Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu wangu JF niwasalim kila mmoja kwa imani yake Poleni wafiwa wote kwa kuondokewa na wapendwa wenu kisa tu uchaguzi Serikali za mtaa, nimetoka katika maombi binafsi na moja ya maombi yangu leo...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wanajamvi Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya...
25 Reactions
216 Replies
11K Views
CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko. Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm...
22 Reactions
87 Replies
8K Views
Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji. Namnukuu Edo Kumwembe, Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya...
19 Reactions
52 Replies
2K Views
Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku...
10 Reactions
56 Replies
2K Views
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT. Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida. ===============...
21 Reactions
244 Replies
13K Views
Maandiko matakatifu yanaeleza kwamba MUNGU YUKO PAMOJA NA WENYE KUSUBIRI ( Quran ) , kuteuliwa kwako kuwa balozi asiye na nchi mara baada ya kuvuliwa ukatibu Mkuu wa Wizara ya Afya ni ishara...
57 Reactions
116 Replies
25K Views
Nakumbuka tukio la utekaji wa mzee Ally Kibao, ambapo mtu wa kwanza kutoa taarifa kwa umma kuhusu tukio hilo alikuwa John Mnyika, kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hatimaye...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, kila mmoja wetu ameshuhudia wimbi kubwa la utekaji, utesaji na mauaji hapa Nchini hasa kabla na wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024. Mimi niwaombe wanaotekeleza...
1 Reactions
6 Replies
303 Views
Nimefurahishwa sana na utendaji kazi wa Jeshi letu Kila siku lipo mzigoni kuwasaka watekaji. Mafaili ya wanaosakwa ni mengi napongeza sana kwa umahiri na umaridadi wa jeshi letu. Wanawasaka...
9 Reactions
24 Replies
969 Views
..Nimesikiliza maeneo ya Isihaka Mchinjita kuhusu purukushani walizopitia wanachama wao mkoani Lindi. Vilevile nimesikiliza maelezo ya Tundu Lissu akiwa ktk msiba wa kada wa Chadema aliyeuwawa...
13 Reactions
58 Replies
2K Views
Balozi Hoyce Temu aliyepo Geneva amesema Dkt. Ndugulile alikuwa Mtu mwenye misimamo na aliyelisaidia Taifa katika mambo mengi Bila mbwembwe Temu amesema alimjua Dr Ndugulile walipokuwa kwenye...
2 Reactions
1 Replies
264 Views
Kiukweli Huyu mdimi Yohana Kibassa wa Kijiji cha Nyamwisi, kata ya Ruaha Kilosa anastahili Maua yake 🌹🌹🌹 Lucas Mwashambwa miaka 46 UVCCM bado hajatoboa Navalonge swela 😂😂🔥
14 Reactions
33 Replies
1K Views
Labda nikutajie nchi zinazounda Jumuiya ya Africa Mashariki Ili upate Urahisi wa kufanya Utafiti Rwanda, Uganda, Kenya, Tanzania Bara na Visiwani, Burundi, Sudan Kusini, DRC na Somalia Halafu...
2 Reactions
8 Replies
266 Views
Ndiyo! Rais mkapa hakua mbinafsi hata kidogo na yawezekana ndiyo Rais ambae hakupendelea kwao kabisa mpaka anaondoka madarakani Rais mkapa hakupeleka vitu vingi sana kwao mtwara zaidi ya daraja la...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Mungu hamwachi mtu wake Poleni sana wafiwa wote na wana CCM wenzangu Nimewaza nkasema bado tuna kijana mdogo mwenye kutufikisha mbali kama sio kaanani CCM kwa heshima na taadhima tunaomba mh...
2 Reactions
6 Replies
407 Views
Mkurugenzi wa Shirika la Bridge for Change, Ocheki Msuva ambaye ni mtaalamu wa siasa na utawala anayejihusisha na masuala ya vijana katika eneo la ushiriki na ushirikishwaji amesema uchaguzi wa...
0 Reactions
1 Replies
159 Views
Kama mwanadam unajua hasa hatari ya kuongoza watu na jukumu ulionalo daima ungalikumbia uongozi Uongozi ni Amana Nzito Mtume Muhammad (S.A.W.) alisema: "Hakika, uongozi ni amana. Na Siku ya...
12 Reactions
26 Replies
573 Views
Tundu Lissu ni mwanasheria makini na mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu. Lakini natilia shaka kama yeye ni mwanasiasa mahiri na pia sijui kama yeye pia anajua nafasi yake aliyopo kisiasa...
10 Reactions
63 Replies
2K Views
Tanzania ya sasa haieleweki maana hakuna agenda ambazo taifa linazishika na kupanga kufika nazo mwisho. Ni upepo tu, ukivuma kushoto ndiko hukohuko fikra zote zinaelekea. Upepo ukivuma kulia kila...
0 Reactions
2 Replies
160 Views
Back
Top Bottom