Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuna Wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mbunge alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli Sema kwa bahati Salim ASAS akawaambia Leo ndio hivyo tena Mchungaji Msigwa anaripoti kwa...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
MAKANDARASI WAZAWA KUPEWA MIRADI HADI YENYE THAMANI YA BILIONI 50: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesikia kilio cha Makandarasi Wazawa na...
1 Reactions
4 Replies
366 Views
https://youtube.com/live/CblBhVLNuYE?feature=share Kutoka mkoani Mwanza, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ameamua kuzungumza na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameongoza zoezi la uhamasishaji kwa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe kuendelea kujitokeza katika vituo vya...
0 Reactions
1 Replies
320 Views
Ahadi ni deni ni matumaini ya wote kuwa kauli ya Komredi Kinana inatekelezeka Hapa tumekumbushana tu Kwamba Chadema na CCM walishatuahidi uchaguzi Huru na Haki tofauti na Chaguzi za Shujaa...
2 Reactions
21 Replies
573 Views
Let's now be serious from jokes, at least for a moment. Bila shaka kila mmoja anafahamu kuwa kuna uchaguzi wa serikali za mitaa unakuja mwezi novemba 2024. Baada ya hamasa kubwa kupitia vyombo...
0 Reactions
1 Replies
380 Views
Ukifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya...
12 Reactions
84 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/watch?v=LTs471j6rZI TAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO Ndugu...
26 Reactions
183 Replies
9K Views
Katika maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, chama cha CHADEMA kimebaini udanganyifu katika mchakato wa uandikishaji wa wapiga kura. Mawakala wa chama hicho wamegundua kuwa kuna wanafunzi...
0 Reactions
11 Replies
787 Views
Whether you are agree not you are agree Rais Samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya...
12 Reactions
75 Replies
966 Views
Msanii maarufu wa muziki wa hip-hop, Joseph Haule, anayejulikana kama Profesa Jay, ametangaza rasmi kuwa atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza kwenye kipindi cha...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
kuelekea uchaguzi wa wa RAIS WA TLS , kumekuwa na kambi mbili. CCM wamemuweka JOHN SEKA , CHADEMA wamemuweka DR Nshala na NGWILIMI YUPO FREE hana chama *SIFA 10 ZA CHUMA KILICHOPO* 1. Mimi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwalimu Mwakasege amesema dalili zote zinaonyesha ule Mwisho umekaribia na hakunaga jiwe litakalisalia Juu ya jiwe Mwalimu Mwakasege amesema Waumini wameshahubiriwa vya kutosha na kilichobaki ni...
16 Reactions
115 Replies
3K Views
Naishauri serikali ipambane kuelimisha jamii na kutenda yale yanayo ijengea imani jamii ili ijue umuhimu wa kujiandikisha , Na sio kulazimisha mawakala kufuata wananchi majumbani ambako wana...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura. Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini Serikali...
11 Reactions
28 Replies
629 Views
Askofu Bagonza akiwa kapokea na kushikilia Mwenge wa Uhuru kwa heshima Safi sana Askofu https://youtu.be/JJ7Y7absuDw?si=dd9gEyAqOyALqEiJ
0 Reactions
1 Replies
310 Views
WAZIRI WA ULINZI NA JKT ASHIRIKI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU WILAYANI MAGU Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 12 Octoba 2024, ameungana na...
0 Reactions
1 Replies
156 Views
KUPIGA NA KUPIGIWA KURA NI HAKI YAKO KUGOMBEA NAFASI YA UONGOZI NI HAKI YA URAIA Tumeadhimisha kumkumbuka Mwl Julius Kambarage Nyerere. Ni vyema Sasa kupitia katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara...
0 Reactions
1 Replies
207 Views
Mchungaji msigwa alipokuwa akihojiwa na Ebony FM aliulizwa kama bado anawachukia machawa na majibu yake yalikuwa hivi.
1 Reactions
21 Replies
854 Views
Back
Top Bottom