Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kauli zake zaivuruga CCM, Kamati ya Mwinyi na Mwandishi Wetu MWENENDO na kauli zinazotolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta, zimekivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Rotarian Faye Cran, known by all as Mama Kuku, was brutally beaten by thieves at her home in Duluti on Saturday 27th February. She was coming home from a fundraiser to help the community, and this...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni
0 Reactions
39 Replies
4K Views
  • Closed
Mtoto wa Jakaya Kikwete ,Ridhiwan Kikwete avuruga mkutano wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UVCCM -Taifa) Masauni Yusuph Masahuni. Taarifa zinasema...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hawa ni baadhi tu ya wabunge wanao onekana kutofaa mwakani, feel free kuongeza majina mengine au kukosoa kwamba fulani asiwepo kwenye list hii. 1. Gideon Cheyo- Ileje. 2. John Chilligati -...
0 Reactions
452 Replies
48K Views
Hosea Kutojiuzuru kama pendelezo la kamati teule ya bunge na kuthubutu kuwahoji wabunge kuhusu posho mbili mbili kipindi hicho hicho- na Bunge kunyongonyezwa msimamo wake wa richmond - na Lowasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, imemkingia kifua Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, kuwa alitaja mali zake wakati akitoka madarakani. Kwa mujibu wa sekretarieti hiyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
na Marietha Mkoka, DSJ RAIS Jakaya Kikwete amemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, Patrick Tsere kuwa balozi mpya nchini Malawi. Taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya...
0 Reactions
70 Replies
11K Views
Baadhi ya kauli hizo ni ile aliyoitoa wakati wa hafla ya uzinduzi wa albamu ya kwaya ya Kanisa Katoliki Chang’ombe, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Sitta alisema ujasiri wake na maisha yake yanatokana...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilipokuwa shule ya msingi darasa la tano mwalimu wetu alikuja na kutuuliza utamaduni ni nini? kwa kweli hakuna aliyejibu jibu lililomlizisha mwalimu mbaka mwenyewe alipotuambia kuwa utamadumi ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
• Asema hana mpinzani na Deogratius Temba JITIHADA za kuhakikisha Rais Kikwete anaendelea kukubalika kwa wananchi na kuchaguliwa zinazidi kushamiri ambapo mama wa Naibu Katibu Mkuu wa Chama...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Pinda Jiuzulu kazi imekushinda “Iwapo mnataka kumchagua tena Rostam zingatieni amewafanyia nini katika ubunge wake. Msisikilize kile kinachosemwa bungeni juu yake. Bunge lina mambo yake...
0 Reactions
78 Replies
8K Views
********************************************************** Waweza kusoma habari hii hapa chini au attachment niliyoambatanisha humu ambayo ni scan ya gazeti la TUMAINI LETU...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Aliyedaiwa kuwa ni "FISADI WA ELIMU" Dr.Milton Makongoro Mahanga amefungua Civil case No.145 ya mwaka 2009 dhidi ya; 1.KAINERUGABA MSEMAKWELI. 2.MUHIBU SAIDI. 3.MANAGING EDITOR,NIPASHE. 4.THE...
0 Reactions
127 Replies
15K Views
mjane wa marehemu habyarimana ageukwa na maswahiba wa mumewe. kwa maelezo zaidi soma hapa chini http://www.bbc.co.uk/swahili/news/story/2010/03/100302_habyarimana.shtml
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa wale walio UK wanaweza kuangalia BBC channel 4 maisha ya Zimbabweans today so sad story ..... .... Zimbabwe's Forgotten Children http://www.bbc.co.uk/bbcfour/watchlive/ Zimbabwe's...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
na Betty Kangonga MFANYAKAZI wa Wizara ya Nishati na Madini, Doroth Mtweve, amehamishwa kutoka makao makuu ya wizara hiyo baada ya kudaiwa kuvujisha siri za ofisi kuhusiana na sakata...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Kusemaga ule ukweli, Zamani nilipokuwa nasikia 'serikali ina mpango kamambe wa...' (fill in the blanks: 'maji kwa wote ifikapo mwaka 2000; 'afya kwa wote ifikapo mwaka 1990'; 'Structural...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Asubuhi ya leo nikiwa mbele ya kituo cha Polisi Salendar Bridge ulipita msafara wa kiongozi mmoja wa juu serikalini anaenda zake ofisini ulikuwa msusururu wa magari ya kifahari...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The president? The ministers? CCM? The Secret service? religious leaders? Big businessmen? "Mafia" kingpins? Outside powers? Looking quickly at our country it's hard to tell whose running the show.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom