Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ndugu wanaJF: Uchaguzi wa mwaka kuna mapungufu makubwa kwa upande wa CCM -- kukosekana kwa mpiga debe wao mkubwa aliyekuwa BBC London Tido Mhando ambaye katika chaguzi za huko nyuma alikuwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Saturday, October 9, 2010 Wagombea wa CHADEMA Tanzania Bara na Visiwani CHADEMA-CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NO. CONSTITUENCY CANDIDATES KILIMANJARO 1 Moshi Mjini. Philemon...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa nikizitafakari mbinu za kusaka madaraka za Bwana JK. Zimejaa ubabe wa kutaka kulazimisha mambo kwa gharama yoyote, ili mradi yeye awe salama, wengine waumie. Aliingia kwa nguvu ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania limeamua kuingilia kati mastakabali wa amani ya nchi kwa madai kwamba amani imetishiwa kuvunjika na damu kumwagika. Ni jambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu jana Godbless Lema alishikiliwa kwa muda na polisi baada ya kushtakiwa kwa kosa la kujipatia fedha isivyo halali.Inadawa Bwana Lema alimkopesha fedha [kiasi hakijulikani] Bi Maimuna Rashid...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani habari za mchakato! Mimi ni mgeni kidogo JF. Nimeimiss JF. Tangu enzi za Uchaguzi mdogo wa Tarime. Nini kinaendelea hapa JF?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo J'mosi 9/10/2010 nimefanya ka utafiti kadogo kuhusu upatikanaji wa magazeti yenye habari nzuri ya wiki nzima ya lugha ya Kiswahili (RaiaMwema na MwanaHalisi). Nimezunguka Mwenge, Magomeni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tumesikia jinsi dr slaa alivyozimiwa umeme kule mbeya na rukwa,sasa leo ni zamu ya lipumba hapo geita,alipoingia tu asubui kufikia saa 5 umeme ukakatwa na wakazi wa geita leo watalala giza maana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kwa nini mikutano mingi ya kampeni za hawa wagombea wa CCM zimekuwa zikitumia muda mwingi sana kupiga ngoma na kuwaimbisha nyimbo wananchi badala ya kutumia muda huo kuwaeleza wananchi sera...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kweli nimeamini HATAMU IKISHIKWA PUNDA SHARTI LAZIMA AENDE ,,,,WANANCHI wenzangu mnadanganyi kwa maneno ivi hamji kuwa hao mnaowapigania ni mafisadi zaidi jinsi mnavyofikiri ki ukweli CHADEMA si...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mengi yamesemwa wakati huu wa kampeni.Mengi yatasemwa wakati uliobakia kabla ya Oktoba 31..siku ya kupiga kura. Kila jitihada zimefanyika kwa ajili ya kushawishi wapiga kura wakatae...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kinana amesema REDET kusema JK anaporomoka katika maoni ya wananchi ni 'fair' lakini ni sio 100% correct. Huyu jamaa simuelewi kabisa kwani anakubali na kukataa wakati huo huo, hivi ana uwezo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SOURCE:By Said Hamdan; GUARDIAN ON SUNDAY Lindi Urban CCM parliamentary candidate Mohamed Abdul Azizi who is also Iringa Regional Commissionerand his campaign manager Khalfani Mandanje, used...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Source: Habari TBC1 Mgombea ubungwe kwa tiketi ya Chadema amefikishwa kwa tuhuma za kutishia kuua. Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ndio amefungua kesi hiyo akimtuhumu Lema kumtishia kumuua...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Kuna tetesi kuwa Dr. Slaa atamaliza kampeni zake kwa Sugu (Mbeya Mjini). Yuko sahihi. Lakini chondechonde Dokta. Usiache kwenda jimbo la Songwe. Watu wa jimbo la Songwe nadhani wamerogwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Malumbano yanayoendelea baada ya utafiti wa reDIRT yamebase katika sample wengine wakisema ilikuwa bias na wengine ilikuwa haitoshi. Sample ya 2600 inatosha sana kwa watafiti wazoefu kama Dk Bana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni kama mara mbili JK amekuwa akisema kwenye kampeni zake kuwa vyama vya upinzani ni 'photocopy' na CCM ndio 'original'. Hivyo wadanganyika wachague 'original'. Hivi kati ya 'original' na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kimfaacho JK ni asasi za hisani, si urais! Mwandishi Wetu Oktoba 6, 2010 KATIKA miezi ile ya mwanzo baada ya kuingia Ikulu, Rais Jakaya Kikwete aliwashangaza wengi alipoitangazia dunia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom