Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na hii hapa chini maeneo ya Msasani Hapa ni njia ya kituo cha Polisi cha Msimbazi kama kinavyoonekana kwa mpiga picha. Nimepata picha hii toka kwa Evarist Chahali FB; Ninajiuliza: a. Uchafu...
0 Reactions
92 Replies
9K Views
taarifa toka njia panda ya mzumbe pale morogoro ni kwamba basi la scandnavia la kwenda mbeya limewaka moto likiwa na abaria wote garini. Hakuna aliyepoteza maisha. Chanzo cha habari amesalimika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Marekani.com Nataka kutengeneza mtandao wenye hilo jina la Marekani.com. Kama Mswahili uliyeko Tanzania, au popote pale; ungependa kuona taarifa gani, au huduma zipi kwenye mtandao wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo wanawake wa wanasiasa wa Tanzania wamefanya uzinduzi wa Jukwaa la Wanawake wa Vyama vya siasa Tanzania (Tanzania Women Cross Party Platform,TWCP)lililofanyika katika ukumbi wa Karimjee...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tanesco bosses fired over Sh280 billion loan scam Former Tanesco Managing Director Dr Idris Rashidi. Two top directors of the cash strapped power utility firm have been suspended...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaji mkuu Ramadhan amewashangaza watu kwa kutumia pesa ambayo alipewa kukarabati nyumba yake na kuamua kwenda kukarabati jumba la kumbu kumbu ya Jaji mkuu wa kwanza wa Tanzania Bw. Said. Sherehe...
0 Reactions
74 Replies
8K Views
Jana nilitoa "Tamko kwa Vyombo vya Habari kuhusu Taarifa ya Sekretariati ya Maadili ya Viongozi wa Umma" ( Unaweza kulisoma tamko lote hapa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Rais Jakaya Kikwete akijiandikisha kupiga kura kwenye kituo kipya cha kupigia kura kijijini kwake Msoga,wilayani Bagamoyo. Pembeni akiangalia ni msimamizi wa kituo cha kuandikisha wapiga kura cha...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Serikali yafyata kwa Dowans • Yajiandaa kula matapishi yake na Sauli Giliard BAADA kuikwepa mitambo ya kufua umeme ya Dowans kwa takriban mwaka mmoja, hatimaye serikali iko katika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani kuna mikoa sijui imesahaulika ama imelaaniwa kuna mikoa hata nguzo ya umeme uioni.....wanasikia tu kweli kuna mikoa waanaamini bado rais ni julius nyerere na si jakaya kikwete ila hili si...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
HUKU Kamati ya Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ikiwa imeongezewa muda kukamilisha usuluhishi miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kundi jipya limeibuka ndani ya chama hicho likitaka...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Tanzania Daima HATIMAYE Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imeridhia kukipa usajili wa muda Chama Cha Jamii (CCJ), baada ya kukikwepa kwa zaidi ya miezi miwili. Habari za uhakika...
0 Reactions
101 Replies
10K Views
Nimetafakari sana wana JF wenzangu kabla ya kuleta mada hii jamvini. Sote tunakula chakula cha aina tofauti,kwa wakati tofauti. Pia nina imani kila mmoja wetu wakati mwingine hata kama sio kila...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Wadau mnaichukuliaje hii. Inaashiria nini katika miaka mitano ya Spika Sitta hadi sasa! Sitta mzoefu wa kuvuruga Bunge MWANDISHI WETU Imebainika kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Huu upole wa watanzania, umetoka wapi? Una maana kweli kwa maendeleo ya nchi? Utatutoa kimaendeleo? Ukiwa mwanasiasa unaweza kuwaahidi uongo, ukawadharau na hata kuwanyanyasa na watakuangalia tu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WAKATI vita dhidi ya ufisadi ikionekana kupoteza mwelekeo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho kinachoongoza kwa rushwa nchini, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NB: kichwa cha habari nilichopendekeza kutoka kwenye gazeti ndiyo hicho lakini naona waliamua kubadili kwa discretion yao. Hii ni hoja yangu ya leo. KABLA hamjanijia juu, niseme mapema kuwa si...
0 Reactions
154 Replies
17K Views
Magufuli - president Pinda - vice president Slaa - Prime minister Hapo vipi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
MATUMIZI mabaya ya serikali na kuendelea kupanda kwa mfumuko wa bei za bidhaa kwa zaidi ya mara mbili katika kipindi cha kati ya mwaka 2005 na sasa ni chanzo cha maisha magumu ya wananchi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Heard through the grapevine: Anna Tibaijuka to run for parliament During my recent visit to Muleba district in Kagera region I was informed that Dr. Anna Tibaijuka, the United Nations...
1 Reactions
92 Replies
10K Views
Back
Top Bottom