Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kutokana SISIMU kuchafua na kuhatarisha amani kwa kutuma msg za vitisho kwa baadhi ya numba za simu.Naomba wote wasizingatie hizo Msg na waendelee kumchagua kwa kishindo Dr Slaa.Sisimu imeona...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Slaa attacked in stinging message By ABDULWAKIL SAIBOKO, 9th October 2010 @ 12:08 , Total hits: 105 THE Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) has disassociated itself with a...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Kulingana na taarifa iliyosomwa leo na channel Ten, Mama Salma Kikwete akiwa kwenye ukumbi na wana UWT wa Tabora alionyesha kupigwa tafurani ya kwanini Ilani ya CCM kwenye eneo la kupunguza vifo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
TAFAKARI CHUKUA HATUA. Je hali inayoelezwa hapo chini ni kweli?. Kuna kitu muhimu kimeachwa hapo chini ambacho kinaathiri maisha ya mtanzania ambaye vitu vingi vinatoka nje, nacho ni kushuka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Chadema wamedai kuwa takwimu za kitaalamu zinaonyesha wapigakura wapo milioni kumi na sita lakini daftari laonyesha milioni kumi na tisa. Hivyo kuna karibu milioni tatu ambazo huenda zimeongezwa...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Kwa kweli mambo yanayofanywa na Kikwete na CCM yake yanazidi kunichefua sana. Nakumbuka huyu JK kupitia kinana walisema hawawezi kushiriki midahalo kwa sababu ya ratiba yao imejaa mpaka siku ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Jakaya Kikwete ,akiwa ameketi chini ardhini kwenye vumbi na nyasi ili kumsikiliza Mama Sara Mageni mkazi wa Wilaya ya Makete, wakati...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
I came across this analysis some days back an I thought the home of great thinkers can think about it. Jean-Bertrand Aristide, the prophet of deception Cambridge, Massachusetts - From a distance...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu in support of Dr. Slaa I am dedicating this song YES WE CAN done by Cameal Davis feat. Assasin. Download it thru...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Dalili zinaonyesha ushindi mkubwa kwa Dr Slaa wa Chadema kuwa rais mpya wa Tanzania. Lakini kuna kiza kinene kama matokeo yatakayotangazwa yatafanana na maamuzi ya wananchi katika kura. Je Jaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Thobias Mwanakatwe Mgombea ubunge wa Jimbo la Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM). Umoja wa vyama 10 vya upinzani katika Jimbo la Mbeya Mjini ambavyo vimemsimamisha mgombea ubunge mmoja...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimesoma mada ninayoiweka kwenye link hapa, ambayo imetulia sana, ikichambua kwa nini kauli ya Shimbo imesababisha majadiliano mazito. Kumbe ni Kikwete pekee ambaye amengangania USHINDI NI LAZIMA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Magazeti ya leo yameandika kwamba JK atahudhuria gemu kati ya Stars na Morocco. Hapo Watanzania tuhesabu kuwa bado timu yetu ina pointi 1 kwa sababu JK ana gundu.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Akiwa na mpambe wake Mwamtum Mahiza, mbele ya wakina mama wa Tabora huyu mama amekuwa akiyarudi kama sehemu ya kuomba kura. Hivi Watanzania tunataka wakata viuno? Matatizo yetu sisi ni nini haswa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
taswira ya jk namwona jk : anamwagiza shimbo awatishe wananchi anamtumia sheikh yahya kutabiri ushindi wake synovate na redet anawalazimisha kumpikia kura za maoni anavunja sheria ya uchaguzi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waheshimiwa nisaidie kitendawili hiki: Tangazo la kazi limetolewa. Sifa za nafasi hiyo ninazo. Barua ya maombi na CV nimeandaa na kuomba kazi hiyo. Sasa wameniita kwenda kwenye interview pamoja...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau: hii ni sehemu ya stori kuu katika Tanzania Daima ya leo. Nilipohighlight in red yaonyesha kwamba Tanroads katika uchaguzi huu ndiyo 'EPA' nyingine ya mchoto kwa ajili ya kampeni za CCM...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Conclusion The findings of Uwezo’s large scale assessment involving over 20,000 households and over 40,000 children reveal that there is a crisis in education in Tanzania. By the time they enter...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimengalia kwa makini na kutafakari sana kisha nikaona kuwa kuna watu wanadhani kuwa watanzania wote ni wajinga kwa kiwango wanachotufikiria wao. Sasa hivi mama Salma Kikwete ana ziara Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom