Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

KATIKA miezi ile ya mwanzo baada ya kuingia Ikulu, Rais Jakaya Kikwete aliwashangaza wengi alipoitangazia dunia kwamba haelewi ni kwa nini Tanzania ni masikini. Huo ukawa ndiyo mwanzo wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tusimpe nafasi shetani ya kulimeza taifa lenye amani kwa udanganyifu wa sera zisizotekelezeka wanazotoa upinzani. pasipo kikwete na ccm taifa hatarini my take hii msg wamenitumia ccm kama nusu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna habari za kuaminika kuna watu mamluki wametumwa na Kamati ya Kinana ya CCM (Kampeni) kuwa wajiandikishe Jamii Forums na kazi yao ni kuipigia CCM tu ili kuhakikisha by 31st October Mzushi JK...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii,nimewaza sana bila kupata jibu.Je watu wote wanaohudhuria kampeni za Urais wa SISIMU wanaenda kusikiliza na kufuta nini.Mi nadhani kwa mtu mwenye uelewa mzuri hana haja ya kusikiliza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefuatilia kwa karibu timu ya propaganda ya chama cha chadema, magazeti wanayotumia,forum wanazotumia, ni kweli kwamba chadema wanao mtambo wa kutunga uongo. Staili ambayo Hitler yule dikteta wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nawapatia picha yangu ya Souvenir ya Uchaguzi wetu was 2010. Nawatakia kila la heri mnapotumia haki yenu a kupiga 'kula'!
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kukubalika kwa CCM kuna sababu kuu tatu Chama kina sera nzuri Mgombea wake anakubalika na ana mvuto Kimuundo na historia ya kutetea wanyonge na kuleta maendeleo. Sera za CCM ni zile ambazo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TABIRI WALIOMO NDANI YAKE! ccm ccm ccm
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kikao cha kamati kuu ya CCM kilifanyika siku ya jumapili hapo ikulu. Wana JF naomba mwenye fununu ya agenda zilizojadiliwa na yaliyojiri kwenye kikao hiki atujulishe.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
WanaJF mie ninapata mashaka kama kweli katika nchi yeyote nusu ya watu wake wakawa wamejiandikisha kupiga kura, maana tunaambiwa Watanzania tunakadiriwa kufikia milioni 40 huku vijana wakikadiriwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
JK kwenye kampeni zake leo Songea, kwa kujisahau au makusudi kwa kujua watanzania ni majuha, amezidi kutoa ahadi kwa mambo ambayo bunge limeshayapitisha. Leo anasema akiwa rais ataipandisha hadhi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
WanaJF, ningependa kubainisha wazi kuwa nimekuwa mwanachama wa CCM lakini nimeamua kwa hiari yangu kabisa kutumia haki yangu ya kikatiba kumpigia kura Dr Slaa (Urais) na Bw Mnyika (Ubunge)...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa jinsi ninavyoichukia CCM kwa mabaya wanayoifanyia nchi hii na wananchi wake yaani we acha tu!! Nimeamua kwamba nikishainyima kura CCM 31st October, 2010 (of course tangu mfumo wa vyama vingi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya wadau wa technologia na TCRA kuhangaika kwa siku kadhaa, baathi ya wadau wamegundua kuwa number iliyotumika possibly niya Finland. mchakato unaandaliwa kuwasiliana na network za...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Leo kwenye Channel Ten jioni, Mheshimiwa Komba aahidi wanajimbo lake kuwa serikali ya CCM itajenga bandari kubwa na yenye heshima kuliko ile ya Malawi wakati ambapo chini ya wiki moja Mheshimiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huyu jamaa haumi umi maneno msikilize kuanzia dakika ya 4! mauwaji ya waislam na CCM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jamani kuna ukweli wowote kuhusu kuzuiliwa bandarini kontena la chadema lenye KADI,TSHIRT,KOFIA NA BENDERA from China mana nimekuwa nikipita makao makuu kuhitaji baadhi ya vitu naambulia tetesi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa nini kikwete anapingana na matamshi yake? Hii imekaaje Wana JF? KAULI YAKE KWA WANA CCM "SUALA LA URAIS NI SWALA LA KIFAMILIA" KAULI YAKE KWA WATANZANIA " MSICHAGUE MTU MCHAGUE...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jana mkurugenzi wa Nec alidokeza kwamba"Vyama vya siasa vinatakiwa kuweka mawakala waaminifu ambao watakuwa tayari kuweka mbele maslahi ya vyama vyao kwa kuwepo vituoni na kuepuka vishawishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom