Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu, Akiulizwa na Odemba kwanini CHADEMA kwa sasa ikiitisha maandamano watu hawaendi, Odero amesema kuwa kinachofanyika CHADEMA kwa sasa sio maandamano ni matembezi ya amani. Akaongeza kwa...
12 Reactions
36 Replies
2K Views
Wakuu, Badamu batachuruzika safari hii! ===== Wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA kutoka Mkoa wa Iringa wakiongozwa na makatibu kutoka jimbo la Kilolo, Iringa mjini na wilaya ya Iringa pamoja na...
5 Reactions
13 Replies
833 Views
https://youtu.be/cI7hJHpYUOA?si=QZSStKHprjHvB6Rm Leo SIMIYU imeungana na mikioa mingine 17 katika kutoa tamko la kumuunga mkono Mhe Lissu hadharani, Hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wa Freeman...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
=== Wakati zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wajumbe na viongozi wa chama hicho mkoa wa Tabora wameazimia kumuunga...
4 Reactions
10 Replies
588 Views
Haya sasa nataka kuuliza kama aliyoyasema mbowe Jana kupitia mwananchi online ni uwongo mbona hakuna Alie jibu mapigo? Heche ujateuliwa VITI maalumu na Mbowe jibu? Lema wewe kwa.sasa sio lolote...
7 Reactions
39 Replies
1K Views
Nimetawaliwa na ma-rais wa awamu zote Rais Samia Suluhu ndiye rais bora zaidi kuliko wote, Mungu amlinde. Kwenye TANU na CCM nilimpigia mbunge mmoja tu nae ni Severino Supa wa Dodoma mjini na...
3 Reactions
13 Replies
260 Views
Leo tunafanya Maombi ya kuwaombea Wanasiasa Wote wa Nchi hii Ili taifa letu lizidi kuwa na Amani Tumesukumwa na Wito wa Rais mstaafu wa Kenya kuwataka Vijana watetee Haki zao za Msingi na Urithi...
0 Reactions
1 Replies
119 Views
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara . Sasa kwenye Uchaguzi...
6 Reactions
47 Replies
2K Views
=== Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
21 Reactions
45 Replies
2K Views
Kuna mambo mengine ni kama dharau. Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje? Hii sio dharau kwa vijana na watu...
20 Reactions
105 Replies
2K Views
Sijajua hayo maridhiano aliyoahidi Wassira na Chadema yatahusu nini Akihojiwa na TBC Mzee Wassira akiwa na Zitto Kabwe aliwahi kusema Serikali 3 siyo Sera ya CCM na kamwe haitapita Mlale unono😄
3 Reactions
9 Replies
407 Views
WanaJF Mungu Mwema siku zote, ni imani yangu mpo na afya njema. Chaguzi za vyama bado zinaendelea, katika baadhi ya vyama vya siasa nchini kwetu. Rejea mada tajwa. Ni vyema midahalo kuendelea...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Habari Wakuu, Fuatilia moja kwa moja yanayojiri katika Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma leo na kesho January 19-19, 2025. Nani kumrithi Kinana...
10 Reactions
291 Replies
12K Views
Walikuja kwa kishindo, walitishia kila mtu aliopo mbele yao. Waliaminisha kwamba CHADEMA kuanzia BAVICHA, BAZECHA NA BAWACHA Zimejaa rushwa. Walituaminisha uchaguzi wa mabaraza utakuwa wa wizi...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara. Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa. Mnadhani...
8 Reactions
106 Replies
5K Views
Nimeangalia Mahojiano ya Tundu Lissu na kipindi cha Clouds 360, Niseme tu! Mtangazaji Kija Yunus ni Muandishi wa Habari wa hovyo Kwelikweli, Kwa Akili Zake Ndogo Hizi Sijui Aliwezaje Kupata Kazi...
39 Reactions
195 Replies
8K Views
Nawauliza CCM Stephen Wassira Nini hajafanya Tanzania kuanzia akiwa mbunge kwa umri wa miaka 23 mpaka Leo ana miaka 80 Bado anakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM? Hizi ni zalau Vijana mlio kusanyika...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Wakuu, Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake. Bado haijaeleweka hadi...
14 Reactions
158 Replies
11K Views
Baada ya Oktoba 25 wanachama wa chadema asili wanajipanga kukirudisha chama chao kutoka mikono ya familia ya Mtei na kukifanya kuwa taasisi ya umma kwa kuwa inatumia ruzuku za serikali. Ni...
7 Reactions
101 Replies
6K Views
Hizo dharau za Dr Kigwangalla huko X dhidi ya Mbowe na Chadema zimenisikitisha Yaaani kumwita mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema ni " Kamtu Kamoja" Hii siyo Sawa Mlale Unono 🐼
1 Reactions
7 Replies
460 Views
Back
Top Bottom