA MDAHALO WA DR SLAA
Napenda kuwajulisha kwamba CD za Mdahalo wa DR W P Slaa sasa ziko Tayari kwa ambaye atakuwa anazitaka anaweza kupiga namba 0766 334049 au tuma email kwenda...
Wadau, wapenda haki:
Kuna taarifa kwamba kuna baadhi ya mitandao ya simu za mkononi zitafungwa kuanzia jioni siku ile ya kupiga kura (wakati wa kuhesabu kura) ili kusiwepo mawasiliano kati ya...
Uchaguzi waja, kura ni muhimu... Lakini wananchi wenzangu - hata ka tulikuwa na viongozi wabaya miakani ilopita na mola forbid, labda miakani ijayo... Lawama si zote kwao, wakati wengi tuliketi...
SIKU moja baada ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, kunadi sera zake kwa njia ya mdahalo uliokuwa ukirushwa hewani moja kwa moja na...
Polictial Games by Lucky Dube
How do you feel when you lie?
Straight faced while people cry
How do you feel when you promise something
That you know you'll never do
Giving false hope to the...
ukitaka kujua kuwa Mr kubenea habaatishi habari zake hebu jiabarishe na hii habari hapa chini
Mwanasheria Mkuu akutwa kambi ya CCM
Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010
Gumzo la Wiki...
FACTBOX-Tanzania's mining, oil and gas industries
DAR ES SALAAM Oct 22 (Reuters) - Here are the main facts about Tanzania's mining, oil and gas industries.
MINING
*...
JK amewaahidi wakaazi wa Simanjiro kuwarudishia ardhi iliyoporwa na wawekezaji wa TANZANITE ONE mara baada ya mwekezaji huyo kumaliza kuyachimbua madini yote ya TANZANITE yaliyomleta hapa nchini...
Uchaguzi 2010 Ahadi za wagombea urais
Ahadi za Mzee slaa zinavutia .. 10 & rahisi kutekelezeka
Ahadi za lipumba za kusadikika bado msimamo wangu uleule hamna elimu bure chuokikuu sijapata kuona...
Ninapenda nitumie nafasi hii kama mwana JF mwenzenu tuache kwa dakika chache mambo ya uchaguzi ambao unamaliza utawala wa miaka 50 ya CCM. Zimebaki siku 4 tu kwa CCM kumaliza utawala wake wa...
Naifuatilia BBC kwa makini tangu jana ila napata wasiwasi kama wapo balanced kwenye habari zao. Wanajifanya kama vile wanachambua wakati wanahitimisha kwa ushabiki. Leo ilikuwa mara ya pili...
Baada ya mdahalo wa mgombea Uraisi wa chama cha CHADEMA siku ya jumamosi, niltembelembelea mitaa siku ya jumapili ili kupata maoni ya wakazi wa jiji la DSM, nikafika katika masakani ya wavuta...
Wadhamini wasweka rumande kwa kuvaa suruali mlegezo
James Magai
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala Ijumaa iliyopita iliwasweka mahabusu siku 14 wadhamini wawili wa mshtakiwa baada ya kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.