MKUTANO wa Kampeni wa CCM wa Jakaya Kikwete, leo majira ya saa 10 umeshindwa kufanyika wilayani Ngara mkoani Kagera kutokana na Helkopita yake kushindwa kutua kutokana na Hali ya hewa.
Kutokana...
Je na kwa hili Wa TZ tutaambiwa Kikwete bado ni Rais kwa hiyo mali ya serikali lazima itumike na CCM kweni kampeni......Basi ni kwa namna gani chama tawala kitakatazwa kutumia resources za...
Ndugu zanguni tangu kikwete alipoanza kung'ang'ania kuingia ikulu na kuomba sana awe anaitwa JK (Jakaya Mrisho Kikwete) badala ya JM yaani alidhamilia kuwasahaulisha watu ile imani ya JK (Julius...
Wakazi wa Dar wametakiwa kutokuwa na hofu pale ndege za kivita zitapokuwa zikipasua anga la Dar kuanzia leo 25.08.2010 hadi 01.09.2010 kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kuadhimisha siku ya JWTZ...
JK leadership has proved failure because of his poor mind. There is a saying that if the body is healthy, the mind will also be healthy. JK's body is not healthy thus his mind is not as well. We...
Na Kizitto Noya, Mwananchi
WAANDISHI wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) wamefukuzwa kwenye kampeni za kumnadi mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete.
Ray...
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Ibrahim Lipumba, jana aliuacha hoi umati wa wanachama wake waliokuwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa chama hicho baada ya Mgombea Udiwani wa...
Habari wana JF!
Sorry, kuna kitu kinanisumbua kidogo. Nimejaribu kufuatilia safari za jk kwa ajili ya kampeni sijaona tofauti yeyote kimuundo na kigharama kati ya safari za kawaida anapokuwa rais...
HAYA WALE WANAOPENDA MABADILIKO UTARATIBU WA KUCHANGIA CHADEMA NI KAMA IFUATAVYO TUMA UJUMBE "CHADEMA" KWENDA 15710 KILA UJUMBE NI SHS 350/= TU KWA WATEJA WA ZAIN NA VODACOM TU. TUMA KADRI...
Moja ya kazi za Ofisi ya Msajili wa vyama ni kusajili, kusaidia na kuvilea vyama vya siasa. Lakini kadri siku zinavyokwenda inaonekana Ofisi ya Msajili wa vyama imekuwa kama adui wa vyama vya...
Wale jamaa wanaowanadi wagombea uraisi kwa tkt ya ccm na cuf pale buguruni relin(nmc) wameanza kazi yao rasm.swali langu ni: nani anawaweka hapo.uchaguzi uliopita niliwaona wakiwa na marundo ya...
Nimesikitishwa sana na wimbi la ubakaji wa demokrasia linaloendelea kuelekea uchaguzi mkuu 2010..kubwa katika yote,ni hili suala la 'kupita bila kupingwa" kwa baadhi ya wagombea katika majimbo...
Naomba wanajamvi walio na uelewa wa kisheria, kama mimi ni mwajiriwa wa serikali na nataka kugombea nafasi ya kisiasa, kama uenyekiti wa mtaa, udiwani, ubunge au uraisi, sheria inasemaje. Je...
Uchaguzi mkuu ukiwa unakaribia na hata tarehe tayari imetangazwa, nahisi litakuwa jambo la busara kama Jamii Forums ikafikiria kuandaa mdahalo kwa wagombea uraisi.
Naiona JF kuwa na nafasi nzuri...
Jamani mimi ni mtanzania ambaye nimeona mnisaidie kwa hili, Kwenye kampeni ya CCM mwanza JK aliahidi kulipa madeni yote ya NYANZA... ambayo ni zaidi Tsh billion tano. kati ahadi hiyo alikiri...
Wakuu,
Mnaweza kuwa hamwelewi CCM ina-operate vipi au wengine mnafahamu zaidi yangu lakini sasa naona mwenzenu yamenikera mpaka nimeamua niyaseme.
Ndiyo, inasikitisha kuona Usalama wa Taifa...
VURUGU zilizoambatana na ufyatuaji risasi zimetokea katika machimbo ya madini ya rubi ya Winza, Mtakanini, Mpwapwa mkoani Dodoma ambako watu kadhaa wamejeruhiwa kwa risasi akiwamo mwanamke mmoja...
Tuesday, 24 August 2010
Frederick Katulanda, Sengerema
MWENYEKITI wa CCM Jakaya Kikwete jana alitumia mkutano wa kampeni kwenye jimbo la Buchosa kujaribu kutuliza wimbi la wanachama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.