Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

wana jamvi mimi ni mchanga kwenye siasa ila najaribu kufuatilia kwa karibu yanayojiri kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.... kwenye taarifa ya habari ya saa2 usiku TBC1 mzee Msekwa alikuwa...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Akiongea na BBC Juma Duni Haji "Babu" amesema wameshinikiza tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa kuwa iliyopo inafanya kazi kama kamati ya CCM kwa kukipendelea chama hicho kikongwe. Duni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
SIKU moja baada ya Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume kuwahakikishia wananachi na wageni kuwa Zanzibar ni shuwari na atakayetaka kutembelea anakaribishwa mripuko mkubwa umetokea katika nyumba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni kawaida kuona wanasiasa wakiwarubuni wananchi kwa kuwapa maneno matamu sana na yenye matumaini hapo mbeleni. Lakini cha kushangaza utekelezaji wake ni karibia na kipindi cha uchaguzi ndo utaona...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
CHAMA cha Wananchi (CUF) jana kilitekeleza azma yake ya kuzipinga Tume za Tanzania na Zanzibar( Nec na Zec) kwa maandamano na kusisitiza kuwa tume hizo zivunjwe, ili ziundwe tume mpya huru...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesoma magazeti ya leo asubuhi SPIKA 6 anatoa statements za kudai kuwa hatuna gharama tuliyoingia kwenye mkutano huu Jambo hili sitaki kuliamini kwa sababu SPIKA 6 si mwadilifu yapotokea madili...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kimepanga kufanya maandamano makubwa kuanzia Buguruni Sheli hadi kwenye Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, msajili huyo amepiga marufuku maandamano kufika katika...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
France's Economy Minister Christine Lagarde attends a session at the World Economic Forum (WEF) in Davos on January 31, 2009. By OLIVER MATHENGE Kenya will after all not be the first East...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Arusha; Tarehe: 29th September 2009 Habari Leo SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, ametangaza rasmi kuwa amejitoa mhanga kupambana na ufisadi ili nchi isiangamie...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ASEMA WALIOJIPENYEZA MADARAKANI, SASA WANAUMBUKA Daniel Mjema, Same RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi amelipua kombora jingine kwa viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi, akisema kuwa...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Mimi kama Mtanzania nimeshidwa kuvumilia na mwendendo wa viongozi wa Serikali yangu yangu ya Tanzania kwa kutokuwa makini na kutoelewa nini maana ya uongozi, Maslahi ya mtu binafsi yamewekwa mbele...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MADA ya rushwa na ufisadi ambayo imekuwa ikivuma nchini kwa muda sasa itakuwa miongoni mwa agenda ya za Mkutano wa 55 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) unaoendelea mjini Arusha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
http://www.caribbeannetnews.com/news-19078--12-12--.html Published on September 30, 2009 CARACAS, Venezuela (Reuters) -- Venezuela said on Tuesday that seven African nations would join it in...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Nashangaa nasikitika na sipati majibu kabisa Hivi huwa ni akili zetu watanzania au ?? Tunaelewa kabisa huyu ni mbunge wetu whatever lakini katika kipindi chake cha miaka 5/10 or more hajafanya...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Assume we had the Federal Republic of Tanzania! It comprises of the following Provinces: Lake: Kagera , Mara, Mwanza and Shinyanga Central: Dodoma,Tabora and Singida Highland: Iringa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, Inspekta Jenerali, Said Mwema amefanya ziara ya siku mbili katika Visiwa vya Unguja na Pemba kufuatia ghasia za uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kumekuwa na taarifa kutoka vyombo mbalimbali vya habari kuwa kuna Wanaccm wanaotaka kupata nafasi za uongozi hususani ubunge katika uchaguzi ujao kusambaza kadi feki za chama hicho miongoni mwa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwa karibu siku kadhaa sasa nilikuwa najiuliza maswali kwamba labda Tanzania tupate kiongozi aliye mzalendo wa kweli mwenye hulka za kijamaa kidogo.. Lakini katika mawazo yangu nimekuwa najiuliza...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Sitamuonea haya fisadi hata aje na bilioni - Simba 27 September 2009 Majira Na Gladness Theonest WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Bibi Sophia Simba amesema hatamwonea haya...
0 Reactions
98 Replies
9K Views
WAZIRI mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba ametahadharisha kuwa nchi inaelekea kubaya anapoangalia jinsi mambo mbalimbali yanavyoendeshwa, huku akisema kuwa serikali haitaweza kushinda vita dhidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…