Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wasalaam Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya CCM kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali Rais Samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa...
29 Reactions
146 Replies
7K Views
Kafulila asipozibitiwa anaudanganya Umma kupitia PPP, akilenga kueneza uelewa potofu kuhusu mfumo wa ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi. Katika kipindi hiki, ni muhimu kuelewa kwamba PPP...
6 Reactions
55 Replies
1K Views
Mradi mkubwa wa ujenzi wa Bwawa la Kidunda linalojengwa mkoani Morogoro litakuwa na uwezo wa kuhifadhi zaidi ya lita bilioni 190 za maji na kugharimu kiasi cha Shilingi bilioni 336, umefikia zaidi...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Meli ya Kitalii ya Ledumont D'urville yaweka Nanga Kilwa Februari 3, 2025 Meli ya kifahari ya Ledumont D'urville ikiwa na watalii 146 kutoka nchi za Marekani, Uingereza, Australia, Ufaransa, na...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Mbunge wa Jimbo la Bunda Vijijini (CCM) Boniphace Mwita Getere amewataka baadhi ya Mawaziri kutimiza wajibu wao kwa weledi ili kuweza kutatua changamoto za wananchi. Getere ameyasema hayo Ijumaa...
0 Reactions
0 Replies
140 Views
CCM ndio chama kilichoamoniwa kutupa mwelekeo wa taifa. Hata wananchi walipoulizwa kama wanataka vyama vingi miaka ya 90 walisema kwa zaidi ya 80% CCM iendelee. Huwa sijui kwa Mujibu wa CCM na...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Wakuu, Feb 6 Mkurugenzi Mkuu TCRA Dkt. Jabir Bakari alisema dhima ya serikali ni kuhakikisha jamii inanufaika kwenye uchumi wa kidigiti, uchumi ambao shughuli zote zinategemea TEHAMA, na kwamba...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Anaandika Martin Maranja Masese, Mtikila Waziri Mkuu, Naibu Waziri Mkuu, Mwanasheria mkuu wa serikali, Spika wa bunge, Naibu Spika wa bunge, Mawaziri na Wabunge wote, wanalipwa posho ya kujikimu...
4 Reactions
26 Replies
998 Views
DOROTHY Semu Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ametea Kamati ya Kuunda ilani ya chama hicho ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. Kiongozi huyo ameyatangaza majina hayo leo tarehe 6 Februali 2025...
1 Reactions
2 Replies
217 Views
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga...
73 Reactions
389 Replies
33K Views
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha. Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao. Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho...
3 Reactions
76 Replies
943 Views
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea...
0 Reactions
14 Replies
875 Views
Natoa rai mtandao wa Starlink uwekwe Tanzania. Watu wa vijijini tunateseka. Asante!
4 Reactions
23 Replies
549 Views
Kilichokuwa kiinua Mgongo cha wabunge kimeota mbawa rasmi baada ya kutokea mtafaruku wa wabunge wa UKAWA kususia Bunge. Jambo ambalo limefanya kiinua mgongo kufutwa kwa wabunge wa UKAWA, na hii...
13 Reactions
229 Replies
41K Views
Kifungu hiki kinataamka: "Mshahara na malipo mengine yote ya Raisi havitapunguzwa wakati Raisi anapokuwa bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii." Hicho ni kifungu cha Katiba ya...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Wakuu Itoshe kusema kuwa CHADEMA inapendwa, jambo linalodhihirishwa na hamasa kubwa ya wanawake hawa wa Nkasi, Kasikazini, katika Kata ya Kirando wakijiandaa kwa maadhimisho ya Siku ya Wanawake...
2 Reactions
4 Replies
408 Views
Magufuli alimpa nafasi mgombea ubunge kupitia CCM Jimbo la Chalinze ndugu Ridhiwani ataje matatizo sugu Chalinze yatakayokuwa vipaumbele jimbo la Chalinze. Hapo Ridhiwani akataja "maji". Kwa...
14 Reactions
67 Replies
38K Views
Kesi ya kusambaza taarifa za uongo kwenye Mtandao wa X inayomkabili wanasiasa mkongwe nchini, Dkt. Willibrod Slaa (76) itatajwa leo Februari 6, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Jana katika "press briefs" ambazo zinaingia KLHN kila siku nilipata ujumbe toka Ubalozi wa Marekani kuelezea mradi wa kliniki iliyofunguliwa Mpwapwa leo. Sehemu ya ujumbe huo (kama note kwa...
5 Reactions
65 Replies
8K Views
Kuna mbughi inaenda kuchezwa hapo July - Oct 2025. Nchi inaenda kusimama kushuhudia kimbembe. Wambea wa baa ile wanasema TL anamkabidhi kijana wa Kisukuma mwenye ushawish Lake zone kupeperusha...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…