Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

UNAWEZA UKASEMA NINA MAWAZO MGANDO LAKINI HII NCHI NI YA CCM! WAMETAWALA KILA KITU KUANZIA MEDIA,WASANII WETU MASKINI,WAKULIMA WETU MASKINI NA WW UNAESOMA HII MESAGE, ANGALIA KAMPENI ZA CCM...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika hali inayoonyesha CCM kuzidiwa nguvu kulitetea jimbo la Bukombe linalowaniwa na mbunge anayemaliza muda wa Mm.Emma Luhahula anaonekana kuzidiwa nguvu na mgombea wa CHADEMA Prof.Kulikoyela...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu Zangu wanaJF uchaguzi mkuu unapofanyika katika nchi nyingi hapa duniani, mada kuu ambazo hutawala mijadla ni masuala ya uchumi. Cha kushangaza hapa kwetu badala ya suala la uchumi kupatiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dk. Slaa aivuruga Kamati Kuu CCM • CHADEMA yashtukia mkakati wa kuiba kura zao na Mwandishi wetu ZIKIWA zimesalia siku...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jakaya Mrisho Kikwete (CCM) 2,010 21.92% Willibrod Slaa (CHADEMA) 6,292 68.62% Ibrahim Lipumba (CUF) 262 2.86%...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Sasa nidhahiri kabisa CCM imeishiwa cha kuwaeleza wapiga kura ili kuwashawishi badala yake Kikwete ameanza kurukia kuhubiri matumizi ya udini,ktk kampeni Tukumbuke kabla ya hili alivituhumu...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kuna wakati ilisemakana kuwa JK ni mpenda michezo na akatuletea mpaka kocha toka Brazil. Sasa mbona maendeleo ya michezo kipindi chake hatujayaona. Angalia medal table, jirani zetu wote wana...
0 Reactions
3 Replies
980 Views
jumamosi tarehe 09 oktoba 2010 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na ambaye pia ndiye mgombea urais wa ccm mhe jakaya kikwete alikuwa mgeni rasmi katika mechi a mpira wa miguu kati ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tarehe 12 Oktoba 2010. Saa tano asubuhi. Niko kwenye taxi na babu ninayefanya naye kazi ofisi moja. Babu amekaa kiti cha mbele. Mtaa wa Lumumba. Tunaelekea zetu Upanga. Kulia kwetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu mfanyakazi, Baada ya taasisi mbalimbali kutoa matokeo yake, ni nafasi ya wafanyakazi na sisi kushiriki katika utafiti huu ambao ni jukwaa la wafanyakazi kutoa maoni yao Tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa maoni yangu nafikiri ni vyema viongozi wetu wakuu km raisi na waziri mkuu, wakistaafu wapewe stahili zao ambazo ni sawa kama watumishi wengine wa umma. Taifa lisienndelee kubeba mizigo ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza, hivi kampeni za mama Salma na Ridhiwani za kumsaidia mzee kurudi mjengoni bado zipo?? Nimejaribu kufuatilia lakini toka Riz1 apewe uchief basi tena sijamsikia kwenye news...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Redet, Synovate watetea tafiti zao Tuesday, 12 October 2010 19:41 Fidelis Butahe BAADA ya watu wa kada mbalimbali kuponda tafiti zilizofanywa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana jioni nilibahatika kukutana na Rafiki yangu wa karibu ambaye ni kada wa siku nyingi wa CCM na pia ni askari jeshi mstaafu aliyepigana vita vya kagera akiwa Brigedi ya Mayunga a.k.a mti mkavu...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Leo(23/09/2010) katika taarifa ya habari ya saa 2 kamili wamezidi kuonesha kupendelea upande mmoja kwa kuonesha taarifa za CCM NA CCMB(CUF) kwa kina Reporter we CCM wanareport na sera za chama...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, Meneja wa kampeni za JK abdulraman Kinana sasa imethibitika ya kuwa ni mzigo mzito katika kampeni ya kuokoa JK kufutwa kazi na waajiri wake ambao ni wapigakura:-...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Greetings! As elections approach, the campaign trail gets even more interesting. Thanks to JamiiForums, the online experience have been thought-provoking. While others resort to smear campaign...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Unayangaliyaje mazingira yanayotayarishwa ?inasemekana kuna mbinu za mauwaji zimepangwa zifanyike ili kuzuwia Bara wasifanye machafuko yatakapotolewa matokeo ya Uchaguzi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom