Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM. Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke...
12 Reactions
255 Replies
15K Views
Kosa la hawa ndugu zetu wambulu ni nini kwa serikali hii ya CCM? Mji wa Mbulu ndio origin ya wairaqw(Wambulu). Mwaka 2022 ulianzishwa ujenzi wa barabara ya lami Km 25 tu kutoka Mbulu mjini na...
1 Reactions
9 Replies
438 Views
Wakuu, Naona kama joto la uchaguzi limezidi kuwa la moto na hii ni baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA huko jijini Mbeya kuwavaa CCM na chama chao Masaga Pius Kaloli akiwa anazungumza leo huko jjini...
0 Reactions
3 Replies
233 Views
Hapa barani Africa kuna Katiba za baadhi ya nchi hazinaga Upendo kabisa Yaani Kiongozi namba 2 kalazwa hospital lakini hakuna anayejali Upendo Huvumilia Hauhesabu mabaya Mlale unono 😀
5 Reactions
12 Replies
492 Views
Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame...
8 Reactions
147 Replies
4K Views
Kutokana na muungano wa sasa kuwa na makando kando (kero za muungano) ambayo miaka nenda rudi hayajaweza kutatuliwa na kizazi cha babu zetu, baba zetu. Sisi kizazi cha DOT COM ambacho hakina...
2 Reactions
2 Replies
261 Views
Kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi...
7 Reactions
82 Replies
2K Views
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za...
34 Reactions
257 Replies
30K Views
Wizi umekuwa mkubwa na wazi kasi Kwamba chama sasa kinanunuka. Tuhuma na matukio ni kila mahali. Chama kimeachwa uchi wa mbuzi Sasa kujinasua kwenye hili tope wameamua kujisafisha kwa kuwangushia...
6 Reactions
23 Replies
867 Views
Leo nimeona niandike kidogo kama sio kutoa ushauri kwa chama kipya kitachopewa idhini na wananchi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania. Kwa ufupi ni kwamba 2025 ni mwaka ambao utalejesha matumaini...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Naam, zimetimia siku 60 kamili toka ndugu yetu Soka na wenzake wawili walipo tekwa. Kelele zimepigwa sana kutaka vijana Hawa waachiwe, lakini walio mteka wameamua kuweka pamba masikioni mwao...
1 Reactions
17 Replies
382 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mbeya kimewaasa wananchi kutosusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji kwa kuwa kura zao ndizo zitakazoamua aina ya viongozi na...
1 Reactions
8 Replies
393 Views
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na...
4 Reactions
20 Replies
722 Views
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema Serikali imepeleka fedha za ujenzi wa barabara mkoani Lindi na amemwagiza Meneja wa TANROADS wa mkoa huo, Mhandisi Emil Silas Zengo ahakikishe...
0 Reactions
2 Replies
171 Views
Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk...
4 Reactions
26 Replies
845 Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo, amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kuacha malalamiko yanayohusiana na uandikishwaji wa wanafunzi...
1 Reactions
8 Replies
340 Views
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeipa Serikali ya Tanzania siku 14 kuwasilisha majibu na kiapo kinzani katika shauri la kupinga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024. Uchaguzi huo...
1 Reactions
4 Replies
796 Views
Inawezekana kutokana na mama kuwa chaguo la mungu kwa mara ya kwanza mwaka huu tumebahatika kupata watoto waliotimiza umri wa miaka 18 na wanasoma shule moja darasa moja, mungu mkuu na lolote...
4 Reactions
18 Replies
961 Views
Wakuu, Hii ni video nimekutana nayo huko mtandaoni yaani X ambapo wakala huyu wa CHADEMA alikutana na mwanafunzi huyu wa miaka 16 akiwa anataka kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura. Baada...
8 Reactions
12 Replies
847 Views
Hamasa na shauku ya wasomi hawa vijana wa shule za msingi, sekondari na vyuo vikuu wenye sifa na vigezo vya kujiandikisha na hatimae kushiriki zoezi la maamuzi kupitia sanduku la kura, unadhni...
1 Reactions
1 Replies
153 Views
Back
Top Bottom