Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu, Haya jamani mliokuwa mnasema kuwa ACT Wazalendo ni CCM B mna salamu zenu hapa. Nimeona hivi karibuni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Jimbo la Momba, Himid Yaled Siwale amesimamishwa uongozi...
1 Reactions
11 Replies
772 Views
Swali hilo linanifanya nianze kufikiri na kuamini kwa uhakika kuwa hawa sio Polisi wa kawaida bali hiki kinachoendelea ni matumizi mabaya ya ile sheria inayowapa watu wa usalama wa Taifa (TISS)...
3 Reactions
8 Replies
709 Views
habari JF , kwa sababu kuu tatu;- 1. Ni ngumu sana kuitoa madarakani CCM kwa katiba na Tume hii ya uchaguzi , 2025 ni karibu sana kupata tume au katiba Mpya 2. Ni ngumu sana kuiunganisha CHADEMA...
6 Reactions
35 Replies
797 Views
Watanzania ni waoga sana hata Mimi muoga sana yaani ukitekwa eneo nililopo Mimi sahau kuhusu msaada Sina mda wa kufa Kwa ajili ya mjinga mwingine aishi sababu sioni faida naona wengi mnaongea...
3 Reactions
40 Replies
896 Views
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema baada ya Kifo Cha Sokoine Maneno mengi yalisemwa ikiwemo " aliuawa kwa njama" Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika Kifo Cha Sokoine Mwalimu Nyerere...
12 Reactions
191 Replies
7K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwanza ningependa ifahamike ya kuwa Ziara ya Mheshimiwa Rais Mkoani au mikoani inakuwa na maandalizi makubwa sana kuanzia Masuala ya usalama na mengineyo. Ndio maana siyo...
12 Reactions
320 Replies
9K Views
Alisema: "Give them guns and they will kill each other.They are good at nothing else except........." Haya maneno mengine wacha tu nisimalizie maana ni aibu. Nimekumbuki hii speech inayodaiwa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Wanabodi, Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu? Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea...
10 Reactions
278 Replies
26K Views
Kwa wanaokumbuka mwendazake Magu alivyotaka kuigeuza Chato Ulaya, watajikumbusha kinachoendelea kule Kinzinkazi, siyo jina hali. Kabla ya hapo, hatukuwahi kuona kiongozi akipendelea kwao hata kwa...
4 Reactions
31 Replies
859 Views
Prof PLO Lumumba anasema " Nchini Japan Fisadi hujiua mwenyewe, China Fisadi huuawa na serikali, Ulaya Fisadi hufungwa Jela na Mahakama Lakini Africa Fisadi hujitokeza na kugombea Uongozi kwenye...
10 Reactions
25 Replies
780 Views
Wakuu, CHADEMA, ACT hola? Wagombea walienguliwa wote au nini kimetokea? CHAUMA upinzani anashinda anamshukuru Rais Samia kwa kushinda? CCM safari hii mmetisher!:KEKLaugh::BearLaugh::BearLaugh...
3 Reactions
88 Replies
3K Views
Je,hili sakata la kada wa ACT wazalendo (Mwenyekiti wa vijana) kukamatwa na kupatikana ndani ya siku moja inaweza kuwa ni njia ya kuwatoa ACT katika msimamo wao wa kutaka uchaguzi wa serikali za...
1 Reactions
2 Replies
408 Views
Jeshi la polisi leo limeongelea uchunguzi wake kuhusu mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam aliyedaiwa kutekwa, Abdul Nondo kwamba alitekwa na watu wasiojulikana, taarifa ambayo ilizua...
12 Reactions
422 Replies
45K Views
MATOKEO RASMI: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salim Jecha amemtangaza Dr. Mohammed Shein kuwa Rais wa Zanzibar kwenye uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20, 2016 kwa asilimia...
3 Reactions
501 Replies
87K Views
Mwaka 2019, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola “Ninja” aliwahi kukilamikia kituo cha Polisi Gogoni kwa ukiukwaji wa haki. Tujikumbushe hapo chini; Waziri wa @WizaraMNN Kangi...
1 Reactions
10 Replies
975 Views
Huu ni uzi wa maelezo ya kijana SATIVA (katika mtandao wa X) namna alivyomtambua Mafwele kwenye sakata lake la jaribio la kuuawa lililoshindikana - Boniface Jacob: Sativa amemtambua ACP Faustine...
12 Reactions
50 Replies
5K Views
Tathmini ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana chini ya kituo cha Star TV, uliongozwa na Chief Odemba. CHADEMA iliwakilishwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani, Boniface, CCM...
11 Reactions
66 Replies
3K Views
Mhe. Rais Dkt. Samia amesisitiza ulazima wa wananchi kushirikishwa ipasavyo katika upangaji na utekelezaji miradi inayopita kwenye maeneo yao.
0 Reactions
2 Replies
177 Views
Baada ya Tanzania kulaumiwa na Jumuiya za kimataifa kwa kumiliki kikundi cha watu wasiojulikana ambao kazi yao ni kuteka, kuua kutesa, kubambikizia kesi, Tanzania imetoka kuwa nchi ya kwanza yenye...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Bwana Masauni napenda kutoa maoni yangu juu ya kauli yako inayohimiza nyumba za ibada kuhamasisha amani. Lengo langu ni kuomba ufafanuzi wa tafsiri yako ya neno amani na jinsi inavyopaswa kufikiwa...
2 Reactions
2 Replies
297 Views
Back
Top Bottom