Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

:argue: Wanajamii wenzangu, je haya majibu yanasadifu kile kilichokuwa kikidaiwa na walengwa wa lile lalamiko? CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UFAFANUZI KUHUSU FURSA KWA WANAFUNZI KUPIGA KURA CHUONI...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Tafadhali tujuzeni alivypokelewa future presida huko Bukoba
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sheria ya Taifa ya Uchaguzi (sura ya 343) 30 Juni 2010 inatuelekeza nini? 7(5) Kila msimamizi wa uchaguzi na msaidizi wake wataapa kiapo cha kutunza siri mbele ya hakimu. [ni siri gani hii wakati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Kwa taaaarifa ya kutoka kwa mtu wangu wa karibu huko Dar ameniambia Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba Kutua Arusha muda wowote kuanzia kesho akiongozana na Jopo la wana CCM Taifa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Ndugu wadau, Kuna taarifa nimekuwa nikizipata siku za hivi karibuni kutoka Wilayani Serengeti kwamba mgombea ubunge wa jimbo la Serengeti kupitia chama cha CCM aliandika barua ya kutaka kujitoa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Nimesoma Habari leo! Mwandishi Steven Peter ameanika wazi kuwa Mbowe ndiye aliyetangaza kumwaga damu kama Chadema isingechaguliwa. Nakumbuka Mh Dr Slaa akiwapa changamoto mjeshi amkamate aliyetoa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
JK amekuwa akiwabeza wapinzani wake kuwa wanatoa ahadi ya kutolewa elimu bure wakati haitekelezeki. Lakini ni JK huyo huyo ambaye siku si nyingi alisema atatoa computer (desktop) kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Ujumbe umefutwa (nakala ipo), ulikuwa unataja majina ya watu moja kwa moja bila kuwa na ushahidi wa wazi. JF HAIPO kumchafua mtu bila kuwa na uthibitisho wa kauli. Mwanzisha hoja akija na ushahidi...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Friday, 15 October 2010 Na Hussein Kauli SIKU 16 kabla ya kufanyika wananchi kupiga kura, askofu mkuu wa Kanisa la Anglikana, Dk Valentino Mokiwa amedai kuwa hivi karibuni alipelekewa rushwa...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
By Ansebert Ngurumo SWALI kuu la wiki hii ni hili: Kwa nini Rais Jakaya Kikwete ameogopa kuwatumia wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), badala yake akawatumia wanafamilia kutafuta wadhamini...
0 Reactions
112 Replies
10K Views
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa, Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
WanaJF Naelekea kuanza kuamini kuwa NEC wanaweza wesiwe huru kwa katika uchaguzi huu naanza kuamini kuwa NEC iko under remote control ya UWT na imevamiwa na Vijana wa IT wa UWT, mpaka sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
chizi maarufu mjini dodoma almaarufu 'morogoro-dar' au 'usalama wa taifa' amekuwa akionekana katika mitaa ya mji huu; huku akiwa katika mbio kwenye mitaa ya jiji hili, akipuliza kipenga chake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
AIBU YENU MAFISADI!! Obama nchi yake ina kila kitu kiuchumi lakini hana kitambi. Nyie nchi zenu matatizo lakini mumefura kama vyura wa masika.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada tu ya Prof.Lipumba kuongea na wanachi,aka ponda chadema kadri alivo weza! Badae akakaribishwa mwera kuongea na wana tarime,....nilijua naondoka peke yangu....oooooh nashangaa umati wa watu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kweli Watanzania wengi sasa wameanza kuamka -- ukiachilia mbali wale wachache walioathirika na sekondari za kata. Nilikuwa Mbeya wiki iliyopita na kila nilipopita wananchi wanasema CCM iko tayari...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza, makada wa ngazi za juu wa CCM hapa Arusha wameanza kukiri ya kuwa tofauti na ngebe za Katibu Mkuu wao, Yusufu Makamba, JK siyo mtaji mkuu wa chama hicho kikongwe nchini bali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikitembelea blogs za watu wengi lakini hii ya JIACHIE kidogo inanifanya nitumie muda zaidi na kila mara kupitia kwasababu inaleta habari ambazo ni za ukweli ukilinganisha na blogs...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetwishwa tuhuma nzito za kuandaa mipango ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu ili kionekane kimeshinda, MwanaHALISI inaweza kuripoti. Taarifa zilizosambazwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom