Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika Segerea mpendazoe hoi Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Vox Populi Vox Dei ............Latin pouvoir populaire .............French. Viongozi wote waliopo madarakani duniani huogopa Misemo hii. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Haiishindwi hata kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimejaribu kuangalia kwa makini hii ripoti ya Synovate na kugundua mambo yafuatayo: 1: Pamoja na kuwa na wabunge wachache katika bunge lililopita 2005-2010, kutoka vyama vya upinzani, wabunge...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi niliingia duka la mhindi mmoja nikiwa natafuta kitu fulani. Nilishangaa kuona nguo za kijani nyigi zikiwa kwenye shelf, nilipouliza je anauza, aliniambia haziuziki, ila tunatoa bure kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hayo maneno ni swali la abiria tajiri wa Titanic kabla ya kupanda meli hiyo na jibu la kujisifu kutoka kwa injinia aliyeshiriki kujenga meli hiyo. Lakini furaha yote iligeuka kuwa majonzi makubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ahadi alizo zitoa 2005 zimetimia kwa 3%, na ni baadhi tu ya ahadi hizo ambazo zimetimia kwa kiwango hicho, mfano wa ahadi zilizotimia kwa kiwango hicho ni ahadi ya kutoa mikopo kupitia mamilioni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nawashauri vijana kote nchini hasa kwenye majimbo ambako CCM hawapui, waviache vitambulisho vya kupigia kura majumbani badala ya kutembea navyo. Hii ni kwa sababu katika maeneo hayo vijana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi (12/10/2010) kuna picha kubwa ikimwonyesha Chipukizi: katika kampeni kuna mashabiki/ wanachama wa CCM wengi wao ni akina dada wametandika chini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CCM ni CHAMA cha KIMATAIFA ==SMS CCM imekazana baada ya kuona maji yamekuwa ya shingo badala ya miguuni!! Usiku wa leo nimetumiwa meseji mbili., moja ilifika saa tisa dakika 26 ikieleza kama...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Imetangazwa na Synovate mchana huu KIkwete - 61% Dk Slaa - 16% Prof Lipumba - 5%
0 Reactions
133 Replies
11K Views
Wadau Kwanza habarini! Poleni sana na harakati za kumsapoti Raisi wa watanzania kuingia Ikulu, Raisi Mwenye PHD ya ukweli ( siyo fekifeki za kuchakachuliwa). MADA: Kwa mtizamo wangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo hii ningependa kufunguka namna hii na kuwataka watanzania waelewe sababu kubwa ya kumchagua kikwete ni mengi ameyafanya kwenye taifa letu tukufu la Tanzania licha ya kuwa alikuwa nguvu ya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
HATUJAFANYA UTAFITI: SYNOVET Kwa wale wenzangu ambao mnafuatilia vyombo vya habari, haijapita wiki mbili tangu kampuni ya Synovet ilipotamka wazi kuwa hawajafanya utafiti kuhusu wagombea wa Urais...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mwenye Macho Haambiwi Tazama Makala hii inakusudia kutazama japo kwa ufupi tu jinsi miaka arobaini na Tisa (49) ya kujitawala kwetu ilivyokwamisha au kurudisha nyumba maendeeo ya taifa letu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwaka 1994 mauaji ya kimbari yametoka Rwanda na maelfu ya Wakimbiza walikuwa wamevuka kuja magharibi mwa nchi yetu. Uchaguzi Mkuu wa kwanza wa Rais na Wabunge ndani ya mfumo wa vyama vingi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
From NASONGELYA KILYINGA, Songea, 1 1th October 2010 Source: Daily news THE Union Presidential aspirant on CCM ticket, Mr Jakaya Kikwete, has slammed opposition presidential candidates for...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nikiwa kati ya WATU waliohudhuria mikutano ya kampeni hasa ya urais,nimeona mengi,nimesikia mengi,ahadi kemkem,tam,nzuri na zenye kuvutia na kama JK,SLAA au LIPUMBA mmoja wo akishinda na...
0 Reactions
93 Replies
10K Views
Mambo SUGU huko mbeya Town.Karibu: JOSEPH MBILINYI ( MR II ) AWAKUNA WANANCHI WA JIMBO LA MBEYA KATIKA MDAHALO ULIO FANYIKA HAPA JIJINI
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi huyu jamaa ni mpiganaji wa kweli? Anatumika sana kwenye matangazo ya kukemea utawala mmbovu. Matangazo ya kuhimiza watu wakapige kura matangazo ya kupambana na ukimwi. n.k n.k..... La...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimepata taarifa muda si mrefu kuwa baada ya Dr.SLAA kumaliza kampeni kigoma kijana machachari mbunge mtarajiwa Zitto Kabwe leo anaingia jimbo la Bukombe kuongeza nguvu kwa mbunge mtarajiwa Prof...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom