Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Andamaneni, fanyeni mnavyoweza na ENDELEENI KUPOTEA SANA. Kwa mujibu wa Rais Samia HIZO ZOTE NI DRAMA TU.
0 Reactions
1 Replies
282 Views
Hili Swali nimejiuliza sana bila kupata majibu. Ni dhahiri Wasanii wa Tanzania ni Tawi la CCM, na kwa vile Vitengo vyote vya Chama hicho vimehamishiwa Dodoma, Sioni sababu yoyote ya Wasanii hawa...
8 Reactions
15 Replies
408 Views
Hili jambo huwa linanishangaza kidogo kwa sababu CCM ni nguli wa Muziki wa Jazz, Kwaya na Ngoma za Kienyeji Zamani huwezi kuwa mjanja wa Mjini kama hutimbi Mbowe Hotel baadaye Billicanas Watoto...
1 Reactions
9 Replies
232 Views
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Hi there! Do you remember our history. Here is a story written 27 years ago: Tanzania Jet Hijacked; 2 Are Reported Killed Published: February 27, 1982 Hijackers demanding the resignation of...
4 Reactions
191 Replies
57K Views
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya...
2 Reactions
26 Replies
891 Views
Wakuu, Mjumbe wa Kamati kuu ya Taifa CCM, Charles Mwakipesile amesema kauli ya Chadema ya "No reform no Election" ni kauli ya kisiasa na kauli hiyo hawawezi kuipa nguvu kwani wao ni Chama...
1 Reactions
4 Replies
264 Views
Siasa za mchakamchaka huzuwezi. Hujawahi kuwekwa lupango, hujawahi kupigwa kirungu. Hujawahi kufikia level ya Wenje ktk harakati za upinzani za kwenda ughaibuni Umechukuliwa kama favor baada ya...
2 Reactions
21 Replies
879 Views
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi...
14 Reactions
33 Replies
1K Views
(1) Akiumwa anatibiwa yeye na familia yake (2) Watoto zao hawasomi shule za kata (3) Hawapiti kwenye barabara zetu mbovu (4) Shopping zao kuanzia nguo mpaka furniture ni Ulaya na Dubai Sasa...
0 Reactions
5 Replies
150 Views
U.N. peacekeepers were killed in Congo. Here’s what we know. By Christoph VogelDecember 8, 2017 peacekeepers were killed and dozens more wounded in an attack on the U.N. peacekeeping mission...
1 Reactions
10 Replies
957 Views
Nimefurahi kwa juhudi zako za kisoma na kutambua upuuzi wa NGOs nyingi zinazotuletea mambo ya ajabu ajabu kupitia misaada ya fedha ambazo kimsingi ni fedha zetu walizotuibia kipindi cha ukoloni na...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Najinasibu kwa kuwa consistent on issues! Kwa muda mrefu nimeulizia na kushawishi juu ya uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote ...ikiwa ni mbinu ya kistratejia kufikia uhuru wa kweli na...
8 Reactions
77 Replies
12K Views
Habari za jioni wadau. Naomba niweke wazi kuwa mimi napenda nchi kama nchi ijitegemee kwa asilimia mia moja lakini pia natambua jambo hili laweza kuchukua muda kutokana na historia ya Taifa na...
6 Reactions
131 Replies
11K Views
Pale Gerezani walinambia kwamba bora ukili kosa ama unauwawa hapa hapa, anasimulia mtekwaji "Nakumbuka ilikuwa usiku wa manane wakaja watu nisiowajua wakaingia Nyumbani kwangu, wakakagua simu...
28 Reactions
127 Replies
18K Views
Namshangaa yeyote anayejinasibu kukuza uchumi wakati bado hali ya Watanzania waliowengi ni maskini hawana uwezo wa kununua hata mahitaji muhimu. PPP ya Tanzania inazidiwa na Kenya, Rwanda, Uganda...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
Wakuu, Nimekutana na interview hii ya Tundu Lissu BBC akiongelewa tukio lake la kupigwa risasi. Kitu interesting kuhusu hii interview ni namna ambavyo Masilingi alishindwa kupambana na hoja za...
4 Reactions
7 Replies
335 Views
Mkutano wa ccm umempitisha Rais samia kama mgombea wa nafasi ya urais lakin unamlaumuje Samia ilihali mwanzilishi wa haya yote ni magufuli na wapambe wake Mwaka 2020 polepole huku anacheka kwa...
1 Reactions
1 Replies
223 Views
Kwa vyovyote vile Tanzania inapigania ukombozi wa pili unaolenga kujitegemea kimaamuzi, kiuchumi, kiutamaduni na kihuduma. Tanzania iliingia uchumi wa kati mapema kabla ya muda iliyojipangia hii...
6 Reactions
64 Replies
4K Views
Iwapo bunge letu litajikita kwenye kujadili hoja basi tunayo hoja ya msingi sana ya kuijadili.Hoja hiyo inahusu bima ya afya kwa watanzania wote yaani universal health insuarance coverage...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…