Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaelezeni na kuwapeni Elimu ndogo tu ya kuwa kwa utamaduni wetu CCM na wana CCM.ni kuwa hapo Mwakani hakutakuwa na Mwana CCM atakaye chukua fomu ya kugombea...
1 Reactions
155 Replies
3K Views
Asante sana vijiji vyote vitano kwa namna mnavyokiamini na kukikubali Chama Cha Mapinduzi. Shukran sana kwa kuamua kuongozwa na vongozi makini na waaminifu wa CCM. Ni kitongoji kimoja pekee ndio...
2 Reactions
25 Replies
650 Views
Tumetukuwa tukitegemea Vyama vya Upinzani kuibua Madudu ya Chama Tawala; Binafsi naamini kwamba Vyama ni Muunganiko wa Watu wenye Mawazo yanayofanana ya jinsi gani tunaweza kutoka hapa na kufika...
4 Reactions
25 Replies
899 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amekutana na Mheshimiwa Youssoufa Mohamed Ali, Waziri wa Ulinzi ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Tawala Comoro cha CRC ambaye pia...
0 Reactions
2 Replies
291 Views
📖Mhadhara (55)✍️ Waswahili husema; "Mungu hakupi vyote na wala hakunyimi vyote". Hivyo sina budi kusema watanzania hawakunyimwa amani, upendo, na utulivu. Mwaka 2024 & 2025 watanzania wanatarajia...
1 Reactions
3 Replies
192 Views
Mambo ni moto, mi nawasogezea tu taarifa karibu, muda wa kufanya maamuzi ukifika mnakuwa na taarifa zote muhimu. Kupata taarifa za mikoa mbalimbali kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia...
0 Reactions
6 Replies
460 Views
NAIBU WAZIRI KATIMBA: UJENZI WA SOKO LA MWANGA NA KATONGA UTAIMARISHA MAZINGIRA YA BIASHARA KIGOMA Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawaka za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Zainabu Katimba...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Wakuu, Ni mwendo wa kusafisha njia tu sasa hivi ili 2025 mambo yawe marahisi! === Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Shaaban Ali Othman ametoa kiasi cha Tsh Milioni moja (1)...
2 Reactions
2 Replies
157 Views
Ni muda muafaka sasa wa kubadilisha muelekeo wa kutweka jahazi la mama Tanzania. Wenzetu duniani wanakimbia sana kwenye swala la teknolojia ...na wanachokifanya ni kimoja tu...kila wazo liwe la...
1 Reactions
24 Replies
453 Views
CHADEMA ndicho chama kikuu cha upinzani Tanzania. Viongozi wa CHADEMA kadhaa wametekwa na wahuni na wengine kuuwawa, Serikali imeshindwa hata tu kumshika teja na kumbambikiza kesi ya utekaji na...
1 Reactions
9 Replies
289 Views
Leo katika pita zangu huko kwenye ESS, Daaaah, ni hatari saana. Mabenki yanashindana tu kupandisha riba za mikopo ambayo ni kimbilio la watumishi wavuja Jasho wa nchi hii. CRDB, NMB, NBC...
0 Reactions
1 Replies
372 Views
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000. Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya...
41 Reactions
490 Replies
17K Views
Ukweli ulio Tukuka, Kuna baadhi ya maeneo katika nchi yetu hayapati maendeleo kutokana na aina ya viongozi walionao ambao siyo wachapakazi. Viongozi waliochaguliwa wanafanya kazi kwa kupendelea...
0 Reactions
0 Replies
117 Views
Kuna taarifa kuwa Shirika la utangazaji la Taifa (TBC) limekisimamisha kipindi chake cha This week in perspective kinachoendeshwa na Adam Simbeye bila maelezo ya kueleweka. Hata hivyo imeelezwa...
5 Reactions
59 Replies
12K Views
Utangulizi Ninajisikia huzuni kila wakati ninapofikiria jinsi mabadiliko yanayofanywa katika mfumo, muundo, na ufanyaji kazi wa Tanzania Mining Cadastre Portal yanavyowakilisha changamoto kubwa...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Habari za leo Wakuu. Katika pita pita huko maeneo kuangalia wenzetu wanafanyaje kukabiliana na changamoto za umeme nimekutana na miradi 2 huko Egypt ambayo imefanya nije na Uzi hapa. Wenzetu...
23 Reactions
191 Replies
9K Views
Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa. Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni...
17 Reactions
54 Replies
2K Views
Dk. Tulia Akson unavuna ulichopanda kutokana na udhaifu wako hadi unasababisha Mawaziri wanakudharau na wanalidharau Bunge kwa kuwa wanajua halina cha kuwafanya. Tulia ni majuzi tu ukiwa IPU...
7 Reactions
49 Replies
3K Views
Nadhani chama kimekata tamaa, kimegawanyika. Nadhani sasa vyama vingine vizibe ombwe hili. Wenzetu wakija kuchochea vurugu, uharibifu wa amani, wana pa kukimbilia, kwa wajomba zao Canada na Ulaya...
1 Reactions
6 Replies
221 Views
Tunatambua mchango wenu katika kuikosoa serikal katika vyama vya upinzan vilivyo kaza bas ni chadema vyama vongine ni wakat wa uchaguz kisha hupotea Uchaguz ni hesabu na mipango mipango huanza...
1 Reactions
4 Replies
290 Views
Back
Top Bottom