Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimechukua muda wa kama Saa zima kutemebelea tovuti ya bunge la Tanzania, yaani http://www.parliament.go.tz na kuangalia Cv za wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Nimegundua kuwa wengi wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SIKU chache baada ya kampuni ya Synovate kutoa matokeo ya utafiti wao, wasomi nchini wameufananisha utafiti huo na chati za muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava) huku wakiwaonya Watanzania kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na Nkwazi Mhango RAIS Jakaya Kikwete aliishajijengea utamaduni wa kutojibu shutuma dhidi yake. Kazi hiyo aliikabidhi kwa wapambe wake, Yusuph Makamba, Kingunge Ngombale -Mwiru, George...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
CCM yaiga CHADEMA • Yawaengua Rostam, Aboud, Somaiya kamati ya ushindi na Martin Malera CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinajipanga kukusanya sh bilioni 40 za kampeni za uchaguzi mkuu kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tumechoshwa na hadidu rejea Kiti cha Ubunge Jimbo la Ubungo kinanadiwa na CCM kana kwamba Ubungo haina wenyewe,Alikuja Lamwai(NCCR kwa malumbano m,azito maendeleo...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
....badala ya kujifanya ni Wapinzani kumbe ni Mamluki!? Cheyo na Mrema wakati umefika sasa wa kurudi CCM na kuacha usanii wenu wa kujifanya nanyi pia ni Wapinzani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa nini wana nchi wa majimbo yaliyo nje na miji ndio wamekuwa wepesi kuwachagua wabunge wa upinzani wakati sisi wa darisalama au tulipo tunaojiita wasomi wengi na miji mingine kama arusha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mh. Kikwete, Wakati unagombea Urais kupitia ndani ya Chama Chako n hata kwa Taifa zima, ulijiuza kama muumini mkamilifu wa TANU na CCM pamoja na Itikadi zake na kuwa wewe ni muumini na mtifu kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameshtushwa na swali lililomtaka kutoa maelezo ya kwa nini Serikali inahofu kukubaliana na uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania iliyobariki mgombea binafsi. Swali hilo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau, Naomba msaada wa kupata 'soft copy' ya 'Elections Expenses Act of 2009' iliyopitishwa hivi karibuni na Bunge. Nimejaribu tovuti ya bunge lakini nimeambulia patupu. wasalaam.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Je ni vipi tunaweza kuwashauri wale Wanaotarajia kugombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu Mwaka 2010? Watumie Mbinu na Mikakati gani? Wale wenye maoni ya kujenga tunaweza kuyatoa hapa . ...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Godfrey Mwakikagile plagiarized Mozambican author By Fernando Veloso Maputo (Canalmoz) – Tanzanian writer Godfrey Mwakikagile, author of a biography of Tanzania's first president...
0 Reactions
75 Replies
8K Views
Mwandishi Wetu Februari 24, 2010 Ni Clare Short aliyeshupalia Tanzania kutoinunua NYOTA ya Waziri wa zamani wa Uingereza wa ushirikiano wa kimaendeleo, Clare Short, aliyekuwa mstari wa mbele...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Na Tiganya Vincent-MAELEZO Asilimia 75 ya watanzania waliohojiwa na Shirika lisilokuwa la kiserikali linajihusisha na utafiti wa masuala ya siasa, uchumi na kijamii wameonyesha kuwa wangependa...
0 Reactions
109 Replies
12K Views
Nimeandika hii article in response to 'Mkapa anataka azomewe vipi zaidi?' ya Raia Mwema Very interesting article with a sad ending. Inanisikitisha sana! ‘Nina hakika Watanzania watamsamehe tu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WASEMA RAIS KIKWETE ATABEBA MSALABA WA RICHMOND Sadick Mtulya WABUNGE wanaojipambanua kwa kupambana na vitendo vya ufisadi nchini, wamesema hawajashindwa vita ya ufisadi , hawaogopi mtu na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
By ThisDay Reporter 23rd February 2010 THE Speaker of the National Assembly, Samuel Sitta, was at the centre of an assassination plot in Dodoma last year, it has come to light. According...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
NIANZE makala hii kwa kukiri udhaifu wangu binafsi kwamba, wiki iliyopita nilishindwa kuandika chochote katika safu hii si kwa sababu ya kutingwa au kwa kile ambacho tumekuwa tukikiita kila mara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekua nikjiuliza na kutafakari maswali mengi na kutafakari baadhi ya majibu yanayoweza kuleta mabadiliko ya kweli. Nimetafaaki utendaji wa keshi letu la JWTZ na namna ambavyo kama wenye...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Haya jamani wana Jf, jana na leo katika shirika la habari TBC1 kipindi cha jambo Tanzania Zito amekiri kuwa siasa halikuwa chaguo lake la kwanza, kwa maana hii mi natasfiri kwamba ni mamluki wa...
0 Reactions
151 Replies
16K Views
Back
Top Bottom