Falsafa ya 4R's (Maridhiano, Uvumilivu, Mageuzi, na Ujenzi Upya (MUMU) ina manufaa makubwa katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, hasa inapohusisha uwazi na ushirikiano wa vyama vyote...
Hivi inakuwaje mkoa mmoja kila wilaya inalipa jinsi inavyopenda?Inaamanaa hili zoezi kila wilaya wilaya linaendesha zoezi hili kila linavypoenda? Hii ina maana tume ya uchaguzi haikupanga kiwango...
TRA: MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUWAKUMBUSHA WALIPAKODI
KUTEKELEZA WAJIBU WA KULIPA KODI KWA MUJIBU WA SHERIA
Dar es Salaam, 18 Mei, 2024:
Mamlaka ya Mapato Tanzania...
Wajuzi wa katiba na sheria za Kenya nauliza baada ya Naibu Raisi wa Kenya Gachagua kuondolewa na Bunge kwa tuhuma za ufisadi atashtakiwa mahakamani ? Au ataachwa ale kuku kwa mrija vile alivyo fisadi
MAREKANI YARIDHISHWA NA MAGEUZI YA KIUTENDAJI YA SERIKALI YA RAIS SAMIA
Yaahidi kuendelea kutoa fedha kuisaidia Tanzania kutatua vikwazo vya ukuaji uchumi.
Shirika la Changamoto za Milenia...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ameelekeza madaraka ya wenyeviti wa vijiji, wajumbe wa Halmashauri za Vijiji na Wenyeviti wa...
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia...
Kwa sasa, Tanzania iko kwenye mchakato muhimu wa uandikishaji wa wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini hali ya mambo inazua mjadala mkubwa. Kila kona ya nchi, kunasikika...
Vurugu kubwa zimetokea katika mtaa wa Engosengiu kata ya Sinoni kati ya msimamizi wa uandikishaji wa mtaa huo na wakala wa chadema na baadhi ya wananchi baada ya msimamizi huyo kutaka kumtorosha...
Mawakala tangu wameanza zoezi la kuandikisha hawaja pata chochote licha ya kushiriki kikamilifu kufanya uhamasishaji, wanajigharamia wenyewe chakula na hakuna posho yeyote wamepewa kwa kazi hii...
Kwa mfano swala la Gachagua yule Shujaa Magufuli wa Tanzania angelimaliza yeye mwenyewe
Namshauri Rais wa Kenya aige Mfumo wa Shujaa Magufuli vinginevyo impeachment inayofuata anaweza Kuwa yeye...
Salaam, shalom!!
Viongozi tulikuwa tukiwaonya kupunguza viburi, mlikuwa mkitamba Kwa kauli za kejeli kuwa " Hata msipoipigia CCCM kura Bado itaunda Serekali"
Wengine wakaenda mbali na kudai kuwa...
Tulikuwa tunatafuta Kwanini Prof Sedoyeka amepelekwa tume ya maadili? Tulijiuliza kwanini tume imeweka habari yake kwenye vyombo vya habari? Tulijiuliza kwanini vyombo vya habari vinatoa promo...
Hapo Chadema kwa akina Mchungaji Msigwa na kule CCM kwa akina Daktari Kigwangala changamkieni Fursa za Uongozi kule Mashariki ya Kati
Gaza kuna Vyeo Kibao havina wenyewe Waarabu wamevikimbia...
Tangu nimepata akili za kufuatilia siasa wasajili wa vyama vya siasa ninaowafahamu ni John Tendwa na huyu wa sasa Francis Mutungi,
Sina kumbukumbu kama katika kipindi cha miaka 15 kumekuwa na...
WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MTENDAJI WA ALMA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amefanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa...
Kuna wana CCM wanafurahia uhuni wanaofanyiwa wapinzani kwenye chaguzi. Kwao inawapa sense ya ufahari ya kujiona wana power fulani hivi inayowawezesha kuiruhusu haki kwa kupenda au kuiminya haki...
Habari za Sabato!
Sijawahi kumfahamu Mwanamke yeyote kwa hapa Tanzania mwenye uwezo kama Tulia Akson. Sisemi ili wengine wamuonee Wivu, wala sisemi ili yeye awe na Kiburi. Ila naongea kila...
Tarehe 18 Oktoba 2024 ilikuwa siku ya kihistoria baada ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia kwa Waziri wake Prof Adolph F. Mkenda kuwasilisha taarifa kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya...
Zaidi ya Sh 115 Milioni zitatumika kujenga Kituo cha kisasa cha Polisi katika Kijiji cha Bashnet Wilayani Babati ili kukidhi haja ya kusogeza Huduma za kipolisi kwa Wananchi.
Hayo yamesemwa leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.