Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari zenu ndugu zangu watanzania, natoa shukrani za dhati kwa wote wlioniomba niwatumie kitabu JE TUMWAMBIE RAIS?pia nashukuru kwa maoni yote ya wachangiaji wa mada nilioitoa, ingawa kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NI MUHIMU RAISI JAKAYA MRISHO KIKWETE AKACHUKUA HATUA YA HARAKA JUU YA HALI HII INAYOJITOKEZA YA WAFUASI WA CCM. NAOMBA WATANZANIA TUMHIMIZE RAIS WETU KATIKA HILI. SOMA HABARI HII HAPA CHINI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
'Vyama vya siasa vilivyoandikishwa ni 18 lakini hakuna hata chama kimoja ukiviweka kwenye mizani katakachofikia CCM. Chagua CCM chagua Kikwete'.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimesikiliza kwa makini hotuba ya JK pale Kigoma kupitia TBC1, wakati anaongelea uchaguzi hajatamka hata mara moja neno UCHAGUZI HURU NA WA HAKI. Kaongelea uchaguzi wa amani na utulivu na kutoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kazi aliyoifanya kijana Zitto pale mjini Musoma inaumbua kura za maoni za REDET na Synovate. Wana wa Musoma walisahau kama kuna kampeni za mgombea urais wa CUF na kutembea kilomita mbili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
great thinkers mliopo hapo dar na haswa udsm,vp mdahalo umeanza?wakina butiku,ulimwengu wamefika?leteni ya huko hapa javini tuendeleze harakati zetu za ukombozi
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nikimaanisha Mwanahalisi na Raia Mwema. Jana nilibahatika kuwahoji baadhi ya wauza magazeti kuhusu magazeti gani huwa wanayauza sana. Wengi wao wakasema ikifika mida ya saa kumi jioni ni vigumu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kati ya wagombea uraisi TZ 2010 ni yupi ambae angalau anamoyo wa kumuenzi muasisi wa taifa hili jk nyerere kwa matendo ya utetezi wa haki sawa kwa waTz wote? na kwasababu au mifano ipi aliyowahi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Japo leo hii Mwalimu U marehemu na UNAwalaumu Watanzania kwa kupuuza ushauri wake kuhusu Kikwete na Lowassa MWAKA 1995……MWALIMU NYERERE NGOJA NIKWAMBIE..moja ya watu ambao ….kufa kwa KWAKO...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kama mtakumbuka Marehemu Nyerere alisema,anataka rais anayekerwa na umaskini wa Tanzania na anajua hilo,hapo alimzungumzia Slaa,Rais anayechukia mafisadi na Rushwa hapo pia ni Slaa,Rais bora...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jana wakati nimekaa sina hili wala lile ikaingia sms katika kibofya changu toka katika namba '+3588108226' ikisema,'SLAA NI MROPOKAJI NA MGOMVI ANATUKANA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA.ANATAKA DAMU...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii kauli bado inanipa kichefu chefu sana! Hivi huyu bwana akifanikiwa kuwa raisi akamchangua Ridhiwani kama Balozi wa Tanzania UN, Salma kuwa mbunge wa kuteuliwa na waziri wa Fedha, na Miraji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana jf na watanzania wenzangu!! tuma ujumbe kwa mtandao wowote ule wenye neno "hapana" kwenda kwenye namba 15016 kuna jibu linalokuja na linaonyesha kwamba watanzania tumeliwa hela nyingi sana...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Ee Mungu tuepushie mbali na JK. Kuna taarifa kuwa wamiliki wa mabango ya biashara yaliyoondolewa na kupisha uchafu wa mabango ya "Chagua Chama Cha Mafisadi, Chagua Kikwete" watafaidika na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Ukiangalia jukwaa liloandaliwa kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Mwalimu JK Nyerere pale kigoma utaona mbele wametumia rangi ya Kijani na njano na nyuma ya Jukwaa wametumia zilisosalia hii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kila jioni baada ya kazi ngumu za kutafuta ugali huwa napitia blogu na magazeti yote ya Tanzania yanayopatikana kwenye mtandao na kusoma karibu makala zake zote. Kubwa iliyonifurahisha leo ni hii...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kikwete, mgombea binafsi kwa staili ya BMW? ? Sarwed Dawalo * NYAKATI zimepita na majira ya uchaguzi kwa mara nyingine yamewadia hapa nchini. Uchaguzi Mkuu wa safari hii utakuwa wanne...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
naam wakuu nimeona polls mbali mbali tafiti mbali zikionesha nani atakuwa Rais wa Muungano ambazo bila shaka ni JK ila sijasikia si Redet, si wengine wakizungumzia kuhusu zanzibar sasa nani...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa kiasi kikubwa tumekengeuka kimtazamo na kutekwa na masham-sham ya kampeni. Tunatumia msuli mwingi kujadili vitu na watu badala ya masuala (issues). Sehemu kubwa ya mijadala yetu ya leo ni ile...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Martin Luther King Jr aliyasema haya...bahati mbaya hakuwahi kuiona ndoto yake akiwa hai...naamini aliiona huko aliko. Nami nathubutu kusema ninayo njozi... Ya kuiona Tanzania mpya amabayo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom