Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwenyekiti wa CDM Mkoa wa Shinyanga ameondolewa kwenye nafasi hiyo kwa sababu ameonyesha kumuunga mkono Mbowe. Kimsingi alitumia uhuru wake wa mawazo kumuunga mkono Mbowe. Kundi la Lissu, kwa...
0 Reactions
20 Replies
605 Views
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana. 2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025. NB: ushindi si chini 90% Kwa...
0 Reactions
45 Replies
898 Views
Long live TAL: Huu ni mwendelezo wa mada zikiongelewa humu kwa muda mrefu: Pia soma: Tuzitambue tofauti za vyama vya upinzani (ACT, CHADEMA, CUF, nk) na Wanaharakati Pia soma: Ukombozi dhidi...
4 Reactions
30 Replies
987 Views
Wakuu Salam. Bob Junior Simba Mtawala wa Serengeti hifadhi ya Serengeti ambaye ambaye alitawala kwa miaongo isiyopingua mitatu. Bob junior alivuma kwa utawala wa kibabe ndani ya hifadhi yeye na...
6 Reactions
30 Replies
785 Views
Gap limekuwa kubwa kati ya wenye nacho na wasio nacho kwa sababu ya Upinzani dhaifu Kutekwa watu hovyo Rushwa kila kona Kupotea kwa watu Mauaji bila sababu Viongozi walarushwa Viongozi wazembe...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia...
9 Reactions
172 Replies
3K Views
Ezekia Wenje, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema amesema "Hii ya (Lissu) kuombea Urais, unapokuwa na mgombea wa aina ya Magufuli, tunajua Magufuli alivyokuwa inabidi upeleke mtu anayefanana nae tabia...
1 Reactions
20 Replies
959 Views
Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda...
41 Reactions
211 Replies
8K Views
Wasalaam ndugu zangu, Kwanza nianze na pongezi kwa mikoa ya Dar-es Salaam, Dodoma, na Kilimanjaro kupongezwa na Mheshimiwa Rais Jana kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi wa nchi yetu...
11 Reactions
128 Replies
4K Views
Pamoja na kumfunga miazi 9 kuteswa kwenye siasa za ndani kuengua viogozi wa chadema katika serikali za mitaa kufungwa wa fuasi wa chama chake ila amekua na kind words nao na siraha zake zikaelekea...
3 Reactions
23 Replies
638 Views
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano...
10 Reactions
190 Replies
6K Views
Lissu akimaliza mchakato wa uchaguzi wa ndani wa Chadema, kuna uwezekano mkubwa kwamba atahamishia mapambano yake kwenye serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan. Hii ni kutokana na historia yake ya...
0 Reactions
11 Replies
580 Views
Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Korogwe jana kwa shtaka la kumkashifu Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji Korogwe kuwa ana stashahada ya...
0 Reactions
65 Replies
15K Views
Tundu Lissu tupe ahadi ukishinda Utaanzisha Chadema TV & Radio, Mbowe japo alikuwa na Disco kama Kusaga lakini ameshindwa kwa miaka 20 Sifurahishwi na utaratibu wa Mbowe na Tundu Lissu kila siku...
3 Reactions
20 Replies
638 Views
Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari...
50 Reactions
129 Replies
9K Views
Kuna taasisi ya elimu ya juu imeruhusu umoja wa kusaidiana kwa misingi ya dini. Tafsiri yangu ni kwamba, kwa kuunda umoja huo, na kuhamasishwa na viongozi wa taasisi ni ishara ya kuwatenga watu wa...
2 Reactions
7 Replies
377 Views
Yesu Kristo aliishi kwa miaka 33 umri ambao Mbowe kaishi ndani ya CHADEMA Ni sawa Mbowe alikuwepo wakati Tuntemeke Sanga anaasisi CHADEMA lakini hakuwa miongoni mwa wale Mitume 6 wa CHADEMA...
3 Reactions
6 Replies
335 Views
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mrisho Gambo, ametembelea mradi wa ujenzi wa Barabara ya Engosheraton jijini Arusha na kumtaka mkandarasi wa mradi huo, Jiangxi GEO...
0 Reactions
4 Replies
345 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…