Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jamani for those who have been watching the IMF meeting at the BOT Towers, have u noticed like i have how aisha wa CNN alivyo muuliza kikwete simple questions na kashindwa kujibu kwa...
0 Reactions
242 Replies
26K Views
Hotuba JK inatetea watu fulani wanaohusishwa na ufisadi inanishanga hata mkuu nataka mjadala wa dowans ufunge huku Idrisa kauli yake ilikuwa ni kuwatisha wananchi kwamba asilaumiwe tukiingia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dar digs in as common market deadline nears By The Citizen Team With the signing of the East African Community (EAC) Common Market Protocol barely a month away, Tanzania has maintained that...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya Miaka 12 Bawata washinda kesi! Je watarudi na kasi waliyokuwa nayo mwaka 1995? Maana yake nini kwa kufungiwa miaka 12? Mahakama imeamua walipwe milioni 20, lakini imeshidwa kusema Raisi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanatarajiwa kukutana na jukwaa la wahariri kesho katika Hoteli ya Kilamanjaro (Kempinski). Kitakachoongelewa tutajitahidi kukileta kama kilivyo. Tutarajie nini?
0 Reactions
146 Replies
17K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, majambazi wamejipanga kwa kuunda kikosi kazi (task force) ya kupambana na wenye mali (wananchi) hasa wale wenye kupenda kupiga kelele za "wezi hao!!!! Wezi hao!!!!"...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Nimekuwa nikisikia kila mara kuhusu hili suala la wanamtandao. Kuanzia kampeni za uchaguzi, utawala wa nchi, uteuzi wa viongozi wa serikali ya Mh. JK etc. Naomba kujua, je, ni kina nani hawa? Je...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zilizotufikia hivi punde kutoka kwenye mitambo ya mi-chichemi zinasema Aliekuwa mkurugenzi wa ATCL bw DAVID MATTAKA maji yamemfika shingoni kaamua kulitema mzigo wa ATCL.(RESIGNATION)...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amepigilia msumari wa mwisho katika jeneza la mzozo juu ya ununuzi wa mitambo ya kufua umeme wa dharura ya kampuni ya Dowans Tanzania Limited, aliposema kuwa serikali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1. Dr Slaa 2. Mengi Nawaombeni tutengeneze hii list. Kwa maoni yangu Rais wa nchi anastahili kabisa kuwemo katika list hii, lakini Kikwete hana sifa yoyote ya kuwemo katika list hii au...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Kindly read this!!! Governments that steal together, stay together longer Nicholas Sengoba Recently a correspondent asked an interesting question. “If as is said that corruption...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Na Saed Kubenea Mwanahalisi~Maslahi ya Taifa Mbele UTEUZI wa wakuu wapya wa wilaya, uhamisho wa baadhi na kustaafishwa kwa wengine, vinadaiwa kuingiliwa na mtandao wa aliyekuwa waziri mkuu...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Raza: Nchi imeoza Asema tatizo ni uongozi wa juu wa CCM Ashauri viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi wakae pembeni Godfrey Dilunga Machi 25, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mjadala unaendelea na nimeonelea ni vema kuanzisha mwingine ambao itaenda sambamba (baadae kuunganishwa) nikiambatanisha Audio version ya alichokiongea Mzee Malecela tarehe 25 Machi 2009...
0 Reactions
205 Replies
23K Views
Muda si mrefu uliopita TBC wametangaza kuwa hotuba ya Rais itakuwa hewani pindi itakapowafikia. Hotuba yake ya mwisho wa mwezi (hii inatolewa mwanzo wa mwezi)??? - sijui kama inapaswa kuitwa ya...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Ndesamburo ashitukia mgawo wa umeme 2009-04-02 11:31:36 Na Simon Mhina Mbunge wa Moshi Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Philemon Ndesamburo, amesema kuna kila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
* Ni kwa kuongea na simu wakati wa mkutano Na Fadhili Abdallah, Kigoma MKUU wa mkoa wa Kigoma, Joseph Simbakalia, amemtimua kwenye kikao cha Bodi ya Barabara mbunge,Sijapata Nkayamba (Viti...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tanga elephant tusks smuggling case: TRA official accused of conspiring with smugglers THISDAY REPORTER Dar es Salaam AT least one official of the Tanzania Revenue Authority (TRA) is...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimeiwaza hii kitu baada ya kukumbuka maneno ya Mheshimiwa, Mtukufu wetu wa zamani, aliyekuwa Raisi bwana B.W Mkapa ya kwamba Watanzania ni wajinga. Yaani nikawaza mimi, baba na mama, babu na bibi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ya kina Chenge na dhana ya ‘EJUL’ Johnson Mbwambo Aprili 1, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo NILIPOKUWA nasoma sekondari, kuna kazi mbili tu ambazo nilizitamani kuzifanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom