Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jana katika kituo cha Television cha DTV kulikuwa na mahojiano kati ya waandishi wa habari wa kituo hicho na Waziri wa habari, utamaduni na michezo, George H. Mkuchika, waandishi hao walipata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
QUOTE Katibu wa Bunge akiri kufahamu tuhuma hizo na Mwandishi Wetu IKIWA takribani wiki moja sasa tangu gazeti hili liliporipoti jinsi wabunge wanavyochuma mamilioni ya fedha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ni kamati ipi? Kashfa mpya: Kamati ya Bunge yahongwa • Katibu wa Bunge akiri kufahamu tuhuma hizo na Mwandishi Wetu (Tanzania Daima) IKIWA takribani wiki moja sasa tangu gazeti hili...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kutokana na hali halisi ya sasa inayoendelea Tanzania husani katika nyanja ya siasa na uchumi kwa ujumla. Je tunamuhitaji Nostra Damus atutabirie hatima ya inchi yetu?? Kila siku mambo mapya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
As global credit crunch bites harder: BoT seeks safer haven for foreign exchange reserves MASATO MASATO THIS DAY Dar es Salaam THE Bank of Tanzania (BoT) has moved the country’s foreign...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baba wa Taifa Mwalimu J.K.Nyerere alianzisha msemo kuwa ili Tanzania iendelee twahitaji ARDHI,WATU,SIASA SAFI na UONGOZI BORA.Vitu vyote hivi vipo hadi leo lakini Tanzania iko nyuma...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Muheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa inayoitwa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania. Muheshimiwa, wakati unafungua bunge kule Dodoma ,tarehe 30/12/2005,ulisema kwamba Zanzibar kuna mpasuko wa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Baada ya kumsikiliza Mzee Cigwiyemwisi John Samwel Malecela kuhusu utamaduni wa ndani wa CCM kumwongezea kipindi kingine cha miaka mitano Raisi aliyeko madarakani, inabidi tukae chini kama...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Katika pita pita ya kanzi mitaa ya uarabuni kalikutana na mazungumzo yafuatayo kwenye Benki moja yenye makao makuu Canada. Mfanyakazi:"Habari za leo kanzi?" Ka-nzi: "Nzuri tu habari za hapa...
0 Reactions
78 Replies
10K Views
Kajiuzulu Resignation
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wasalaam wana JF, Na kwa Mh. J.K, mosi, kheri ya miaka 20 ya ndoa japo watoto wamepita miaka hiyo 20 ; Pili, nawatakia kheri katika kuijongelea jubilee ya Silver ya ndoa yenu! Mungu na awajalie...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zilizopatika na ni kuwa DCs wamapanguliwa na wengine kustaafishwa bila shaka tuna wanachama wa JF waliopewa SHAVU. RAIS KIKWETE AFANYA MABADILIKO YA WAKUU WA WILAYA RAIS Jakaya Kikwete...
0 Reactions
108 Replies
18K Views
Makamba amtaka Tambwe atubu 2009-03-26 12:32:29 Na Thobias Mwanakatwe, Mbeya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amewataka Hizza Tambwe na Lucy Rutainurwa kutubu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Chadema yalipua mawaziri wawili 2009-03-27 11:13:27 Na Richard Makore Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewalipua mawaziri wawili na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Tanzania has collected only $1 million in income tax from foreign mining companies even though they exported nearly $3 billion worth of gold over a four-year period, a new report has revealed. As...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Tahariri: Mwanahalisi KATIBU Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Chiligati amejenga mazingira ya kutumbukiza taifa katika janga kubwa la vita. Aliwaambia waandishi wa habari mjini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima Mbele, Kwa mlio Nyumbani na ambao mmeweza kusoma gazeti la leo la Mwananchi naomba mtupe habari zaidi sababu mie nimepewa kwa kifupi tu na Mhariri wa Gazeti moja la Nyumbani.Habari hiyo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna taarifa kwamba wakati wowote ndani ya siku mbili hizi Mzee John Malecela anatarajiwa kutoa tamko zito ambalo linaweza kutikisa nchi na Chama cha Mapinduzi (CCM). Lakini pia tamko lake...
0 Reactions
282 Replies
29K Views
JK akiri kushindwa, Tutamsaidia - Mbowe • Asema taifa linapita katika majaribu mazito kiuongozi na Edward Kinabo Tanzania Daima~Sauti ya Watu MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom