Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Rais wa mabunge dunia amesikika, ameongea na ameeleweka na kwa kuongea kwake wengi wanampongeza msomi mbobevu wa sheria Binafsi naona kuna ukakasi kwake kama kiongozi mkubwa wa IPU kuongea kwa...
30 Reactions
95 Replies
4K Views
Ukiukwaji ni mkubwa tena unafanyika wazi wazi mbele ya jamii bila hofu yeyote kwa wahusika. Waziri wa TAMISEMI yupo, Tume ya Uchaguzi ipo, Vyombo vya sheria vipo. Lakini.... 1. Watoto chini ya...
5 Reactions
23 Replies
814 Views
Mzozo mkubwa umeibuka katika kituo bubu cha uandikishaji wapiga kura huko Vunjo, Kilimanjaro ambapo madai ya uandikishaji holela wapiga kura yameibua hasira na maswali mengi miongoni mwa wananchi...
1 Reactions
16 Replies
627 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, ametoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la Mkazi, ili kuwa sehemu ya maamuzi ya kuchagua viongozi...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Napenda kusema kupiga kura ni siri ya mtu, kajiandikishe upunguze kufuata mikumbo.
0 Reactions
11 Replies
179 Views
Mimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya uanachama 110---652 ambaye nilipoteza ajira tangu may 2023, mwaka huu mwezi wa kwanza mama yangu alipata changamoto ya maradhi ya moyo baada ya...
11 Reactions
66 Replies
4K Views
Wakati wakiwa madarakani walikua wakitamba na magari wasio yajua yananunuliwa kwa nguvu za nani, Amino nawaambia hata punje ilio ndogo ikitolewa kwenye gunia basi amini halitakua gunia kamili...
2 Reactions
2 Replies
119 Views
Viongozi wa CCM pigeni marufuku pikipiki za 'Samia 2025' kutumika kama 'bodaboda' Ila kama hawa viongozi wa huku kwenye mashina mmewapa ziwe za kwao basi tujue. Hali ikiendelea hivi 2025 zitafika...
1 Reactions
15 Replies
675 Views
NGARA: MICHE YA KAHAWA YAGAWIWA KWA WANANCHI WILAYANI - NGARA Mhe. Ndasaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara amefika kwenye vitalu vya Kahawa na kushuhudia ugawaji wa Miche hiyo katika...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, ameendelea na ziara yake ya kuangalia jinsi huduma za uandikishaji wa wananchi wenye sifa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
JE UNAMJUA DR TULIA ACKSON, MWANASHERIA MSOMI KAMA WANASHERIA WANAVYOJIPALILIA? MAKALA HII IMEANDIKWA NA Comrade Ally Maftah (PACOME WA MCHONGO) Dr Tulia amezaliwa tar 23 November 1976 katika...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Kuna wakati unajiuliza hii nchi watu wake wanataka nini, lakini baadae unapata majibu nchi hii watu wake wamekata tamaa kwa jinsi inavyoendeshwa, na kieleele changu nikajifanya nina uzalendo sana...
2 Reactions
12 Replies
393 Views
Ndugu zangu Watanzania, Mpaka muda huu pasipo hofu wala mashaka unaweza ukasema bila kusita wala wasiwasi kuwa Dr Tulia ndiye Rais ajaye wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU.Hii ni kutokana na...
8 Reactions
125 Replies
7K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wake, eneo la Kilimani, jijini Dodoma leo tarehe 18, Oktoba 2024...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
GENEVA (17 Oktoba 2024) – Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa Tanzania kumaliza ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea dhidi ya wanachama wa vyama vya upinzani...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Kwa mfumo wa Daftari la Wapiga Kura lilivyo hao CCM wataandikisha Wanafunzi Ili iweje Hebu nipeni mantiki maana Wapinzani wa nchi hii hasa Chadema shingo zao zimebeba parachichi tu siyo vichwa...
1 Reactions
10 Replies
298 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, ameonyesha mshangao wake kufuatia maagizo yaliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa...
0 Reactions
2 Replies
296 Views
Wanabodi, Leo tunaadhimisha miaka 25 bila ya Baba wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, maadhimisho rasmi Silver Jubilee yanaendelea kule kijijini kwake Butiama, swali ni "Kwa Miaka hii...
3 Reactions
8 Replies
433 Views
...tunaendelea Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa...
40 Reactions
115 Replies
7K Views
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Ummy Ally Mwalimu, amejiandikisha katika daftari la orodha ya wapiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 27/11/2024. Ummy ametekeleza...
0 Reactions
3 Replies
265 Views
Back
Top Bottom