Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Aliyekuwa rais wa Botswana, Festus Mogae, ameshinda tuzo yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 5 itakayohamasisha utawala bora barani Afrika. Bw Mogae aliachia madaraka mwezi Aprili baada...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Heshima mbele, Kwa tarifa ambazo nimezipata mchana wa leo ni kuwa,ile ndege yetu ya Air bus jana ilipata itilafu na kushindwa kutoa matairi kabla haijaruka kwenda Mwanza ,na hivyo kuwalazimu...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kama kuna ujinga uliokubuhu na kupata PHD, ni kutoka kwa Serikali yetu na Wanasiasa wetu. Ni vipi leo tudai Blackberry simu yenye uwezo wa kupata mtandao wa intaneti ndio iwe kichocheo cha...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Imetolewa mara ya mwisho: 21.10.2008 0004 EAT • Rasilimali zilizopo zinavyoweza kulikomboa Taifa Na Glory Mhiliwa Majira BALOZI wa Marekani hapa nchini Marc Green na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiama cha mafisadi chafikia ukingoni 2008-10-20 11:29:33 Na Simon Mhina Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, ametangaza kiama cha vigogo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Christopher Nyenyembe, Mbeya Tanzania Daima~Sauti ya Watu WAFANYAKAZI waliopunguzwa kazi katika mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira (KCM), mkoani hapa mwaka 2005, wanaoidai serikali zaidi ya sh...
0 Reactions
237 Replies
28K Views
University don calls for lesser presidential powers ALVAR MWAKYUSA THIS DAY Dar es Salaam A UNIVERSITY of Dar es Salaam scholar, Prof. Haroub Othman, has called for reduction of the...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Dmitri Tsafendas alikuwa karani wa bunge la Afrika Kusini wakati wa utawala wa makaburu waliokuwa wanaendeleza ubaguzi wa rangi, chini ya waziri mkuu wa wakati huo Dr Verwoerd. Huyu Dr Verwoerd...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbowe: Kikwete ameelemewa na Salehe Mohamed Tanzania Daima~Sauti ya Watu MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema Rais Jakaya Kikwete anahitaji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi mkuu wa Trafiki tuseme ndiyo hajui kinachotokea siku za Jumatatu kila wiki, mara 52 kwa mwaka katika barabara ya Buguruni-Kwa Nyerere? Invyoelekea usalama au uchafuzi barabarani katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wadau, Hivi karibuni nimepata kupokea ujumbe huu kwenye inbox yangu toka kwa watu tofauti tofauti,nikatafakari yale yaliyomo na yale tunayojadili hapa jf,nikahisi kwamba labda kuna kuna...
0 Reactions
57 Replies
8K Views
JK: Watakaothibitika kuua albino kunyongwa na Esther Mbussi RAIS Jakaya Kikwete amesema wale wote watakaobainika na hatia ya mauaji ya maalbino nchini watakabiliwa na adhabu ya kifo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wanabodi, Tanzania sasa tunahujumiwa hata na balozi zetu, hii sasa inatisha kisa chenyewe kiko hivi. Mimi ni Mtanzania ninaishi Denmark ingawa sio mwanachama rasmi wa umoja wa...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Jengo la kale Bagamoyo nusura limmalize Mchina 2008-10-17 22:22:34 Na Daniel Mkate, Bagamoyo Mchina mmoja ambaye alikuwa msimamizi wa kampuni ya ujenzi ya CHICO inayobomoa jengo la kale...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Risasi zarindima Kariakoo POLISI Dar es Salaam jana walilazimika kufyatua risasi hewani baada ya kutokea mtafaruku kati ya wafanyabiashara ndogondogo, mgambo wa jiji na maofisa wa Taasisi ya...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
..nimestaajabu kusikia haya. ..je Butiama ilistahili maendeleo yote haya? ..tukihalalisha alichofanya Mwalimu kwa Butiama, tutaweza kuharamisha anachofanya Kikwete kwao Lugoba...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Ufisadi wazua balaa kongamano la siasa 2008-10-18 10:32:03 Na Simon Mhina Kimbunga cha ufisadi bado kinakitesa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiasi kwamba, sasa hali ya mgawanyiko...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele, Naomba kuuliza, kabla Ali Hasan Mwinyi hajateuliwa kuwa Rais wa Zanzibar Baada ya kujiuzulu Aboud Jumbe mwaka 1984, Mwinyi alikuwa na wadhifa gani mwaka huo wa 1984?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kesho Ijumaa aliyekuwa Mwandishi wa ITV huko Mara Bw. George Marato anatarajiwa kuwa na mkutano na waandishi wa habari kujibu madai yaliyotolewa na Jukwaa la Wahariri kuwa alihusika katika...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Lipumba: Tumkumbuke Mwalimu Nyerere Siku ya Kuzaliwa Mwandishi Wetu Oktoba 15, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo Asema aliowaamini ndio waliovuruga nchi MWENYEKITI wa Chama cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom