Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Habari watanzania wenzangu Nianze kwa kusema kitu chochote unachokipenda utakilinda ,utakithaminisha na kukitetea kwa gharama kubwa pale unapoona kinaweza kuchukuliwa. Inasemekana baba wa Taifa...
0 Reactions
16 Replies
399 Views
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini Mungu wa Mbinguni aingilie...
4 Reactions
51 Replies
947 Views
HAMASA KUBWA YA WANANCHI KUJIANDIKISHA, PONGEZI ZIENDE KWA RAIS SAMIA Nchi inayoongozwa katika misingi ya kidemokrasia inaamini kuwa kielelezo cha kwanza cha Demokrasia ni haki ya kuamua, yaani...
0 Reactions
2 Replies
219 Views
Siku zote tumeandika humu na kwingineko kwamba, Cheo ni Dhamana ya Muda mfupi sana, hivyo chaweza kukuponyoka wakati wowote kwa sababu zozote zile. Sasa Ndugu zangu nimejitokeza tena kwenu nikiwa...
30 Reactions
249 Replies
9K Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, leo Oktoba 19, 2024, ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Mpigakura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024...
0 Reactions
10 Replies
546 Views
Haya anayoeleza Huyu Mchungaji Mchungaji Israel Ernest Ngatunga kama ni kweli basi CCM hawataaci madaraka kamwe kwa njia ya amani kupitia boksi la kura Pia soma: LGE2024 - Vijana wa CCM...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Uchunguzi wangu Binafsi nilioufanya kutokana na Kuangalia Wajihi wa Wengi waliotekwa na Kupotezwa na kuuawa Nimejiridhisha kwamba, Waliolengwa kutekwa, kupotezwa, ikiwemo na Kuuawa ni Viongozi...
13 Reactions
67 Replies
2K Views
Kama mwenendo wa kujiandikisha Kwenye daftari la mkazi kwaajili ya kupiga kura Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unasua sua hivi,vipi uchaguzi mkuu mwakani? Wananchi wengi katika mitaa...
1 Reactions
13 Replies
783 Views
Mh. Mchengelewa bila shaka ni mzima wa afya njema. Nakuomba uongeze siku za kujiandikisha kwa sbb zifuatazo: 1. Kuepo kwa figisu nyingi za kuandikishaji sehemu mbalilmbali. 2. Yanga na simba...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Ni lazima tuelewe uwepo wa CHAWA hautokani na Itikadi bali hali ngumu ya Maisha inayosababushwa na unemployment Unaweza kuniuliza mbona Mwijaku ni tajiri mwenye Magari na Nyumba ya ghorofa lakini...
2 Reactions
1 Replies
236 Views
Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo Taifa, ameonyesha mfano wa uongozi kwa kujitokeza kujiandikisha katika daftari la mkazi, akijiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa...
0 Reactions
1 Replies
205 Views
Waungwana: Unlike mashirika mengine ya Umma na ya binafsi, sisi huku NSSF huwa hatuna makuu. Team yetu inaitwa TEAM RESULTS ORIENTED. Tumesema Tunajenga Daraja la Kigamboni (wana kigamboni...
5 Reactions
127 Replies
17K Views
Wakuu, Mwandikishaji kutoka mtaa wa jeshini, makambako Njombe kutoka aliyejitambulisha kwa jina la Pasdia Kayombo, asema mwitiko wa wananchi kushiriki kwenye kujiandikisha uchaguzi wa serikali za...
0 Reactions
6 Replies
284 Views
Wakuu, Vijana na wanawake msituangushe uchaguzi huu, ruacge kulalamika, tuingie kwenye uongozi na kuleta mabadadiliko tunayoyataka. Hata kama wazee mifuko imetuna, kama tukisimama imara na...
0 Reactions
2 Replies
224 Views
Bwana Kheri James amesema kote walikopita wilani humo mawakala wa vyama vya siasa hawakuwa na manung'uniko yoyote, wamerdhika kabisa na jinsi zoezi linavyoenda. Sasa kule Chunga na Dar mnakwama...
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Katika political science mbinu moja ya kutawala bila mandamano na riots ni kufanya political diversionary au incidents ili kuhamisha akili za raia kuondoka kwenye political issue na kuhamia kwenye...
1 Reactions
2 Replies
242 Views
Leo ni siku ya mwisho ya kuandikisha wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27. Hali hii inatia wasiwasi baada ya karani na mwenyekiti wa Anglikana...
0 Reactions
1 Replies
176 Views
Tanga. Utendaji wa Bandari ya Tanga umeimarika kwa kiasi kikubwa katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na uwekezaji wa serikali wa Sh429.1 bilioni. Bandari ya Tanga ilijengwa kwa mara ya...
1 Reactions
5 Replies
461 Views
Wawili hao wamekutana kwenye ofisi za Ubalozi huo katika kikao kifupi kilichoambatana na Lunch Bado haijafahamika hasa kilichozungumzwa, lakini bado tunaendelea na Juhudi za kumpata Msemaji wa...
13 Reactions
64 Replies
2K Views
Baada ya siasa za Tanzania kufanywa na dola badala ya wanasiasa imani ya wananchi imepotea kuhusu haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Awali ilikuwa dola haijitokezi adharani kudhibiti wanasiasa ila...
1 Reactions
5 Replies
164 Views
Back
Top Bottom