Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Sasa hivi tutawaona sana vijiweni, kwa mama ntilie, kwenye bodaboda, kwenye michezo hasa ligi za kisiasa( diwani / mbunge cup) nk PIA SOMA - LIVE - Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Vibweka na...
3 Reactions
6 Replies
287 Views
Wanabodi, Hii ni barua ya wazi ya mtu akimuandikia Dada yake. Japo Dada yake huyo ni mtu mzima, ameolewa na ana watoto, hivyo kwa watoto wake wanamwita Mama na ana wajukuu ambao wanamwita Bibi...
48 Reactions
138 Replies
6K Views
Maana hata Chadema wamesema kuanzia 2026 kutakuwa na Chadema Day kila January 21 Siku ambayo Chadema ilipata Usajili Kamili CCM hoyeeeeee
0 Reactions
1 Replies
101 Views
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa Taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miaka minne amejenga shule nyingi...
0 Reactions
1 Replies
153 Views
MHE. JULIANA DANIEL SHONZA (MB) NA MIAKA 46 YA CCM MKOA WA SONGWE "Katika kusherehekea Maadhimisho ya Miaka 46 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) nimekabidhi bando tatu za bati zenye thamani ya Milion...
2 Reactions
3 Replies
714 Views
Hiki Chama sasa kimebeba taswira ya nchi halisi ya waTZ,wale waliokua mashabiki wa mtu/watu kwa sasa wajue mtu hadumu ila systems/chama nzuri ikijengwa hudumu miaka na miaka. Ni bora watu...
2 Reactions
6 Replies
277 Views
Moja ya hotuba zake bora ni nadra sana kuzisika kwasasa.
18 Reactions
50 Replies
3K Views
LISSU na watu wake wanataka kuleta Vita . Mabeberu wanawatumia Akina LISSU kuleta Ushoga( anasahau kua CCM haijawah kupinga ushoga hadharani ) Tukiwapa Urais Amani itapotea. Amani ya Nchi hii...
3 Reactions
13 Replies
704 Views
Jasusi Yeriko Nyerere amesema kuelekea kufunga mwaka pamekuwepo na Ajali nyingi Sana za Ndege hivyo Makampuni yanayounda Ndege yaangalie kama Kuna itilafu yoyote kwenye Ndege zao Aidha Yeriko...
1 Reactions
28 Replies
649 Views
Kabla ya kuingia kwenye mapambano makali ya kudai maboresho ya Katiba na Sheria bora za Uchaguzi, nadhani CHADEMA wangefanya yafuatayo kwanza:- 1. Iandaliwe orodha ya maboresho muhimu ya Katiba...
1 Reactions
3 Replies
157 Views
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Watanzania wengi matumaini yao yapo kwa chadema chini ya mh Tundu Lisu, nasikia mmejifungia chumbani mlete ajenda nzito nzito kweli kweli zidi ya...
4 Reactions
29 Replies
615 Views
sitaki sana kusema mengi kwako samia, kwa sababu najua pia kama ccm ingeamua kupiga kura kuchagua mgombea urais, ungeshindwa. ila waliamua kuivunja katiba ili kukufanya kuwa mgombea pekee. sasa...
7 Reactions
15 Replies
587 Views
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake. Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA! Hapo ndio...
22 Reactions
99 Replies
3K Views
Ndugu wanahabari! Karibuni sana kwenye tukio letu hili ambapo leo CUF- Chama Cha Wananchi kinaongea na Umma wa Watanzania, hususan Wazanzibar kupitia vyombo vya habari.Tunaanza kwa kumshukuru...
0 Reactions
31 Replies
944 Views
1. LUHAGA MPINA - huyu hata ashinde kura za maoni, ATAENGULIWA 2. NDUNGAI - Mzee hatoboi kura za maoni, ishu inamalizika chini kwa chini 3. GAMBO - apambane sana Soma Pia: Ushindani utakuwa ni...
6 Reactions
58 Replies
3K Views
Hivi viongozi wetu wamesoma hii document ya Azimio la Arusha? Pesa tunaitaka, lakini tusifikiri yenyewe ndiyo italeta maendeleo ya nchi. Mikopo inaturudisha nyuma inafanya tuishi maisha magumu...
1 Reactions
1 Replies
145 Views
Rais Samia, ameonya juu ya ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi. Akizungumza leo, Februari 1, 2025, katika uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014...
2 Reactions
25 Replies
690 Views
"Nini kinasababisha tofauti ya maslahi kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Askari wa Jeshi la Magereza, mathalani Assistant Inspekta of Police anapewa basic salary shilingi laki tisa na elfu...
14 Reactions
54 Replies
5K Views
Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko. Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald...
0 Reactions
10 Replies
487 Views
1. Utaratibu wa kutoa taarifa kwa Jambo linalohusu wananchi NI Jambo muhimu katika utawala Bora. USAID kajitoa kufadhili Miradi ya UKIMWI/TB na malaria. Watu wetu wataishije? Nini mpango wa...
7 Reactions
57 Replies
3K Views
Back
Top Bottom