Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na Saed KUBENEA MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa ameshauriwa kukaa kimya kuhusu siasa zinazoendelea hivi sasa nchini ili akija kuibuka awe na kishindo kipya. MwanaHALISI limeelezwa kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukitaka kujua jinsi vyama fulani visivyo serious jaribu kutembelea website ya chama cha CUF. http://www.cuftz.org/
0 Reactions
190 Replies
25K Views
Pinda: Wawekezaji kwenye kilimo watapewa ardhi Na Joseph Mwendapole 3rd June 2009 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amesema serikali itawapa ardhi wawekezaji wa kigeni wanaotaka kuwekeza kwenye...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI SERIKALI HAIPENDI KUONA WANANCHI WAONEWA – PINDA WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewataka viongozi wa dini watambue kuwa kamwe Serikali haipendi kuona...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watz na Afrika kwa ujumla napenda kusema uvujaji wa pesa za umma ni kitu kibaya na hakitakiwa katika serikali inayotaka maendeleo, Tumeona na kusikia katika vyombo vya habari wenzetu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Politics is a man's world & so is the case in Tanzania. But once in a while we have women who stand out. Who are those women who stand out in Tanzanian politics? Who would be fit for the highest...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mhh kweli hii nchi inaoza kama aijaoza..yule mwenyekiti wa bodi aliieiua AIRTANZANIA bwa ALI MUFURUKI ati ndie mkurugenzi wa wakurugenzi wa sekta tanzania....huyu bwana kilichomwondoa ilikuwa ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mkapa roads zanzibar, Moja inatokea njia ya Amani kupitia Darajabovu mpka Bububu, hii aliifungua Mkapa na inaitwa Mkapa road. Nyengine inaotokea Kisiwandui kuelekea Michenzani pia inaitwa Mkapa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Born Again Pagan Bado tunajenga muktadha wa matukio ya ki-mataifa, ki-ukanda (regional) na ki-taifa (Tanzania) uliozalisha msimamo mkali kwa baadhi ya wanafunzi wa Mlimani miaka ya 1960 hadi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Safari ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe nchini Hispania katika mkutano wa kuwakilisha shirika lisilo la kiserikali la Majirani Wasio na Mipaka (NWB) la mjini hapa, imezua mtafaruku...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana jamvi, kuuliza si ujinga maana nataka kujifunza kama si kueleweshwa kiufasaha. Nina shahada yangu ya kupigia kura ambayo nalijiandikisha wakati nikiwa mwanafunzi chuo kikuu cha Dar Es...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tz wamekopeshwa na IMF dola 400bil, Kuna mikakati ya kurudisha au hilo deni litasamehewa?? Au mpaka kizazi cha 2040?? TUJIULIZE, SISI HATUWEZI KUZALISHA. Hebu tujadili hili??wana THINKTANKER
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Video - Breaking News Videos from CNN.com Video - Breaking News Videos from CNN.com
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Wabunge waionya Polisi ajali ya Mwakyembe Tuesday, 02 June 2009 16:33 Na Edmund Mihale KAMATI ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ya Bunge imelikata Jeshi la Polisi kuwa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanesco yaibuka na tahadhari mpya yataka Sh312 bilioni kununua mitambo Na Leon Bahati BAADA ya kimya cha muda mrefu, Shirika la Umeme (Tanesco) limeibuka na kuiangukia Kamati ya Bunge ya Nishati...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakaazi wa Mbarali Mkoani Mbeya juzi wameamua kuwatolea uvivu kauli ya ukweli Kamati ya Bunge iliyotembelea shamba la Mbarali lililobinafsishwa katika mazingira ya kumpa mwekezaji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nafikiri Lowassa alipanga mawe barabarani kwi kwi kwi!!! Mbunge mwingine apata ajali gari yaparamia mawe yaliyotegwa Ally Sonda na Rehema Matowo, Mwanga MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Aloyce Kimaro...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Bei ya ngozi yaporomoka Na Mwandishi wetu 21st May 2009 Bei ya ngozi imeporoka kutoka Sh 2,000 kwa kilo hadi Sh.500, imefahamika. Hayo yalisemwa jana na Naibu Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Secret of JK’s visit to the White House -And how Kenya seems to have got it all mixed up THISDAY REPORTER Dar es Salaam IT has now emerged how and why President Jakaya Kikwete got...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naiweka ki BAK style yaani copy bin paste.... Wana-Rukwa: Wanaodai Rais Kikwete anasafiri sana wameishiwa hoja . Mkoa huo wasema kuwa hao ni watu wa kupuuzwa tu . Wasema kuwa safari za Rais...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…