Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nikiangalia mambo haya napata wasiwasi kama uchaguzi utakuwa free and fair kwa tafsiri yoyote kwani chama tawala:- 1. Kinatisha wapiga kura kwa kutumia wanajeshi 2. Kimeshatangaza matokeo ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu! Napenda kuweka wazi kuwa sina haja ya kuendelea kuitwa Mtanzania kama chama tawala cha sasa kitaendelea kushika hatam oct 31.. Kwa maana hiyo, sina haja ya kujivunia kuwa mie...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Zamani kiliitwa kipindi cha ''usiku wa habari'' kilichoanzishwa na bwn Muro kabla hajasimamishwa kwa tuhuma za kuomba rushwa kama ilivyoripotiwa na vyombo mblmbl ikiwemo TBC. Sasa kipindi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba kujua njia bora ya kumshawishi mtanzania hasa wa kijijini ambaye hajui nini chanzo cha umaskini wake ili aweze kuchagua mabadiliko. Kumbuka inawezekana wengi hawajui maana ya ufisadi wala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mzee ulisema kuwa hakuna damu itakayomwagika katika uchaguzi huu. Lakini tokea wiki iliyopita pale watu wawili walipouwawa katika mapigano ya wana-CCM na wana-CHADEMA huko Njombe, bado hujatoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa vyombo vya habari na jinsi vinavyotoa elimu ya uraia, asilimia 42.7 ya wahojiwa waliridhika na utendaji wake ambapo redio ziliongoza kwa asilimia 73.7, televisheni asilimia 41.6 na magazeti...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Mara tu baada ya Tanganyika kupata uhuru wake Mwalimu Nyerere aliwatangaza maadui watatu wa taifa hili kuwa ni Umaskini, Ujinga na Maradhi, na kaanzisha rasmi mapambano dhidi ya maadui hao. Licha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Angalia na uamue mwenyewe: Hata mtoto huyu kafurahi kabisa na anapata kinywaji bariiiiiiidi:
0 Reactions
68 Replies
10K Views
NIMEHUDHURIA mikutano ya kampeni za awamu ya pili za mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa. Kwa nguvu za kampuni ya gazeti hili la Raia Mwema, nimefika katika mikutano ya Ifakara...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
The I Have a Dream Speech The following is the edited text of the spoken speech "I have a Dream" by Martin Luther King Jr, transcribed from recordings. I have related this Dream to our current...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NINGEKUWA NA NAFASI YOYOTE YA UONGOZI CCM NINGEJIUZULU Nimekuwa nikiangalia kwa makini mwenendo mzima wa Kampeni za wagombea wa urais. Nimekuwa nikifuatilia masuala ambayo yangeitwa ni mazito...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeangalia kwa muda sasa picha za Chadema kwenye mikutano yao ya kampeni. Jambo moja lililo dhahiri ni kuwa hawajajua namna ya kutumia rangi kujenga acceptance, ushirikiano, kukubalika, kupendwa...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
In 2005, Dr. Salim Ahmed Salim tested JK's ruthlessness......Even the then PM, the soft spoken Tluway Sumaye was left gnashing and fuming..................... In 2010, sms tied to JK are doing...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sioni alichowahi kufanya huyu raisi anayemaliza muda wake! Amekuwa Mbunge kwa Miaka 15 Kule Chalinze, amekuwa waziri kwenye wizara nyeti, kote alikopitia ameharibu na kushiriki kuweka sahihi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
When I compare synovate and REDET you see no difference, the co- chairman of REDET is one of the advisers of Jakaya Kikwete, you don’t expect fair judgment out of the person employed by the...
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Send tonday, 10 October 2010 08:32 0diggsdigg Dk Willibrod Slaa Joyce Mmasi, Uvinza MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema Dk Willibrod Slaa jana alikumbana na wakati mgumu pale...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
wakuu haya siyo maneno yangu ni ya Mwanafalsafa Julius Kambarage Nyerere aliyekuwa raisi wa kwanza wa Tanganyika huru. Swali. Katika wagombea hawa tulionao sasa hivi hasa wa uraisi, ni yupi kati...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa NEC, Rajabu Kiravu. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa matokeo ya Rais yatatangazwa kwenye majimbo badala ya kusubiriwa kutangazwa na NEC... Mkurugenzi wa NEC, Rajabu...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Asema wanajaribu kutumia ngazi ya maiti za watu kuingia Ikulu Asisitiza kuwa damu ikianza kumwagika wao watakimbilia Ulaya Awashutumu ‘wanaochonga' kuwa Tanzania haijapata maendeleo tangu...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Synovate wametoa na wao matokeo ya "opinion poll" waliyofanya kuhusu wagombea wa uraisi 2010. Magazeti mengi yameandika kwa "headings" zinazoashiria kwamba matokeo hayo ni "conclusive". Ila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom