Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wanabodi, Leo nimetembelea kurasa fulani za website ya UN, nikakutana na neno fulani la Kiswahili kwenye moja ya program za UN, neno Hii inaonyesha Kiswahili kinazidi ku gain momentum. Neno...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea. Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho. Kama lipo tatizo lolote...
2 Reactions
15 Replies
575 Views
Salaam Wakuu, Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea walishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Ushirikiano wa...
0 Reactions
4 Replies
338 Views
Habari za Sabato! Kuna watu wanaamini kuwa watu wote wa CCM ni Najisi, wezi, majambazi, mafisadi yaani kitendo cha kuwa CCM wanaamini wewe ni muovu. Jambo ambalo sio kweli Wakati huohuo...
4 Reactions
30 Replies
557 Views
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Muyaga 'C' Onesmo Saimoni Mdollo kupitia Chadema wa Kijiji cha Kitahana, kata ya Kitahana, Wilaya ya Kibondo ameokotwa asubuhi ya leo Jumatano tarehe 4/12/2024 akiwa...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Watu wanatumia Rushwa kupata vyeo Wanapata Wanaandaa na Sherehe kusherehekea Ushindi utokanao na Rushwa Wanawapa Machawa Ubwabwa ili washereheshe Na michawa ilivyokosa elimu na Uzalendo hata...
0 Reactions
0 Replies
138 Views
Toka amelazimisha kufahamika na kupata umaaurufu sijawahi kuonanashinda kesi yoyote mahakamani. Kama yupo anayejua tafadhali aiweke hapa
8 Reactions
60 Replies
2K Views
Ubaya ubwela hakuna unyonge == Mwenyekiti wa kamati ya Uenezi CHADEMA kanda ya Nyasa, Bruce Nyamwangi akizungumza katika Muendelezo wa kampeni za kuwanadi wagombea wa Chama hicho kuelekea...
1 Reactions
2 Replies
192 Views
Akiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi. Kikwete amesema hayo wakati...
32 Reactions
158 Replies
9K Views
Leo kuanzia saa moja kutakuwa na mjadala mzito utakaoendeshwa online kuhusu Umuhimu wa Tanzania Katika Mtangamano wa Afrika Mashariki Sote tunakaribishwa...
3 Reactions
5 Replies
245 Views
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao. 1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police. 2. Gari ya watekaji na...
20 Reactions
113 Replies
6K Views
Nimetoa tu angalizo kwa Sababu baadhi yetu wanadhani Ubunge ndio ulimsaidia Faustine Kupata Ukurugenzi WHO Ahsanteni Mlale Unono 😀
4 Reactions
13 Replies
352 Views
Rasi Samia anafanya hadaaa za kiwango cha juu kabisa, na pia anacheza na akili za wajinga kwenye hii Jamhuri ilio jaa wajinga. Report ya CAG mwaka huu watuhumiwa wote wamesamehewa kwa asilimia 100...
5 Reactions
8 Replies
369 Views
Ndani ya Muda mfupi wametoa taarifa muhimu ambazo zitasaidia kupatikana kwa mfuasi wao CHADEMA sasa hivi wangekuwa kwenye media wakitoa matamko kuna kitu wajifunze .
4 Reactions
52 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassann ametoa magari mapya kwa wakuu wa wilaya zote za Mkoa wa Pwani, ili kurahisisha utendaji kazi wa viongozi hao. Akikabidhi magari hayo kwa niaba ya Rais, mkuu wa Mkoa wa...
1 Reactions
13 Replies
699 Views
Taarifa zinaeleza kwamba Huyu Mzee aliuawa tarehe 2 this December na leo tarehe 4 tayari wahusika wamedakwa (Hongera sana Jeshi la Polisi) Hoja yetu ni hii, Ugumu wa kuwakamata Wauaji wengine...
2 Reactions
7 Replies
518 Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu...
26 Reactions
358 Replies
36K Views
Wakuu, TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma linafanya uchunguzi wa tukio la Onesmo Simon, miaka 40, askari wa Kampuni binafsi ya ulinzi Kiwango Security na Mwenyekiti wa kitongoji cha...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 28 Julai 2022 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa mikoa 10 na wengine tisa kubakia kwenye...
7 Reactions
92 Replies
13K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa. Katika mabadiliko...
3 Reactions
132 Replies
26K Views
Back
Top Bottom