Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mh Tundu Lisu amesema Mzee Mbowe kuanzia tarehe 22 January 2025 Siku ya Jumatano atakuwa ni Mjumbe wa Kudumu wa Kamati Kuu ya Chadema Hiyo ni Kwa mujibu wa Katiba ya Chadema Kwa Wenyeviti...
3 Reactions
6 Replies
433 Views
Nipo hapa nafuatilia mkutano mkuu wa CCM. Magambo ndie msanii peke yake aliyeimba vizuri, msanii asiyebana pua, rapper kutoka mchangani lakini amewafunika wote jukwaan, kawafunika woote hao...
2 Reactions
5 Replies
342 Views
Wajumbe zaidi ya 1000 wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa, watakutana kupiga kura na kumchagua mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa chama hicho Taifa, tarehe muafaka itakayotangazwa na kamati kuu. Kwa...
6 Reactions
113 Replies
3K Views
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ? Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na...
9 Reactions
81 Replies
1K Views
Kama Intelejensia ya CCM isingeingilia Kati Halima Mdee ndiye angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na Lisu angeendelea na umakamu wake na uchaguzi ungefanyika 2024 siyo 2025 Mzee Mziray mkongwe wa...
3 Reactions
4 Replies
418 Views
Team, Salaàm! Mimi ni mtafiti mbobezi. Nimefanya hojaji na wanacdm wasiopungua 21 * 19 wamesema wanapenda TAL awe Mwenyekiti wao mpya; * 01 amesema yeyote atakayechaguli kati ya wagombea watatu...
3 Reactions
5 Replies
376 Views
Wakuu naona Godbless Lema ameshaamua kuwapongeza wagombea wake mapema akiamini wameshashinda. Hongereni sana kwa ushindi mkubwa ambao wajumbe wamewapa leo. Sasa mkafanye kazi na mkaheshimu imani...
7 Reactions
21 Replies
729 Views
Baadhi ya makada na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka mikoa mbalimbali, ikiwamo Dar es Salaam wamejipanga leo Desemba 18, 2024 kwenda nyumbani kwa Mwenyekiti wa Taifa...
1 Reactions
9 Replies
587 Views
Viongozi wa Majimbo 8 wa CHADEMA Mkoa wa Dodoma wamejitokeza hadharani kumuunga Mkono Mgombea wa Uwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu na kumtaka Mgombea mwenzake ambaye ndiye Mwenyekiti wa sasa...
6 Reactions
14 Replies
365 Views
Ni suala la muda tu, mambo yote yako tayari. Ni mtikisiko mkubwa.
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Nimeona Habari ya kushuka kwa bei za umeme Zanzibar, ndio nikashtuka kua kumbe tokea siku nyingi umeme Zanzibar NI Rahisi kuliko Tz bara. Je umeme si unatoka huku kwetu? Nini shida mpaka Sisi...
4 Reactions
20 Replies
581 Views
Wakuu, Kumbe wakati Lema anachangisha pesa za Join The Chain, Wenje alikuwa bize na utalii? Siku ya leo Godbless Lema akizungumza na wanahabari kuhusu a tuhuma zilizotolewa na Ezekia Wenje...
5 Reactions
11 Replies
524 Views
Ndugu zangu Watanzania, Jogoo 🐓 limeshawika Dodoma. Makada mbalimbali na wazee maarufu na viongozi mbalimbali mashuhuri wanaendelea kuunguruma na kuzungumza juu ya uimara , ushupavu, umadhubuti...
2 Reactions
10 Replies
384 Views
Mzumbe dons in PhD scam PIUS RUGONZIBWA, 11th February 2009 @ 11:16 Eight senior lecturers with the Mzumbe University have doctorate degrees that are either fake or acquired from...
0 Reactions
125 Replies
20K Views
Mji wenye pilika nyingi km Arusha unakuwaje na kastand kadogo kazamani km hii iliyopo? Utaambiwa kuna ubishani kati ya mbunge na viongozi wengine wa mkoa. Wananchi ndio wenye nchi ndio...
12 Reactions
34 Replies
2K Views
Watu wengi walifikiri patakuwepo ushindani kidogo wa kumpata Mgombea uRais kupitia CCM na hapo ndipo Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe aliona atahitajika sana kusaidia Sasa alichofanya Mzee Kimbisa...
2 Reactions
6 Replies
411 Views
Ukweli ni kuwa Mbowe aliamua kwa makusudi kutenga great thinkers wote ndani ya Chadema. Na kuna picha nilipost humu akiwa na machawa wake hii hapa. Ukweli ni kuwa hii picha alikuwa kwenye kikao...
6 Reactions
12 Replies
355 Views
https://www.youtube.com/live/FqER78na70U?si=fdkhYBIEbHCPvXlP Huenda kweli safari ya Mbowe imewadia wimbi la mabadiliko ni kubwa sana ndani ya CHADEMA lazima tusikilize sauti za watu. Ukipewa...
0 Reactions
0 Replies
168 Views
Pascal Mayalla, anabidi kutazmwa kama hazina . Naomba Mh SSH umteue huyu Kijana ili akapate kuitumikia nchi.
6 Reactions
18 Replies
318 Views
Je, hawakubaliki wala kuaminika kwasababu ya miongoni mwao kuishi sana uhamishoni nchi za magharibi, na kwahivyo wanaonekana kama ni vibaraka na makuwadi wa nchi za magharibi kupenyeza ukoloni...
1 Reactions
34 Replies
665 Views
Back
Top Bottom