Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni Gharib Said Muhammad (GSM) Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama? Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii...
10 Reactions
42 Replies
2K Views
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100 Namba zinasema hivi 👇🏽👇🏽 Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99 1. BAZECHA 33 -TAL 15 -FAM 18 2. BAWACHA 33 TAL 17 FAM 16 3. BAVICHA 33...
13 Reactions
72 Replies
4K Views
Katika kipindi cha utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), pato la wastani la kila mtu nchini limeendelea kuongezeka kutoka shilingi 2,653,790 mwaka 2020 hadi shilingi 3,055,606 mwaka...
0 Reactions
4 Replies
186 Views
Ni mjinga pekee ndiyo anaweza kuunderestimate Nguvu ya Mbowe ndani ya CHADEMA, Namshauri Lissu awamu hii akubali amekosea hesabu zake za kisiasa na ni wazi hatamuweza Mbowe atashindwa ila anaweza...
7 Reactions
21 Replies
543 Views
Kuna nchi ambazo zinatakiwa either tukajifunze kwao au tuwaite wataalamu wao waweke input zao katika dira yetu. Moja ya nchi hizo ni china. Tuna haha ya kuuchimba mfumo wao wa elimu ili kuchukua...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Wagombea wa nafasi za juu za uongozi wa Chadema, wanafanyiwa usaili leo Jumapili, Januari 19, 2025, ikiwa ni maandalizi ya kinyang'anyiro cha uchaguzi unaotarajiwa kufanyika keshokutwa Jumanne...
0 Reactions
0 Replies
242 Views
tarehe 19 januari, miaka saba iliyopita Mungu alimnyanyua kitandani na kuziinua tena hatua za miguu yake mtu wake, Tundu antipasi Lisu Mungu akiwa na kusudi na wewe mipango yote ya binadamu...
5 Reactions
3 Replies
265 Views
Ndugu zangu Watanzania, Mkurugenzi Mkuu wa PPP Mheshimiwa David Kafulila amewatoa hofu watanzania ambao wameonyesha kuwa na hofu kubwa sana juu ya mikataba ya Ubia .hasa kwa kurejea majeraha na...
4 Reactions
110 Replies
2K Views
Aliwakosea nini hawa wenyeviti wa chadema wa mikoa, hata asiwepo hata moja wao tu kumuuunga mkono Kibaraka kwenye nafasi ya mwenyekiti wa Taifa? Nimemskia mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya, kwa...
5 Reactions
69 Replies
2K Views
Kwa Hesabu za Kimamajusi wa nyota ya Mashariki Tundu Lisu ameshashinda uchaguzi wa Chadema labda tu Polizia wamsaidie Mwamba Kwa kutumia maguvu CCM - Yanga Africa - Chadema Ahsanteni Sana 😃
1 Reactions
0 Replies
110 Views
I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Joel Nanauka anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara). II. Hii ni kutokana na CV...
11 Reactions
81 Replies
6K Views
Mhe. Stephen Wasira anaanza kuiongoza CCM kama Makamu Mwenyekiti akiwa na umri wa miaka 80. Pengine, huu ni umri mkubwa sana kwa mtu yeyote kupewa uongozi wa juu katika chama cha siasa...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili...
76 Reactions
198 Replies
20K Views
ANAANDIKA MHADHIRI WA CHUO KIKUU TUMAINI DR DLB “Kinachoniumiza ni baadhi ya wanaChadema kutoliona hili la wanaharakati ambao siyo wana Chadema ndiyo wanaongoza mapambano ya kutaka Mbowe atoke...
3 Reactions
24 Replies
729 Views
Wadau kama mtakumbuka Waziri Silaa alipoteuliwa tu kuwa Waziri ktk siku zake 100 za kwanza moja ya maagizo yake mazito ni hili la kuzuia ujenzi wa vituo vya mafuta nchi nzima na kuwataka...
0 Reactions
4 Replies
464 Views
Mwenye macho haambiwi tazama. Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi. Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano...
17 Reactions
62 Replies
1K Views
KABAKA MITANO TENA MGOMBEA NAFASI YA MWENYEKITI UWT TAIFA Wajumbe kwa kauli Moja wamekubaliana kumchagua kwa awamu nyingine (MITANO TENA) ndugu Gaudensia Kabaka ili kuendeleza Yale mazuri...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba. Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo...
29 Reactions
60 Replies
4K Views
Askofu mteule wa Dayosisi ya Victoria mashariki Dr Oscar Lema anasimikwa rasmi Leo Ibada inaongozwa na Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa Bango Kuu limewekwa picha kubwa ya Mgeni rasmi Mh Waziri...
0 Reactions
5 Replies
430 Views
Ikumbukwe Wenje alikuwa team Lisu hadi pale alipoenda Nyumbani Kwa Lisu akiwa ameongozana na Dulla Ili amsaliti Kama Lisu asingemkazia basi Wenje angekuwa team Lisu hadi Leo Freeman Mbowe Kwa...
1 Reactions
2 Replies
120 Views
Back
Top Bottom