Date::2/18/2010
Mseto Zanzibar baada ya miezi 3
MUUNDO wa Serikali ya Mseto visiwani Zanzibar utajulikana katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya...
Nora Damian
Mwananchi
20/2/2010
BENKI ya Dunia (WB) imeitaka serikali ihakikishe kuwa inaacha matumizi mabaya fedha za maendelelo, kwa kupunguza posho na marupurupu mbalimbali kwa watumishi...
Na Salim Said
CHAMA Cha Wananchi (CUF), kimesema mazungumzo yake na serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni siri inayopaswa kuwekwa wazi kwa makubaliano maalumu.
Juzi Katibu Mkuu wa CUF, Maalim...
baada kamati ya mzee mwiyi kuanza kazi yake, jana kwenye hoteli ya ngurudoto vigogo hawo wawli walikimbiana baada ya spika wa bunge samweli sitta kutotia miguu kweye hoteli hiyo, kamati hiyo...
CHUO Kikuu cha Fatih cha nchini Uturuki kinatarajiwa kumtunuku Rais Jakaya Kikwete, Shahada ya Uzamivu (PhD) ya heshima, imefahamika.
Ikulu, Dar es Salaam imesema, Rais Kikwete anaondoka leo...
Na Saed Kubenea
MwanaHALISI
UWEZEKANO wa Rais Jakaya Kikwete kugombea bila mpinzani ndani ya chama chake, umeanza kutoweka, MwanaHALISI limeelezwa.
Mkakati mpya wa kumuhusisha na kashfa...
DAILY NEWS Reporter,
19th February 2010
TANZANIA can promote the agenda of good governance because it enjoys the highest press freedom in the East African region, Minister for Foreign Affairs...
Govt: Richmond scam files far from closed
By Edwin Agola
20th February 2010
All those implicated will be taken to court, says minister
Foreign Affairs and International Co-operation...
Wadau kama mnavyojua Serikali yetu ndio imeshashindwa kuwachukulia hatua yeyote hawa wenye hatimiliki na nchi
Kwa kisingizio nchi itavurigika au haitatawalika ijapokuwa Mwalimu Aliwacha sheria...
Polisi Dar es Salaam leo wamemkamata mwandishi wa habari Moshi Lusonzo, ambaye alikuwa akipiga picha wakati wa operesheni ya polisi ya kukamata wafanyabiashara wanaoiba haki za wasanii katika...
UK should come clean on the radar suspects
Two weeks ago, we broke the news that, Sailesh Vithlani - the man who has been hiding out in Switzerland for years, to escape prosecution for brokering...
Professor Mayunga Nkunya is quoted in todays papers as stating that it is against the law for anyone to question the validity of other peoples' degrees. I hope that he has been misquoted, for it...
Na Joseph Sabinus
Tanzania Daima
KANISA Katoliki nchini limeibuka tena na kutoa waraka kwa waamini wake kuhusu namna bora ya kushiriki uchaguzi mkuu ujao na safari hii likitoa maswali mazito kwa...
kauli aliyo toa spika wa bunge ni za kisiasa zaidi kuliko kujali masilahi ya umma alikuwa wapi mwanzo wakati bunge linafunga mjadala wa Richmond? wakati yeye angepaswa kuruhusu mjadala uendelee...
Mwananchi Exuper Kachenje
18/2/2010
ASEMA MARIDHIANO HAYAONDOI IMANI YAKE KATIKA KUPAMBANA NA UFISADI
SPIKA wa Bunge Samuel Sitta amesema yupo tayari kwa hukumu yoyote itakayotolewa na...
Haya kwa wale ambao hatuifahamu ilani ya CHADEMA ya 2005 nimeona ni vema nikawaletea ilani hii ya Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge,Wawakilishi na Madiwani ili tuichambue, kuijadili na kuikosoa.
20th February 10
Tanzania will still need aid for next two decades - WB
Angel Navuri
A World Bank lead economist, Paulo Zacchia, has said Tanzania will still need financial assistance...
Takriba watu miatatu walihudhuria mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF uliofanyika juzi jmosi 13/2/2010.
Baada ya maelezo marefu na ya ufasaha kuhusu mwangalio...
RAIS Jakaya Kikwete amesema baada ya maridhiano kati ya Chama cha Wananchi (CUF) na Serikali ya Mapinduzı ya Zanzibar, hali ya kisiasa, itazidi kuwa nzuri visiwani humo.
Mbali na hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.