Mwenyekiti mstaafu wa Chadema Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa amesema aliniambia Kamati Kuu ya Chadema kuwa ukali anaoutumia kumshambulia Shujaa Magufuli bungeni atautumia pia dhidi ya Chadema...
Wanabodi,
Kupokea na kuuza nje bidhaa mbalimbali ni jambo la muhimu na la kawaida katika nchi yoyote. Kulingana na uhitaji wa bidhaa mbali mbali au mahusiano kati ya nchi moja na zingine, bidhaa...
Hiki ni kipindi muhimu sana katika chama chochote cha upinzani hasa tunapoelekea uchaguzi Mkuu wa 2024.
Lazima chama kionekane kipo active katika kipindi hiki muhimu kwa kwa kuhakikisha taarifa...
Ubinafsishaji ulisimamiwa na Dr Kigoda awamu ya 2 ya Mzee Mkapa na Wawekezaji Ndio Hawa akina Abood Bus, Mo Dewji, SS Bakhresa nk
Je, zoezi la Ubinafsishaji wa shughuli za Serikali Kwanini...
Kujitokeza kwa 100% kwa Wanachama wa Chadema kuchukua fomu za kugombea Uenyekiti wa serikali za Mitaa, Kumewaduwaza Viongozi wa CCM kiasi cha kuanza kupanga njama zile zile za kishamba...
Tundu Lissu ataka watanzania wachukue hatua kukataa ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania
Na Jumatano, Oktoba 30, 2024
Lissu anaamini kuwa Watanzania lazima watafakari...
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na...
Kukalia Habari na kuwanyima Uhondo Wenzako si kitu kizuri na ni Ubinafsi.
Baada ya kulifahamu hilo nikaona ni vema niwaletee haya yanayoendelea huko Sirari, Tarime
Ujumbe: Watake Wasitake
VOLKANO YA KUNDUCHI - SERIKALI IMETOA UFUMBUZI GANI?
Habari hii ilivuma sana miaka mitatu iliyopita!
https://youtu.be/AxuC1PRaTEQ
https://youtu.be/RnoqUCZFBYg
wataalam wa jioolojia waligundua...
Wakati wenzetu wakifanya mabadiliko makubwa kwenye mfumo wa siasa na Mihimili ya nchi, sisi Tanzania tunabomoa hata kile kidogo kilichoanza kujengwa.
Ni aibu kubwa wagombea wa CCM kupitishwa bila...
NIWAONYE ndipo NIWAFUNDISHE
Wiki inayoishia leo 1/11/2024, kuna wezi wametumia jina langu kuandika makala wakidai naikemea CHADEMA kwa kufifisha matumaini ya watanzania. SIYO MIMI NILIYEANDIKA...
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha; tunakuomba uingilie mgogoro ulioko kati ya Jiji la Arusha na shule ya msingi Arusha (Arusha School) iliyoko mkabala na Tanesco Arusha!
Sisi wazazi tunalipa ada...
Tutarajie kutangaziwa sheria mpya za uchaguzi, sheria hizo zitatumika wakati wa kampeni ili kuwalinda wasioweza kupambana jukwaani.
Kulikoni uchaguzi ujao utungiwe sheria mpya, ni nani anatakiwa...
Botswana Democratic Party ni chama tawala cha Botswana na kimeongoza nchi toka uhuru 1966 na CCM ambayo ilikuwa Tano kimeongoza Tanzania toka 1961.
Tofauti kubwa ni kwamba chama cha Botswana...
Hii ndio kauli iliyotolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud
Labda kwa kumbukumbu ya Wageni wa jf na wale waliosahau ni kwamba Huyu jamaa aliwahi kufutwa kazi kabambe ya...
Wananchi na wazazi wa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Uhuru Jijini Dodoma, wamempongeza na kumshukuru Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde kwa ufadhili wa ujenzi wa uzio wa shule hiyo...
Ni kama mwezi umepita tangu wakazi wa dar wametangaziwa kwamba sasa mradi wa kuboresha maji umekamilika. Matarajio ya watu bila shaka hapatakua tena na mgao.
Lakini la kushangaza bado kuna mgao...
Viongozi wa Serikali Mkoa wa Mwanza ebu angalieni Afya na utu wa wananchi wenu. Hivi kweli Wilaya ya Nyamagana tena Jiji kabisa mmekosa sehemu nzuri ya kuwaweka wafanyabiashara wadogo wadogo na...
Wakazi wa Mtaa wa Chinyoya, Kata ya Kilimani, Wilaya ya Dodoma Mjini, jijini Dodoma, wamepinga uteuzi wa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayewania nafasi ya uenyekiti, wakidai kuwa mgombea...
Taarifa hii iliyonukuliwa kutoka jarida la Bloomberg linadai kwamba China iko mbioni kujenga Kambi za Kijeshi Tanzania na Mozambique.
My Take
Huenda ni porojo na propaganda za USA maana Mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.