Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jana nilikuwa naangalia Taarifa ya Habari Channel ten, nikamuona Aisha Kigoda akigawa Misaada huko Handeni, Moja kati ya Misaada aliyogawa ni Mpira mmoja wa Miguu na mmoja wa Netball kwa Wanafunzi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Spika BLW Zanzibar Mh. Pandu Ameir Kificho MUWAZA inakutunukia pongezi zake za dhati kwa matamshi yako ya kizalendo ya kutetea uhuru, uwezo na nguvu za BLW kwa kutamka kwamba "Hakuna Mtu au...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Our journalists, particularly those that work for The Guardian, continue to exhibit signs of very low understanding of facts and figures. Do neither the Reporters nor the Editors know that a...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Rais Kikwete ameanza kuhutubia Taifa katika utaratibu wa mwisho wa mwezi. Ameanza kuzungumzia suala la rushwa katika uchaguzi kama alivyozungumzia kule kwenye Mkutano wa TAKUKURU Mwanza.. more to...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
NEC technically locks out CCM presidential aspirants By Rodgers Luhwago 28th February 2010 President Jakaya Mrisho Kikwete Any CCM member seeking nomination as the ruling...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu. pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Na Nkwazi Mhango UTHIBITISHO kwamba kampuni ya BAE Systems ya Uingereza imetembeza rushwa ili kupata kuiuzia Tanzania rada ya kijeshi (Plessey Commander Fighter Control System), unatupa changamoto...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
... Mwafrika mwenyewe!
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nd. wana JF, Naomba kidogo nitoe maoni machache kuhusu hoja zinazotolewa mara kwa mara na watu ambao wanashangazwa na manun'guniko ya Muungano. Kuna wale wanaodai kuwa bila ya Muungano Zanzibar...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Chanzo: TBC1 News (saa mbili usiku) Balozi huyu WA TANZANIA ITALIA ni miongoni mwa wanaowania KWA RIDHAA YA UONGOZI WA CHAMA kinyang'anyiro cha urais huko visiwani. Amekiri wazi kwa kinywa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, amesema mpango wa wizara kutoa ripoti ya uchunguzi wa uamuzi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutumia zaidi ya Sh. bilioni 2.5 kujenga nyumba mbili za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Leonard Mubali, Kigoma KAMATI Maalum ya Ushauri ya mkoa wa Kigoma imevunja ngome ya kisiasa ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe baada ya kupitisha mgawanyo wa majimbo katika wilaya za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
We tanzanian we need to change the way we believe on issues about our nation. if we change the belief the performance follows ie if you and me change the our belief we can change the way we run...
0 Reactions
1 Replies
926 Views
Mwandishi Maalum WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema kuna uwezekano wa kuanzishwa mkoa mpya ambao umependekezwa uitwe Katavi utakaozihusisha wilaya za Mpanda (Rukwa) na sehemu ya Wilaya ya Urambo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Utangazaji la Tanzania (TBC), linatarajia kurusha nchi nzima matangazo ya mwenendo wa zoezi la uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani utakaofanyika baadaye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MREMA NAYE ATANGAZA RASMI KUMPIGIA KAMPENI KIKWETE 2010 Waandishi Wetu MBUNGE wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ameponda maelekezo ya Rais Jakaya Kikwete kwa wanasiasa kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mufti aunda kamati kuwahamasisha nchi nzima na Lucy Ngowi VIJANA wa Kiislamu nchini wamehamasishwa kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi nchini katika kipindi hiki cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanabaraza; Leo nimesikia katika udondozi wa magazeti kupitia redio kuwa Waziri Celina Kombani yuko ndani ya Sakata la Jerry Muro. Mwenye taarifa zaidi atujuze...
0 Reactions
111 Replies
13K Views
Nimetoka sasa katika Mkutano mkuu wa Mwanza wa Takukuru ambako Rais Kikwete alikuwa Mgeni rasmi hapa jijini Mwanza. Kikwete wakati wa kufungua mkutano wa mwaka wa TAKUKURU, emeonyesha furaha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Alitimuliwa pamoja na Baregu na kanyimwa haki zote za msingi kama mwajiriwa kama mafao etc. Kweli inasikitisha kwa hali inayoendelea hapo UDSM. Inahisiwa kuwa alishiriki kwenye mgomo wa wanafunzi...
0 Reactions
49 Replies
11K Views
Back
Top Bottom