Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kikwete alipitia dirishani, sasa kaamua kulifunga? Mwandishi Maalum Raia Mwema Machi 10, 2010 YANAWEZA kusemwa mengi kuhusu jitihada binafsi anazozifanya Rais Jakaya Kikwete kushupalia Sheria...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hivi karibuni mh waziri Mkuu alikua na ziara mkoani Tabora ya zaidi ya wiki na katika kipindi kisichozidi mwezi mmoja, Mh. Raisi nae yuko kwenye ziara ya kikazi mkoani humo Tabora. Swali...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Ukija Iringa msimu huu utaona wakandarasi walivyo tigwa,wanajenga na kukarabati barabara mno,na hili ndilo lililonosukuma kuandika post hii, kuna miradi mingi inayotekerezwa msimu huu hapa iringa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanabaraza nimewazua kuhusu vipaumbele halisi tunavyoviendekeza sisi kama Watanzania 1.ULALAMISHI (ilhali tangu tuanze kulalamika hatujapata suluhisho) 2.RUSHWA (katika tafsiri na aina zote...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
..makala ya Mihangwa wa raia mwema akiwachambua Mawaziri Wakuu wa Tanzania kuanzia wakati wa Uhuru. KUTOKA NYERERE HADI PINDA, YUPI MAHIRI?? Waliotia fora kwa umahiri ? Kawawa, Sokoine...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Nimesoma kwa masikitiko makubwa kuhusu kijana, mwanaume, Mtanzania, aliyefariki baada ya kukamatwa na kuhojiwa na Polisi, hatimaye kufariki akiwa hospitalini, baada ya mateso aliyoyapata akiwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
RAIS wangu, makala iliyopita imewagusa watu wengi mno! Kwakuwa mwangwi wake umekuwa mkubwa, hivi nimeona ni bora niinyumbue ili iwe wazi zaidi. Imeandikwa, “Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mbunge adaiwa kununua vitabu kuchoma moto Mwandishi Wetu , Mwanza KITABU cha ‘Mafisadi wa Elimu’ kimezidi kuwa lulu jijini Mwanza baada ya nakala zake 25,000 ambazo zilitarajiwa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
BENKI ya Dunia (WB) imeidhinisha Tanzania kupatiwa mkopo wa dola za Marekani 40 milioni sawa na zaidi ya Sh52 bilioni ili kufanikisha mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa kwa ajili ya Watanzania...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Mwakyembe gives PCCB a piece of his mind THIS DAY Kyela member of parliament Dr Harrison Mwakyembe has hit back at the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) over its reported...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mengi yamesemwa kuhusu JK kutofaa kwa awamu nyingine, lakni ni kweli hakuna yale mazuri yanayoturuhusu tumpe awamu ya pili?? katika hili naomba tuchambue zile sababu haswa zinazoshawishi JK apate...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu jamaa ni miongoni mwa wachache walitahidi katika suala zima la uongozi na uadilifu
0 Reactions
11 Replies
3K Views
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza kutoridhishwa kwake na uendeshaji wa mashirika ya reli kwa njia ya ubia katika Afrika Mashariki na kutaka uangaliwe kwa kina. Akifungua jana kongamano la kujadili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BREKING NYUUUUUUZZZZZ:TSN YAPATA MWENYEKITI NA BODI MPYA Bw. Wilson Mukama RAIS JAKAYA KIKWETE AMEMTEUA BW WILSON MUKAMA KUWA MWENYEKITI MPYA WA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amemuelezea mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema kuwa amekwisha kisiasa na kipesa na sasa anahangaika kujinasua kutoka katika hali hiyo. Spika...
0 Reactions
314 Replies
23K Views
Habari zilizothibitishwa na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Ngeleja zinasema kuwa tatizo la umeme lililoikumba nchi muda mfupi uliopita linatokana na matatizo ya kiufndi kwenye gridi ya taifa na...
0 Reactions
63 Replies
42K Views
YADAIWA KUIKWAMISHA TAKUKURU KUSHUGHULIKIA WALA RUSHWA Felix Mwagara RIPOTI ya Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mpango wa Kutathmini Utawala Bora nchini Tanzania (APRM), imebainisha kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KWA mujiibu wa habari nilizozisikia hivi karibuni ni kuwa viongozi wa kijeshi wa Marekani wamesema tayari wameruhusiwa kutumia ndege zao za kijeshi ili kuihuisha serikali iliyopandikizwa huko...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Political notes: Connolly speaks against mauling in East Africa Rep. Gerry Connolly receives a hug from Mariamu Stanford of Tanzania. By JONATHAN HUNLEY Published: March 10, 2010 The...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MOZAMBIQUE GETS TOUGH ON CORRUPTION: EX-MINISTER GETS 20 YEARS JAIL 27 FEB 2010 BY : DPA In a test case for Mozambique's fight against corruption, a former government minister in the southern...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…