Nadhani Shimbo na wenzake wangewakamata mara moja akina Kikwete na makada wengine kwani wameshaweka hadharani kuwa Watamwaga damu kama wananchi watachagua Chama Pinzani, Chadema.
Wanaposema...
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe la leo, Mkurugenzi wa NEC, Rajabu Kiravu,amenukuliwa akisema "wasimamizi wa uchaguzi watajumlisha matokeo ya uchaguzi wa wabunge na kuwatangaza washindi na kura...
Monday, 11 October 2010
The Imam-Bukhary Islamic Foundation chairman, Sheikh Khalifa Khamis (right), reads out a resolution of imams and sheikhs during a press conference in Dar es Salaam...
ANAYETAKA KUMWAGA DAMU AKAMATWE MARA MOJA
Hii ni kauli iliyotolewa juma moja lililopita baadaa ya Mnajimu wa JWTZ kujitokeza na kusema kuwa kuna wanasiasa wanataaka damu imwagike ili mradi waingie...
JK: A servile agent of Neo- Colonialism.
Of all the disqualification for JK quest to retain his presidency lies in his unconditional capitulation to Neo-Colonialism. Whether it is his...
PCCB fanyia kazi hili suala haraka...Mgombea wa Udiwani Kata ya Sinza kupitia CCM-Salim Mwaking'inda asubuhi hii amepita kitua cha taxi pale Sinza mori na kugawa sh 1000 kwa kila dereva wa Taxi...
Jamani, nimeiona hii headline katika gazeti la fisadi papa RA MTANZANIA leo hii: 'CCM yampa meno Shimbo.' Niashitushwa sana -- maana bila shaka yoyote ni uamuzi uliotolewa na kikao cha kamati Kuu...
Napenda kumsafisha bwana Oriwo; mkurugenzi wa synovate. Majibu yao ni ya kweli kuwa 61% ya watanzania watampigia kura Kikwete. Hata hivo majibu yao sio halisi... wamepigwa changa la macho...
sambaza ujumbe huu uwafikie wapiga kura wote waliopo Tanzania.
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa...
Ningefurahi sana, na natamani sana kusikia tamko la Mama yetu aliyebeba Bendera ya Tanzania ktk Umoja wa mataifa, Dr Asha Rose Migiro, kuhusiana na uchaguzi unaotukabili wiki chache zijazo. Nasema...
Wakati REDET na Synovate wanaita waandishi wa habari na kutangaza "utumbo" wao kwa watanzania, nimekuwa nikijiuliza kwa nini JF nasi tusiwaite waandishi wa habari na kuwatangazia matokeo ya kura...
Habari za leo wakuu, jana nilihojiana na baadhi ya wana jamii wenzangu ili kubaini kwannn watu wenye sifa za kupiga kura lakn hawapigi kura. Wametoa sababu zifuatazo:-
Mmoja amedai NEC inalipa...
Mfanyabiashara acharangwa mapanga katika vurugu za siasa
NA MWANDISHI WETU
11th October 2010
Vurugu zinazohusishwa na masuala ya kisiasa zimezuka katika mji mdogo wa Malampaka uliopo...
Synovate siwaelewi kabisa kwa ili, naomba wana-JF mnisaidie! Wamesema asilimia 84 wana imani na JK, asilimia 78 JK ni mtendaji mzuri, halafu asilimia 61 watamchagua JK 31 Okt 2010.
Maswali: je...
Nafikiri Mgombea wa Urais kupitia chama cha CCM wanamshauri vibaya ili apate wakati mgumu kwenye kusaka kura. Kasi yake ya kuchukua madeni ya Vyama vya Ushirika ambavyo chanzo chake kikubwa ni...
Kikwete!
Miaka mitano madarakani hujafanya lolote zaidi ya kuanguka majukwaani
Miaka mitano madarakani hujafanya lolote zaidi ya kwenda ughaibuni kuhemea pesa za matibabu ya maradhi yako ya...
Nimekuwa nikifuatilia jinsi vyama vyetu vinavyofanya kampeni zake, hususan jinsi ya kuwafikishia wananchi, wapiga kura, taarifa mbalimbali
zipo njia nyingi lakini moja ni ile ya kutumia vyombo...
Ndio nimeingia Bukoba jioni hii na nimebahatika kusikiliza kipindi cha kimoja ndani ya radio hii mnamo saa 3.30 usiku. kilichokuwa kinazungumzwa nimeshindwa kuelewa hasa muda wa kampeni zinaisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.